بسم الله الرحمن الرحيم، والصلاة والسلام على محمدٍ رسول الله وكافة الأنبياء والمرسلين وجميع المؤمنين في كلّ زمانٍ ومكانٍ إلى يوم الدين، أمّا بعد..
Basi hata hamuwezi kuwa wachaji, kwakuwa najuwa mimi ni Alimam Almahdi Almuntadhar nnae lingania kwa kuhukumu kwa kitabu cha Allah Alquran Al3adhim katika zama za ikhtilafu za ma hizbu, navile najuwa suna ya Allah kwa wale wanao pinga mwaliko wakuhukumu kwa kitabu hamtupata suna ya Allah ikibadilika wala hamtopata suna ya Allah kugauka, akwafanya mapoti na ma viyama ili muonjeshane ba'aasi mabaya nyinyi kwa nyinyi Hio kwenu ni katika adhabu ya Allah kutokana daraja ya tatu, vile alivopeana Ahdi kwa wanao pinga mwaliko wa Alihtikam kuhukumiana katika muhkam Alkitab kusdikisha kauli ya Allah Akisema:
{قُلْ هُوَ الْقَادِرُ عَلَىٰ أَن يَبْعَثَ عَلَيْكُمْ عَذَابًا مِّن فَوْقِكُمْ أَوْ مِن تَحْتِ أَرْجُلِكُمْ أَوْ يَلْبِسَكُمْ شِيَعًا وَيُذِيقَ بَعْضَكُم بَأْسَ بَعْضٍ ۗ انظُرْ كَيْفَ نُصَرِّفُ الْآيَاتِ لَعَلَّهُمْ يَفْقَهُونَ (65)}
Amesema Allah:{ Sema: Yeye ndiye Muweza wa kukuleteeni adhabu kutoka juu yenu au kutoka chini ya miguu yenu, au kukuleteeni fujo la mfarakano, na kuwaonjesha baadhi yenu jeuri ya wenzao. Tazama vipi tunavyo zieleza Aya ili wapate kufahamu (65)}
sadaqa Allahu Al3adhim:Alan3am]
Na Hivo inapatikana kwa waislamu pindi anapo mchaguwa Allah kwao imamu mwenye ilimu na anamongeza utawala zaidi kwenye ilmu Alkitab.
Katika dini ya Allah wajisalimu tasliman mpaka afanye umma wa kislamu umma moja wanafwata njia ilio nyoka kitabu cha Allah Alquran Al3adhim na alsuna Alnabawia Al7haki za haki ambazo hazikhalifu ayat Almuhakamat katika Alquran Al3adhim, na ikiwa hawato itikia mwito wa anaolingania haki basi ishatangulia fatwa yangu kabla muda wa miyaka mengi kuwa. Allah atawavisha muwe mapoti na viyama mukionjana nyinyi kwa nyinyi,
Na kuhusu kiongonzi Ali Abdallah swaleh kwa akili na kiusawa wakishinda mahuti wakapata kushika kuhukumu yaman hapo itakuwa shida kubwa kwa chama cha islah na tandhim Alqaida na ikhwan Almuslimin na kwa kiongozi Ali Abdallah saleh, na wakipata chama cha Alislah na wanao waunga katika viyama wakaweza kuihukumu yaman basi shida kubwa itawapata mahuti na Kiongozi Ali Abdallah swaleh, na labda huwenda Kiongozi Ali AbdAllah swaleh kusema: "ewe Nasser Muhammad, na kwanini Ali AbdaAllah swaleh amiumia katika pande zote mbili iwe wamishinda chama cha Alislah na wanao unga katika viyama vingine ama wamishinda mahuti Ali AbdaAllah swaleh kwa pande zote amiumia? Kwa nini ewe Nasser Muhammad? alafu namjibu Kiongozi Ali AbdaAllah swaleh namjibu kwa haki na nasema: kuwa Allah ataka kufunga milango zote za kuokoka kwako na kwa familia yako mpaka Allah asadikisha ndoto ya Alimam Almahdi kwa haki na utamwambia yeye: nimikukabidhi uongozi na mimi na familia yangu tuko kwenye dhima yako, "na kuhusu mahuti ishatangulia fatwa zetu kuhusu wao kabla ya muda mwingi wa miyak na wawao bado walikuwa wako kwa jabali marwan kuwa chhama chenu hakitoisha mpaka akabidhiwe uongozi Alimam Almahdi Almuntadhar lakini wao hawakusudi kumwandalia Nasser Muhamad Alyamani bali wanamwandalia mahdi wao Muhammad ibnu Alhasan Alaskari,lakini Alkharasani atashtuka kuwa Alyamani ndio yeye dhati yake Almahdi Nasser Muhammad Alyamani ..
