Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani
الإمام ناصر محمد اليماني
17 - ذو القعدة - 1441 هـ
08 - 07 - 2020 مـ
09:17 صباحاً
( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )
____


Virusi Ya Corona.. Wala Sio Corona Bali Ni Rijzi Yenye Shirika, Mungano Wa Ki Virusi..


Bismillah Al'Rahman Al'Rahim, Na Salam Ju Ya Mitume Na Alhamdulillah Rabil3alamin..


Asalam Aleykum Wa Rahmatullahi Wa Barakatuhu Wa Naim Ridhwanuhu Wapendwa wangu ma ansar walio tangulia walio bora, Mcheni Allah Al'Wahid Al'Qahar wala musiwe wanyonge kwa kusambaza ma Bayana
za wanao ita virusi ya corona wala musifanye haraka kufafanua kwa watafiti wa haki katika binadamu kwa yale hatujasema! Bali nimesifu kwa virusi inao kuja kua ni ma simba wa ma virusi na kuisema kwa moja tutasema simba; Na nakusudia katika nguvu yake na uvamizi wake wala sikukusudia mbali na hayo!


Na enye wapendwa wangu ma ansar, Hakika ya makosa yenu inawahusu nyinyi wala haimhusu Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani kwa kua mimi hapana wala si tamki katika Bayana Zangu kuhusu wanao ita virusi ya corona ispo kua yale nayo yajua kwa ilimu ya yakini kwenye kitabu cha Allah Al'Quran Al3adhim, Lakini nyinyi munaharaka na labda hivo hivo mwafkiria kua mimi nakusudia kwa mbu kua ni mbu katika wale wanawajua watu wale wanao eneza na wanao dunga na hakika nyinyi mumekosa, Basi haitakiwi kwa Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad kua agongane na fatwa zake kwa haki kwa kua mimi sisemi ju ya Allah ispo kua haki wala sio kwa dhana na najilinda kwa Allah kua niwe katika ma jahili.


Na imetangulia fatwa yetu kwa haki kua ile wanao ita virusi ya corona inao chanzo sio kua haijulikani katika ilio wazi maana yake Al'Quran Al3adhim; Kiumbe kipya
( بعوضةٌ ما )(Mbu fulani) wala hawana ujuzi nae na neno la (fulani} Inajengwa kwa itakao kuja haijulikani, Na hio hapo imekuja wakati wa kusadikisha kupiga mfano wa changa moto ulio waadiwa kutoka kwa Allah katika kitabu, Na hivo hivo aina ya ma virusi mpya ju ya wanadamu wenye umri mrefu kuishi bara na majini na angani na kwenye baridi na kwenye joto wame tayarishwa na chanzo chake; Miujiza kutoka kwa Allah ili waishi kwenye kila aina ya hali ya hewa mpaka iwe adhabu ya ki ulimwengu wala sio kama ma virusi ya milipoko ambazo wazijua watu; Bali wenye umri mrfu wana huyika kwenye mwili wa mtu na inafanya hila na mtu kwa mtu peke kisha waishi kwenye hewa wazi baada kutoka kwenye mwili basi waishi hivo hivo bila ya mwili mpaka atakapo Allah ili iwasibu wengine; Wanaendeshwa kwa amri ya Mola Mlezi wao inampata Anae Taka na Anamondoshea Anae Mtaka, Na chanzo chake ina mzunguko mkubwa inafanya mzunguko wake kwa mbio ya kuzidi Super, Nae ni (Mbu fulani) Wala macho yenu haiyoni; Kuzidisha katika viumbe na changa moto kutoka kwa Allah, Kiumbe kipya (Mbu fulani) Kama kwamba ndege ya kivita; Bali ina mbio zaidi kuliko ndege zenu za ki vita na ma roket zenu za ardhi na za ju na za kwenda angani kwa utafauti mkubwa mno wanahama kwa Maneno ya Allah Subhanahu, Na kazi yake yaingia kwenye kifua cha mtu ili waweke mayayi yao katik vifua kuweka kwa mbio sana wnateremsha mayayi yake ndani ya kifua cha mtu na hivo ili iwe kizazi chake cha ki virusi kinahama kutoka kwa mtu kwenda kwa mtu baada kufunguka viji mayayi basi zinaongezeka na kuenea ndani ya mwili wa mtu kama inavo inea moto kwenye nyasi kavu basi inahama kutoka kwa mtu kwenda kwa mtu, Na hapana na wala haitowagusa wanyama wala ndege watakavo wadangaya nyinyi basi hapana wala hawatoleta ushuhuda wa ki sayansi baini na hapana na wala haitomsibu mbu anae onekana kabisa bali chanzo chake hakijulikani
(Mbu asiejulikana) Nayo ni kupigwa mfano katika viumbe kwa kun fayakun kua na kinakua wala haina mwanaume Ameiumba Allah nae, Wala haina mama imetoa mayayi yake, Bali mbu wa changa moto mfano mpya katika ma umma wa mbu, Nae ni mbu Amemuba Allah kwa Maneno ya Kudra Yake Kun Fayakun Kua Na Kinakua wala sio aina ya wanao dunga wala sio wenye kueneza maradhi yenu katika aina za mbu ambazo za julikana kwenu hasha kwa Allah; Bali katika adhariyati dharwan zinye mbio sana wanatumi


a wanao mvamia katika watu katika kifua chake ndio aifanye ndio sehemu ya viji mayayi yake ndio amimine mayayi yake kumimina yenye mbio sana, Kisha anaondoka katika mwili kwa mbio sana na kuwacha mayayi yake ndani ya kifua cha mtu ndio mayayi yapasuke wakati wa kubeba kwake ndio itokeze ma virusi ziongezeke kuzidi katika mwili wa mtu kua na ma virusi na makalio yake ni kifua cha mtu, Na kuhusu mtambo wa viji mayayi ya mbu wa Mola Mlezi basi wanatoka katika mwili moja kwa moja, ispo kua yafanya mtu ni mapokezi ya mayayi yake mpaka yapasuwe ndio yaene katika mwili wa mtu kuenea kama moto katika nyasi kavu, Na makalio yake katika kifua mpaka impate mbengu za mayayi yake ile ambao yatoka ndani yake basi hivo hivo njia ya kuambukiza kwa watu wengine kutoka kwa mtu kwenda kwa mtu mwengine kwa njia ya hewa wazi, Wanaolea kwenye hewa; Basi wanabaki viumbe hayi katika hewa wala sio ni janga tu la kupita atakae mwenye kutaka na akatae mwenye kukata kwa kua janga la kupita ni wingu na laondoka, Haihat Haihat wala sikuitangaza kwa wanadamu kua ni janga la ulimwengu la kupita; Bali nimeitangaza ni adhabu ya ulimwengu inaendelea usiku na mchana kwa amri kutoka kwa Allah Al'Wahid Al'Qahar Katika mataifa tafauti ya ulimwengu kwa kiwango kinatafautiana kutoka kwa mtu kwenda kwa mwengine basi kwa kila moja daraja tafauti kwa yale walio yafanya, Na kati yake ni onyo na kati yake shari limeshandikwa; Bali mama mbu ambao mpya ni mtingisho wa ulimwengu kutokana na adhabu ya chini huwenda mukajiskitisha kwa Mola Mlezi wenu na mum nyenyeke kwake ilhali mwatubia na mwataka kwake Awarehemu basi Awaondoshe ju yenu adhabu Yake ili mufwate kitabu chake Al'Quran Al3adhim basi ndio Mumtii Allah na Khalifa Wake ju ya ulimwengu; Mja Wake Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani.


Basi musifanye kiburi ju ya Khalifa wa Allah ndio Awalani laana kuu kama Alivo mlani shetani ambae amefanya kiburi kumsujudia Adam; Alinsan mtu Khalifa wa Allan wa kwanza katika jinsi ya Mtu, Basi musidhani kwamba Al'Imam Al'Mahdi ni mjinga bali ni mwerevu na naelewa nacho kisema, Na bado nazali nasisitiza kua ile munao ita virusi ya corona ni kiumbe hai inakua na inaongezeka katika miyili ya wanadamu, Wala sio aina ya ma vairusi kwnye miyili ya nguruwe wala punda wala ngombe wala ngamia wala wanyama wote, Na wala wanyama wote na ndege wako kando barrii kutokana na hi adhabu ya ulimwengu ambao inaendelea usiku na mchana na katika hali ya hewa tafauti katika ulimwengu,