{إِنَّ الَّذِينَ فَرَّقُوا دِينَهُمْ وَكَانُوا شِيَعًا لَّسْتَ مِنْهُمْ فِي شَيْءٍ ۚ إِنَّمَا أَمْرُهُمْ إِلَى اللَّهِ ثُمَّ يُنَبِّئُهُم بِمَا كَانُوا يَفْعَلُونَ (159)} صدق الله العظيم [الأنعام].
Allah anasema:{(hakika wale walio tenganisha dini yao wakawa ni vipoti siko na wao katika kitu chochote hakika jambo lao kwa Allah alafu atawanabaisha kwa yale walio kuwa wakitenda{(159)}sadaqa Allahu Al3adhim:Alan3am]
Bada kupat uongozi yaman hatotangaza vita Alimam Almahdi Nasser Nuhammad Alyamani kwa inchi yoyote katika ulimwengu kwakuwa Alimam Almahdi Almuntadhar Alhak Nasser Muhammad Alyamani Anakimbilia kuleta salam kati ya waislamu na kupatikane salama kwa watu wote mainchi zote na anaenda mbio kupatikane salama na kupatikane maisha kati ya mwislamu na kafiri,hakik Wallah lau ingekuwa kipoti katika yaman wanabudu ngombe ama jiwe ama juwa ama mwezi bada ya kushika uongozi yaman nisigetangaza vita ju yao;bali pekeyake nitawaita kumabudu Allah pekeyake ambAe hana mshirika na nismamisha hoja ju yao kutokana na muhkam Alquran Al3adhim Al7hak kutoka kwa mola mlezi wa ulimwengu,na mwenye kutaka Amini na mwenye kutaka Akufuru,kutekeleza amri ya Allah katika muhkam kitabu chake katika muhkam Alquran Al3adhim katika kauli ya Allah Ta3ala Akisema:
{وَقُلِ الْحَقُّ مِن رَّبِّكُمْ ۖ فَمَن شَاءَ فَلْيُؤْمِن وَمَن شَاءَ فَلْيَكْفُرْ ۚ إِنَّا أَعْتَدْنَا لِلظَّالِمِينَ نَارًا أَحَاطَ بِهِمْ سُرَادِقُهَا ۚ وَإِن يَسْتَغِيثُوا يُغَاثُوا بِمَاءٍ كَالْمُهْلِ يَشْوِي الْوُجُوهَ ۚ بأس الشَّرَابُ وَسَاءَتْ مُرْتَفَقًا (29)}
Allah anasema:{(Na useme haki kutoka kwa mola wenu mlezi hakika mwenye kutaka amini na mwenye kutaka akufuru hakika sisi tumianda kwa madhalimu moto inawazunguka suradikuha na wakitaka msada wanasaidiwa na maji kalmuhli yanachoma uso kinywaji kibaya mmno na wamimalizikia pabaya{(29)}sadaqa Allahu Al3adhim:Alkahf],kwakuwa sio ju ya Muhammad mtume wa Allah sallah Allahu aleyhi wa ala alihi wasalm hisabu wala ju ya Almahdi Almuntadhar,bali ju yetu ni kuwaita na kuwalingania katika njia ya Allah kwa basira kutoka mola wetu mlezi na hisabu yao iko kwa Allah kwajili yahio amifanya pepo kwa atakae kuamini na akajitakasa na akafanya moto kwa yule alie kufuru na akakanusha na ju yetu ni kufikisha na ju ya Allah hisabu ndio akafanya mwenye kuamini na akajitakasa atapata pepo na mwenye kukufuru na akakanusha atapata moto kusadiqisha kauli ya Allah katika muhakama Alkitabu akisema:
{وَقُلِ الْحَقُّ مِن رَّبِّكُمْ ۖ فَمَن شَاءَ فَلْيُؤْمِن وَمَن شَاءَ فَلْيَكْفُرْ ۚ إِنَّا أَعْتَدْنَا لِلظَّالِمِينَ نَارًا أَحَاطَ بِهِمْ سُرَادِقُهَا ۚ وَإِن يَسْتَغِيثُوا يُغَاثُوا بِمَاءٍ كَالْمُهْلِ يَشْوِي الْوُجُوهَ ۚ بأس الشَّرَابُ وَسَاءَتْ مُرْتَفَقًا (29)} صدق الله العظيم .