Na namshuhudisha Allah na tosha kwa Allah kua Shahidi kua sio kama ma virusi ambao hawana uwezo ambao wanazijua ma tabibu wanao khusika katika ilimu ya ma virusi zile ambazo haziwezi kuishi ispokua katika miyili, Bali hio na chanzo chake mbu asonekana hamuwezi kuiangamiza kwa aina zote za madawa za kumaliza wadudu; Bali zitabaki hai sawa katika viwiliwili venu ama hewani ama baharini ama bara, Na hivo hivo za ishi kwenye hali ya hewa tafauti mutake ama mukatae wala sio milele; Bali zitaendela mpaka munyenyeke kwa Khalifa wa Allah ndio mufwate kitabu cha Allah Al'Quran Al3adhim na mukufuru kwa yale yanao khalifu muhkam ilo wazi maana yake kitabu cha Allah Al'Quran Al3adhim hakika mimi kwenu ni mwenye kunasihi mwaminifu kabla Haja ngamiza nyuso akazigeuza nyuma ama awalani kama alivo walani watu wa jumamosi lana kuu Akipenda ikiwa haikufa kwenu mawaidha ya adhabu ya mbu inao toka kutoka kwa viji mayayi yake, Na hivo hivo zinapasuka na zinaongezeka adhabu yaliomo vifuani, Basi kila zipasukazo na zainea huwenda muka amini, Na nitawapigia kwa hayo mfano; Tembe moja imetoa mahindi saba na kila hindi moja ina tembe mia moja, Basi angalieni kwa ile tembe moja ambao mwaila; Imepoasuka ikaenea kwa ma mia ya ma tembe kutokana na tembe moja, ispokua hu ni mfano ili mujuwe maana ya kupasuka na kuenea Wala sisemi kwenu maneno kujiropokea na kucheza basi Mcheni Allah Al'Wahid Al'Qahar.


Na kadhalika nwa tahadharisha enye ma3ashara wanao fanya kiburi kutokana na adhabu mbaya zaidi na unchungu zaidi, Na watajua kaumu wamini Al'Quran Al3adhim hakika kua sisi ni wa kweli si tamki isipokua kwa haki, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3
ala:
{Hakika Mwenyezi Mungu haoni haya kupiga mfano fulani mbu na ulio wa zaidi yake. Ama wale walio amini hujua ya kwamba hiyo ni haki iliyo toka kwa Mola wao Mlezi} Sadaqa Allah Al3adhim [Albaqara:26].
{ إِنَّ اللَّهَ لَا يَسْتَحْيِي أَن يَضْرِبَ مَثَلًا مَّا بَعُوضَةً فَمَا فَوْقَهَا فَأَمَّا الَّذِينَ آمَنُوا فَيَعْلَمُونَ أَنَّهُ الْحَقُّ مِن رَّبِّهِمْ } صدق الله العظيم [البقرة: من الآية 26].

Lakini tatizo ni kwenye maoni ya ma ansar kutoka kwa nafsi zao kwenye ma bayana ambazo za husiana na wao; Wana elezea walimwengu ufafanuzi ya habari kabla ya kufafanua Al'Mahdi Al'Muntadhar kutoka kwa ilio wazi maana yake ukumbusho; Bali wana wafafanulia wao kutokana na habari za ma tabibu wa binadamu kwa yale haja yasema Al'Imam Nasser Muhammad! Basi eee ajabu enyi ma3ashara ya ma ansar.. Basi vipi kua Khalifa wa Allah anatangaza changa moto kutoka kwa Allah Al'Wahid Al'Qahar kwa adhabu ilio fichika kutokana na wasokijua? pindi hawana ujuzi nao ma tabibu wa binadamu kwa kua nayo ni kutokana wasokijua, Na hakika mimi ni Al'Imam Al'Mahdi na elewa nacho kisema wala sisemi ju ya Allah yale siyajuwi kwa ilimu ya yakini, Na wala sito gongana katika fatwa zangu kwa haki na wao wana gongana; Na sababu ya ku gongana kwao kwa kua wao hawana ujuzi nao kisayansi bado.