Allah Anasema:{(nasema haki kutoka kwa mola wako mlezi atakae atamini na atakae atakufuri hakika tumianda kwa madhalimu moto umiwazunguka wao suradiquha na wakitaka msaada wanasaidiwa na maji kalmuhli inachoma uso kinywaji kibaya mno na wamimalizikia pabaja{(29)}sadaqa Allah Alla3adhim:
{وَإِن مَّا نُرِيَنَّكَ بَعْضَ الَّذِي نَعِدُهُمْ أَوْ نَتَوَفَّيَنَّكَ فَإِنَّمَا عَلَيْكَ الْبَلَاغُ وَعَلَيْنَا الْحِسَابُ (40)} صدق الله العظيم [
Allah Ta3ala Asema: {(Na hakika yale tutakuonesha katika badhi yale tulikuwa tuliwa'ahidi ama tufishe hakika ju yako ni kufikisha pekeyake na ju yetu hisabu{(40)} sadaqa Allah Al3adhim:Alra3d], kwakuwa hakuna kulazimisha kwa dini ya Allah mpaka watu wawe waumini, na je mwajuwa kwanini? kwakuwa Allah hatokubali ibada yao kwa mola wao mlezi na wao wamilazimishwa wanachukia mpaka iwe kwa ikhlas ndani ya moyo zao kumogop mola wao sio kuogopa moja katika wanae mwabudu,kusadikisha kauli ya Allah ta3ala akisema:
{( {إِنَّمَا يَعْمُرُ مَسَاجِدَ اللَّهِ مَنْ آمَنَ بِاللَّهِ وَالْيَوْمِ الْآخِرِ وَأَقَامَ الصَّلَاةَ وَآتَى الزَّكَاةَ وَلَمْ يَخْشَ إِلَّا اللَّهَ ۖ فَعَسَىٰ أُولَٰئِكَ أَن يَكُونُوا مِنَ الْمُهْتَدِينَ (18)} صدق الله العظيم [التوبة].