Na bado tunyao ufafanuzi kutoka kwa ilio wazi maana yake katika muhkam Al'Quran Al3adhim, Na kila kitu iko kwa wakati wake na tunawawacha katika upotevu wao hawaoni kwakua wao hawataki kutambua bado kua ni adhabu ya rijzi ya kuumiza inao kita ju yao kutoka kwa Mola Mlezi wa Ulimwengu; Mpaka waislamu utadhani ni mulhidina hawamini Mungu! Basi nitawawachw mpaka wakubali kutambua kwa haki kutoka kwa Mola Mlezi wao ama Awazidishe Allah Adhabu Ndio Afunguwe ju yao mlangu yenye adhabu kali kwakua wao ni kaumu mulhidina hawamini Mungu hawa kujiskitisha kwa Mola Mlezi wao wala hawa kunyenyekea na wataenda kujua kua jeshi la Allah lilio fichika na ambao ni werevu hakika wao ndio watakao shinda na wao ndio wanao dhibiti na washindi kwa idhini Ya Alio Waumba na Akawatuma na Akawafundisha vipi wafanye hila; Allah mbora wa kufanya hila Huyo kwenu ni Allah Mola Mlezi Wa Ulimwengu, Wala wasiwafitini warongo wanao kadhibisha katika ma taifa ya ulimwengu ambao ni ma almaniyun ma secularist.


Na Bado inazali mshindo wa wanao ita virusi ya corona inaendelea katika ardhi ya walimwengu, Na na Mshuhudisha Allah na tosha Kwa Allah kua ni Shahidi haitakiwi kwa ile ambao wanao ita virusi ya corona iwe ni katika ilio tengezwa na binadamu kama wanavo dai kua ni Baiolojia na hakika wao ni warongo, Fawallahi hawawezi ku umba kitu sio mbu wala inzi hata kama watakutana kwajili yake, Bali wanao ita virusi ya corona ni kiumbe hai katika umbaji wa Allah, Basi nionesheni nini wameumba wale ambao chini yake ikiwa nyinyi ni wakweli enyi ma3ashara ya ma mulhidina kwa Allah Mola Mlezi wa Ulimwengu? Basi bado mwazali muko kwenye adhabu ya chini na kwenye kubwa na kubwa zaidi na kubwa zaidi, Hakika Ametoa idhini Allah kwa vita basi hakuna kurudi nyuma Subhanahu mpaka ije wadi Ya Allah hakika Allah Hakhalifu waadi Yake, Ndio Atimize Nuru Yake Hata Kama Watachukia Wahalifu Kutokezea Kwake.


Na Salam Ju Ya Mitume, Na Alhamdulillah Rabilalamin..
Khalifa Wa Allah Na Mja Wake; Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani.
خليفة الله وعبده؛ الإمام المهديّ ناصر محمد اليمانيّ.
_________

اقتباس المشاركة 332426 من موضوع سِلسِلة بيانات فَيروس كورونا وسِرّه المَكنون ..

- 7 -
الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني
17 - ذو القعدة - 1441 هـ
08 - 07 - 2020 مـ
09:17 صباحاً
( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )

[ لمتابعة رابط المشاركة الأصلية للبيان ]
https://nasser-alyamani.org/showthread.php?p=332393
__________



فيروس كورونا.. وما هو بكورونا بل رجزٌ ذو شركاء، تحالفٌ فيروسيٌّ ..

بسم الله الرحمن الرحيم، وسلامٌ على المُرسَلين والحمدُ للهِ ربِّ العالمين..
السلام عليكم ورحمة الله وبركاته ونعيم رضوانه أحبّتي الأنصار السابقين الأخيار، فاتّقوا الله الواحدَ القهّار ولا تهِنوا في نشر بيانات ما يُسمّونه فيروس كورونا ولا تستعجلوا بالشّرح للباحثين عن الحقّ من البشر بما لم نقُلهُ! بل وصفتُ الفيروس القادم بأُسُودِ الفيروسات ومفرده أَسَد؛ وأقصد في قوّته وشدّة بطشهِ ولم أقصد غير ذلك!