Allah Anasema:{(Hakika anae dumisha nyumba za Allah nimwenye kuamini siku ya mwisho akasmamisha swala akatowa zaka na hakuogopa ispokuwa Allah na 3asaa wahakia wawe ni katika walio'ongoka{(18)} Sadaqa Allahu Al3adhim:Altauba]
: {فَلِذَٰلِكَ فَادْعُ ۖ وَاسْتَقِمْ كَمَا أُمِرْتَ ۖ وَلَا تَتَّبِعْ أَهْوَاءَهُمْ ۖ وَقُلْ آمَنتُ بِمَا أَنزَلَ اللَّهُ مِن كِتَابٍ ۖ وَأُمِرْتُ لِأَعْدِلَ بَيْنَكُمُ ۖ اللَّهُ رَبُّنَا وَرَبُّكُمْ ۖ لَنَا أَعْمَالُنَا وَلَكُمْ أَعْمَالُكُمْ ۖ لَا حُجَّةَ بَيْنَنَا وَبَيْنَكُمُ ۖ اللَّهُ يَجْمَعُ بَيْنَنَا ۖ وَإِلَيْهِ الْمَصِيرُ}
Amesema Allah Ta3akla {(N kwajili ya hio walinganie waite na uwe na msimamo istiqama vile ulivo amirishwa na usifate hawa zao matamanio yao na useme nimiamini yale yalio teremshawa na mola wangu katika kitabu na nimiamirishwa nifanye uwadilifu kati yenu Allah mola wetu na mola wenu tunao matendo yetu na munao matendo yenu hakuna hoja beina yetu na baina nyinyi Allah atakusanya baina yetu na kwake mwisho maregeo Almassir)} sadaqa Allahu Al3adhim:15]
Na wana haki katika betulmal ya wote kwa uwadilifu kuhusiana mipangilio yukuendesha maisha kwakuwa yachukuliwa zaka kwa mwislamu sawa na jizya kwa kafiri sawa sawa hatafautiani kwa kitu na hio inawekwa kwa betulmal kwa waislamu na kafiri wote wako sawa sawa na haki.
{لَّا يَنْهَاكُمُ اللَّهُ عَنِ الَّذِينَ لَمْ يُقَاتِلُوكُمْ فِي الدِّينِ وَلَمْ يُخْرِجُوكُم مِّن دِيَارِكُمْ أَن تَبَرُّوهُمْ وَتُقْسِطُوا إِلَيْهِمْ ۚ إِنَّ اللَّهَ يُحِبُّ الْمُقْسِطِينَ (8)} صدق الله العظيم [الممتحنة
Allah Ta3ala Asema:{(Hawakatazi Allah kwa wale hawajapigana na nyinyi katika dini na wala hawakuwatowa kwa nyumbazenu kuwafanyia wema hakika Allah anapenda wanao fanya usawai)} sadaqa Allahu Al3adhim:Almumtahana] na wakiona makafiri hu uwadilifu ambae amiuiusia mola wao kuwafanyia wema na uwadilifu kwa usawa japo kuwa wao ni makafiri hapo ndio inaonekana hikima ya kiungu wazi watasema:" hakika hi ni dini ya haki kutoka kwa mola mlezi wa watu wote ulimwenguni hakuna shaka wala hakuna raib".
{لَّا يَنْهَاكُمُ اللَّهُ عَنِ الَّذِينَ لَمْ يُقَاتِلُوكُمْ فِي الدِّينِ وَلَمْ يُخْرِجُوكُم مِّن دِيَارِكُمْ أَن تَبَرُّوهُمْ وَتُقْسِطُوا إِلَيْهِمْ ۚ إِنَّ اللَّهَ يُحِبُّ الْمُقْسِطِينَ (8) إِنَّمَا يَنْهَاكُمُ اللَّهُ عَنِ الَّذِينَ قَاتَلُوكُمْ فِي الدِّينِ وَأَخْرَجُوكُم مِّن دِيَارِكُمْ وَظَاهَرُوا عَلَىٰ إِخْرَاجِكُمْ أَن تَوَلَّوْهُمْ ۚ وَمَن يَتَوَلَّهُمْ فَأُولَٰئِكَ هُمُ الظَّالِمُونَ (9)}
Allah Ta3ala Asema:{(hawakatazi Allah kwa wale ambao hawajapigana na nyinyi katika dini na hawakuwatowa mnyumba zenu muwafnyie wema na uwadilifu hakika Allah apenda anae fanya sawa uwadilifu(18)Kwa hakika amiwakataza Allah kwa wale waliwapiga vita kwa dini na wakawatowa makwenu wakajitolea kuwatowa muwafwate na mwenye kuwafata basi wao ndio madhalimu(19) sadaqa Allahu Al3adhim:Almumtahin]
Amesema Allah Ta3ala:{(na mupigane kwa njia ya Allah wale wanao wapiga na musiwafanyie uwadui hakika Allah hapendi wanao fanya uwadui(190)}sadaqa Allah Al3adhim:AlbQara]
Kwa mana Allah hajatoa idhni kwa waislamu ila kuwapiga vita wale wanawapiga vita kuzuwia mwito na ulinganizi kwa dini yao kwa kumwabudo Allah pekeyake hana mshirika kwakuwa Allah amifanya watu uhuru beina yao basi hakuna kulazimishana kwa dini,na nakariri fatwa kwa haki na nasema:
{قُلْ إِنِّي أُمِرْتُ أَنْ أَعْبُدَ اللَّهَ مُخْلِصًا لَّهُ الدِّينَ (11) وَأُمِرْتُ لِأَنْ أَكُونَ أَوَّلَ الْمُسْلِمِينَ (12) قُلْ إِنِّي أَخَافُ إِنْ عَصَيْتُ رَبِّي عَذَابَ يَوْمٍ عَظِيمٍ (13) قُلِ اللَّهَ أَعْبُدُ مُخْلِصًا لَّهُ دِينِي (14) فَاعْبُدُوا مَا شِئْتُم مِّن دُونِهِ ۗ قُلْ إِنَّ الْخَاسِرِينَ الَّذِينَ خَسِرُوا أَنفُسَهُمْ وَأَهْلِيهِمْ يَوْمَ الْقِيَامَةِ ۗ أَلَا ذَٰلِكَ هُوَ الْخُسْرَانُ الْمُبِينُ (15) لَهُم مِّن فَوْقِهِمْ ظُلَلٌ مِّنَ النَّارِ وَمِن تَحْتِهِمْ ظُلَلٌ ۚ ذَٰلِكَ يُخَوِّفُ اللَّهُ بِهِ عِبَادَهُ ۚ يَا عِبَادِ فَاتَّقُونِ (16) وَالَّذِينَ اجْتَنَبُوا الطَّاغُوتَ أَن يَعْبُدُوهَا وَأَنَابُوا إِلَى اللَّهِ لَهُمُ الْبُشْرَىٰ ۚ فَبَشِّرْ عِبَادِ (17) الَّذِينَ يَسْتَمِعُونَ الْقَوْلَ فَيَتَّبِعُونَ أَحْسَنَهُ ۚ أُولَٰئِكَ الَّذِينَ هَدَاهُمُ اللَّهُ ۖ وَأُولَٰئِكَ هُمْ أُولُو الْأَلْبَابِ (18) أَفَمَنْ حَقَّ عَلَيْهِ كَلِمَةُ الْعَذَابِ أَفَأَنتَ تُنقِذُ مَن فِي النَّارِ (19)}
Allah amisema:{(Mimi nimiamrishwa ni mwabudu Allah na ikhlas ni yake dini(11)Na nimiamuriwa niwe wakwanza katika waislamu(12)Sema mimi naogopa nikimaaasi mola wangu mlezi adhabu ya siku kuu(13)Sema kwajili ya Allah nabudu na ikhlasi niyake dini(14)Na abuduni munao taka pasi na yeye sema hakika wenye kuhasirika ni wale walio pata hasara za nafsi zao na watu wao siku ya qiyama hakika hio ndio hasara kubwa mno(15)watapata kivuli cha moto ju yao na chini yao kivuli cha moto hivo anawatisha Allah waja wake basi enye waja wangu niogopeni(16)na wale walio jitenga na taghut na kuwabudu na wakataka kulekea kwa Allah basi wana bishara wabashirie waja wangu(17)wale wanao sikiza kauli wakafwata ilio bora hao ndio Amiwaongoza Allah na hawo ndio wenye akili(18)hakika yule ambae anastahiki moto kwa haki wewe utaweza kumtowa alioko motoni(19) sadaka Allah Al3adhim:Alzumur). kwajili ya hio Allah amifanya pepo na moto,ispokuwa Allah ametuamuru tusmamishe hoja ju yao kwa haki na tuwalinganie kwa kumwabudu Allah bila mshirika kwa hikima na mawaidha ilio bora na kuwa aliowaumba na akaumba juwa na mwezi yeye ndio mwenye haki kuabudiwa Allah mola wa walimwengu,mpaka tukismamisha hoja ju yao kwa basira kutoka kwa Allah hapo imishasmamishea hoja ju yao na maregeo yao motoni,kwa kuwa ju yetu ni kufikisha na ju ya Allah kufanya hisabu.