ويا أحبّتي الأنصار، إنّ أخطاءكم تخصّكم ولا تخصّ الإمام المهديّ ناصر اليمانيّ كوني لا ولن أنطقَ في بياناتي عن ما يُسمّونه فيروس كورونا إلا بما أعلمُهُ عِلم اليقين في كتاب الله القرآن العظيم، ولكنّكم تستعجلون وربَما كذلك تفكّرون أنّي أقصد بالبعوضة أنّها بعوضةٌ من التي يعرفها البشر من النّاقلات اللادِغات وإنّكم لخاطئِون، فلا ينبغي للإمام المهديّ ناصر محمد أن يُناقض فتواه بالحقّ كوني لا أقول على الله إلا الحقّ وليس قولاً بالظنِّ وأعوذُ بالله أن أكون من الجاهلين.

وسبقت فتوانا بالحقِّ أنّ ما يُسمّونه فيروس كورونا له مصدرٌ ليس مجهولاً في مُحكم القرآن العظيم؛ مخلوقٌ جديدٌ ( بعوضةٌ ما ) ولا يُحيطون بها علماً وكلمة ( ما ) مبنيٌّ للقادم المجهول، وها هو قد جاء أوان تصديق ضرب مثل التّحدّي الموعود من الله في الكتاب، وكذلك نوعيّات الفيروسات جديدة على البشر طويلة العمر برمائيّة جويّة شتائيّة صيفيّة مُجهّزةٌ هي ومصدرها؛ معجزةٌ من الله لتعيش في كلّ المناخات حتى تكونَ عذاباً عالميّاً وليست كالفيروسات الوبائيّة التي يعرفها البشر؛ بل طويلة العُمر تحيا في جسد الإنسان وتمكُر من الإنسان بالإنسان حصريّاً ثم تعيش في الهواء الطَلق بعد خروجها من الجسد فتعيش كذلك بدون جسد إلى ما يشاء الله حتى تصيب آخرين؛ مسيّرة بأمر ربّها يصيب بها من يشاء ويصرفها عمّن يشاء، والمصدر له دور كبير يؤدّي دوره بسرعة فائقة، وهي ( بعوضةٌ ما ) ولا تراها أعينكم؛ مزيدٌ في الخلقِ وتحدٍّ من الله، خلقٌ جديدٌ ( بعوضةٌ ما ) كأنّها طائرةٌ حربيّةٌ؛ بل أسرع من طائراتِكم الحربيّة وصواريخكم الأرضيّة والجويّة والفضائيّة بفارقٍ عظيمٍ تتنقّل بكلمات الله سبحانه، ومهمّتها الدخول إلى صدر الإنسان لتذرو بويضاتها في الصدور ذرواً بسرعة فائقة تلقي بويضاتها داخل صدر الإنسان وذلك حتى تكون ذريّاتها الفيروسيّة تنتقِل من البشر إلى البشر بعد أن تفقِس البويضات فتتكاثر وتنشطِر داخل جسم الإنسان كانتِشار النار في الهشيم فتنتقل من الإنسان إلى الإنسان، ولا ولن تصيب الحيوان ولا الطيور مهما كَذَبوا عليكم فلا ولن يأتوا بالبرهان العلميّ المُبين، ولا ولن تصيب البعوضة المرئيّة على الإطلاق بل مصدرها الخفيّ ( البعوضة الخفيّة ) وهي ضرب مثل في الخلقِ بكن فيكون وليس لها ذَكَر خلقها الله منه، وليس لها أُمٌّ أنثى باضَتها؛ بل بعوضة التَّحدّي مَثَلٌ جديد في أممِ البعوض، وهي بعوضة خلقها الله بكلمات قدرته كن فيكون وليست من اللّادغات ولا الناقلات لأمراضكم من فصائل البعوض المعروفة لديكم حاشا لله؛ بل من الذّاريات ذروَاً ذات سرعة فائقة خارقة تتّخذ مَن تقتحمهُ من البشر إلى صدره فتتَّخذه مَربضاً لبيضِها فتذرو بويضاتها ذرواً بسرعة فائقة، فمِن ثمّ تغادر الجسم منطلقة بسرعة فائقة تاركة بيضها داخل صدر الإنسان فيفقِس خلال حضانته فتنفطِر منه فيروسات فتتكاثر في جسم الإنسان إلى فيروساتٍ وبؤرتها صدر الإنسان، وبالنسبة لمصنع البويضات للبعوضة الربّانية فتُغادِر الجسم مباشرةً، وإنّما تجعل الإنسان كحضّانة لبيضها حتى يفقس فينتشر في الجسم انتشار النار في الهشيم، وبؤرتها في الصدر حتى تصيب بذرور بيضها الذي يخرج منه فكذلك طريقة الإصابات لقومٍ آخرين من الإنسان الى الإنسان عبر الهواء الطَلق؛ سابحات هوائيّة؛ فتظل كائنات حيّة في الهواء وليس مجرّد وباءٍ عارض ( شاء من شاء وأبَى مَن أبَى ) كون الوباء العارض غَيمَة وتزول، هيهات هيهات ولم أعلنه للبشر مجرّد وباء عالميّ عارض؛ بل أعلنته عذاباً عالميّاً مستمراً الليل والنهار بأمر الله الواحد القهار في مختلف دول العالمين بدرجاتٍ متفاوتة من شخصٍ إلى آخر، فلكلٍّ درجاتٌ ممّا عمِلوا، ومنها نذير ومنها شرٌّ مستطير؛ بل البعوضة الأمّ الجديدة قارعةٌ عالميةٌ من العذابِ الأدنى لعلّكم تَستَكينون إلى ربّكم وتتضرعون إليه تائبين مُنيبين إليه أن يرحمكم فيكشف عنكم عذابه لتتَّبِعوا كتابه القرآن العظيم فتطيعوا الله وخليفته على العالمين؛ عبده الإمام المهدي ناصر محمد اليماني.

فلا تستكبروا على خليفة الله فيلعنكم لعناً كبيراً كما لعن الشيطان الذي استكبر عن السجود لآدم؛ الإنسان خليفة الله الأول من جنس الإنسان، فلا تحسبوا الإمام المهديّ غبيٌّ بل ذكيٌّ وأعي ما أقول، فلا أزال مُصِرّاً أنّ ما تُسمّونه فيروس كورونا كائن حيٌّ مُنفَطِر ومُنشَطِر في أجسام البشر؛ وليس من نوعه فيروس في أجسام الخنازير ولا الحَمير ولا البقر ولا البَعير ولا في كافّة الأنعام، وكافّة الحيوانات والطيور بَراء من هذا العذاب العالميّ المستمرّ الليل والنّهار وفي مختلف المناخات في العالمين.

وأُشهِد الله وكفى بالله شهيداً أنّها ليست كالفيروسات العالة التي يعرفها أطبّاءُ البشر المتخصّصين في علم الفيروسات التي لا تستطيع العيش إلا في الأجسام، بل هي ومصدرها البعوضة الخفيّة لا تستطيعون أن تهلكوها بكافّة مبيداتكم الحشريّة؛ بل سوف تَظل حيّة سواء في أجسادكم أو في الهواء أو البحر أو البر، وكذلك في مختلف المناخات تعيش شئتم أم أبيتم وليست للأبد؛ بل مستمرّة حتى تخضعوا لخليفة الله فتتَّبعوا كتاب الله القرآن العظيم وتكفروا بما يخالف لمحكم كتاب الله القرآن العظيم إنّي لكم ناصحٌ أمينٌ من قبل أن يطمِس وجوهاً فيردّها على أدبارها أو يلعنهم كما لعَن أصحاب السبت لعناً كبيراً إن يشأ إذا لم ينفع معكم موعظة عذاب البعوضة الصادر من بويضاتها، كذلك تنفطر وتنشطر عذاب ما في الصدور، فكلٌّ منفطر ومنشطر لعلّكم تؤمنون، وأضرب لكم على ذلك مثلاً: حبّةٌ واحدةٌ أنبتت سبعَ سنابلَ في كل سنبلةٍ مائةُ حبةٍ، فانظروا إلى هذه الحبّة التي تأكلون؛ انفَطَرت وانشَطَرت إلى مِئات الحبوب من أصل حبّة واحدة. وإنّما هذا المثل لتعلموا القصد من الانفطار والانشطار، ولا أقول لكم الكلمات لعباً ونثراً فاتَّقوا الله الواحد القهار.