Na hajambiwa na Allah ku'uwa kafiri kwasababu ya kukufuru kwake,sema leteni burhani yenu ikiwa nyinyi wakweli,na nani aliowapa fatwa kwa hilo?hakuna kulazimisha katika dini ya Allah,nawambia wallahi yule ambae hakuna mungu ispoukuwa yeye mimi ni Almhdi Almuntadhar kwa haki kutoka mola wenu mlezi sito mhamisha kafiri hajanipiga vita kwa dini ya Allah,na mimi nitamfanyia wema na uwadilifu na nitamchukulia kama ninavo wachukulia ma Alansar Alsabiqin Alakhyar kuwapa hishima na kuwafanyia tabia njema,sababu najuwa atakavo ona kafiri kutokana na matendo mema kuhishimiwa na tabia njema na kumfanyia uwadilifu itawafanya wakinai ndani ya moyo zao kuwa hi dini ya haki na uwadilifu kutokana kwa mola mlezi wa ulimwengu,ama nije niwaoneshe uwadui na chuki na yeye sio aduwi wa Allah ilatu ni kafiri kwa yale alio teremsha mola mlezi lakini hawaingili wala kuwapiga vita wale walio mwamini Allah,na pindi akiona unavo mtendea wema na kumfanyia uwadilifu hapo atakiani kuwa hi dini imiteremshwa na mola mlezi waulimwengu,ndio bada hapo atasema;"Nashuhudia kuwa hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki ispokuwa Allah na Muhammad mtume wa Allah na namini kwa hi Alquran Al3adhim ambao inamuru uwadilifu na wema hata kama anaikufuru Alquran",hapo mutaeeza kuwafanya watu waukubali na kuwa na kinaa kwa dini ya kislamu haki ni dini ya rehma kwa walimwengu,ama pindi wakiwaona munwachukia kwa hoja kuwa wanakufurisha Alquran Al3adhim lakini hawajawapiga vita wala hawajawazuwia da3wa yenu uliganizi wenu basi WAllah yule ambae hakuna mola ispokuwa yeye hamutowaongeza ila kuzidi kukufuru kwa Alquran Al3adhim wala hamtowaongoza kwa haki kabisa,je kwani mushasahau amri ya Allah kwenu katika muhkam ya kitabu chake kilio wazi katika kauli yake Allah Ta3ala Akisema:
{ادْعُ إِلَىٰ سَبِيلِ رَبِّكَ بِالْحِكْمَةِ وَالْمَوْعِظَةِ الْحَسَنَةِ ۖ وَجَادِلْهُم بِالَّتِي هِيَ أَحْسَنُ ۚ إِنَّ رَبَّكَ هُوَ أَعْلَمُ بِمَن ضَلَّ عَن سَبِيلِهِ ۖ وَهُوَ أَعْلَمُ بِالْمُهْتَدِينَ (125)}
Allah asema:{(lingania katika njia ya mola wako mlezi kwa hikima na mawaidha ilio bora na jadiliana nao kwa ile ilo zuri hakika mola wako mlezi anajuwa nani alio potea katika njia yake na yeye anajuwa wale walio ongoka)}125)sadaqa Allahu Al3adim:Alnahl]
Ndugu yenu Alimam Almahdi Nasser Muhammad Alyamani.
أخوكم الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.
۞منتديات البشرى الإسلامية۞
https://www.mahdi-alumma.com/forum/showthread.php?p=217187