وكذلك نُحذّركم يا معشر المستكبرين من عذابٍ أدهى وأمرّ، ولسوف يعلم قومٌ يؤمنون بالقرآن العظيم إنّا لصادقون لا أنطقُ إلا بالحقّ، تصديقاً لقول الله تعالى: { إِنَّ اللَّهَ لَا يَسْتَحْيِي أَن يَضْرِبَ مَثَلًا مَّا بَعُوضَةً فَمَا فَوْقَهَا فَأَمَّا الَّذِينَ آمَنُوا فَيَعْلَمُونَ أَنَّهُ الْحَقُّ مِن رَّبِّهِمْ } صدق الله العظيم [البقرة: من الآية 26].

ولكنّ المُشكلة هي في تعليقات الأنصار من عند أنفسهم في بياناتِهم الخاصة بهم؛ يشرحون للعالمين تفصيل الخبر من قبل تفصيل المهديّ المنتظر من مُحكم الذّكر؛ بل يشرحون لهم من معلومات أطبّاء البشر بما لم يقلهُ الإمام ناصر محمد! فيا للعجب يا معشر الأنصار.. فكيف أنّ خليفة الله يُعلن التحدّي من الله الواحد القهّار بعذابٍ خفيٍّ من حيث لا يعلمون؟ إذ لا يُحيطون به علماً أطبّاء البشر كونه من حيث لا يعلمون، وإنّي الإمام المهديّ أعي ما أقولُ ولا أقول على الله ما لا أعلم علم اليقين، ولن أتخبّط في فتواي بالحقّ وهم يتخبّطون؛ وسبب تخبّطهم كونهم لا يُحيطون به علماً بعدُ.


ولا يزال لدينا التفصيل من مُحكم التّنزيل في القرآن العظيم، وكلّ شيءٍ في أوانه ونَذَرُهُم في طُغيانهم يعمهون كونهم لم يعترفوا بعد أنّه عذابٌ من رجزٍ أليمٍ مُقيم عليهم من ربّ العالمين؛ حتى المسلمين فكأنّهم مُلحِدون! فسوف أذرُهم حتى يعترفوا بالحقّ من ربّهم أو يزيدهم الله عذاباً فيفتح عليهم باباً ذا عذاب شديد كونهم قوماً مُلحدين ما استكانوا لربّهم وما يتضرّعون ولسوف يعلمون أنّ جنود الله الخفيّة والذكيّة لَهُم الغالبون وهم المُسيطرون والمُنتصرون بإذن الذي خلقهم وأرسلهم وعَلّمهم كيف يمكرون؛ الله خيرُ الماكرين ذلكم الله ربّ العالمين، فلا يفتِنكم الكاذبون المُكذّبون من دول العالمين العلمانيّون.

وما تزال قارعة ما يُسمّونه فيروس كورونا مُستمرّةٌ في أرض العالمين، وأُشهد الله وكفى بالله شهيداً ما ينبغي لمِمّا يُسمّونه فاروس كورونا أن يكون من صنع البشر كما يزعمون أنّه بايولوجيّ وإنّهم لكاذبون، فوالله لا يستطيعون أن يخلقوا شيئاً لا بعوضاً ولا ذباباً ولو اجتمعوا له، بل ما يُسمّونه فيروس كورونا هو كائنٌ حيٌّ من خلق الله، فأروني ماذا خلق الذين من دونه إن كنتم صادقين يا معشر المُلحدين بالله ربّ العالمين؟ فلا تزالون في العذاب الأدنى ومِن أكبر إلى أكبر إلى الأكبر، فقد تأذّن الله بالحرب فلا رجعة للوراء سبحانه حتى يأتيَ وعدُ الله إنّ الله لا يُخلف الميعاد، فيُتِمّ نورَه ولو كرِه المُجرمون ظهوره.

وسلامٌ على المُرسَلين، والحمدُ للهِ ربِّ العالمين.
خليفة الله وعبده؛ الإمام المهديّ ناصر محمد اليمانيّ.
_____________
اضغط هنا لقراءة البيان المقتبس..