-1-
Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani
الإمام المهديّ ناصر محمد اليمانيّ
02 - رمضان - 1445 هـ
12 - 03 - 2024 مـ
11:43 صباحًا
(Kulingana Na Taqwimu Rasmi Ya Umul Qura)
(بحسب التّقويم الرّسميّ لأم القُرى)
https://nasser-alyamani.org/showthread.php?p=442804
_____



الحُكْمُ مِنَ القُرآن أنَّ الله جَعَلَ غُرَّةَ رَمَضَان لعَامِكم هَذا (1445 هـ) الثُّلاثَاء ..
Hukumu ya Qur-aan ni kwamba Mwenyezi Mungu aliufanya mwanzo wa Ramadhani kwa mwaka waenu huu (1445 hijria) Jumanne.


Bismillah Arahman Arahim Na rehema na amani ziwe juu ya Muhammad, Mtumi wa Mwenyezi Mungu na Mitumi wote, kwa neno lililo sawa baina ya walimwengu (kwamba msimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu peke yake, wala msimshirikishe nae wala msimuombe yeyote pamoja na Mwenyezi Mungu, si duniani wala Akhera) Kadhalika, mwito wa Khalifa wa Mwenyezi Mungu, Imam Mahdi Nasser Muhammad Al-Yamani, uko kwenye njia moja ya ulinganizi ya ma Nabi na Mitumi wote wa Mwenyezi Mungu; Mimi simtofautishi yeyote katika Mitumi wake, Hanifan Musliman, na mimi si miongoni mwa washirikina, basi kilicho baada ya haki isipokuwa upotofu, Thuma Ama Baad.


Amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu ya Waislamu wote wanaomuamini Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa walimwengu wote kutoka mashariki na magharibi ya ardhi. Mungu awabariki waumini kwa mfungo wa mwezi wa Ramadhani unaoanza Jumanne (1) mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa mwaka (1445 Hijiria); Ukweli kwamba kufunga siku ya kwanza ya Ramadhani kunatokana na muandamo wa mwezi mchanga wa Ramadhani katika usiku wa mfungo (mwisho wa Shaban); Hakuna kufunga isipokuwa kwa kuona mwezi wa Ramadhani, kwa kuthibitisha maneno ya Mwenyezi Mungu:
{شَهْرُ رَمَضَانَ الَّذِي أُنزِلَ فِيهِ الْقُرْآنُ هُدًى لِّلنَّاسِ وَبَيِّنَاتٍ مِّنَ الْهُدَىٰ وَالْفُرْقَانِ ۚ فَمَن شَهِدَ مِنكُمُ الشَّهْرَ فَلْيَصُمْهُ ۖ وَمَن كَانَ مَرِيضًا أَوْ عَلَىٰ سَفَرٍ فَعِدَّةٌ مِّنْ أَيَّامٍ أُخَرَ ۗ يُرِيدُ اللَّهُ بِكُمُ الْيُسْرَ وَلَا يُرِيدُ بِكُمُ الْعُسْرَ وَلِتُكْمِلُوا الْعِدَّةَ وَلِتُكَبِّرُوا اللَّهَ عَلَىٰ مَا هَدَاكُمْ وَلَعَلَّكُمْ تَشْكُرُونَ ‎﴿١٨٥﴾‏ وَإِذَا سَأَلَكَ عِبَادِي عَنِّي فَإِنِّي قَرِيبٌ ۖ أُجِيبُ دَعْوَةَ الدَّاعِ إِذَا دَعَانِ ۖ فَلْيَسْتَجِيبُوا لِي وَلْيُؤْمِنُوا بِي لَعَلَّهُمْ يَرْشُدُونَ ‎﴿١٨٦﴾‏}
Sadaqa Allah Al’3adhim:[Sura:Albaqara].


Na katika uthibitisho wa Hadith ya Muhammad, Mtumi wa Mwenyezi Mungu, katika Sunnah ya Ufafanuzi wa Kweli, ambayo haipingani na muhkam ilio wazi maana yake Al’Quran Al3adhim, Na Muhammad Mtumi wa Mwenyezi Mungu amesema:
[لا تصوموا حتى تروا الهلال، ولا تُفطروا حتى تروه]
[Hapana Msifunge mpaka muone mwandamo wa mwezi, na wala msifungue mpaka muuone] Rehema na amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake. Neno kukanusha (hapana) ni uthibitisho wa maana dhahiri, kama mfano Wa Kauli Ya Allah Ta3ala:
{فَمَن شَهِدَ مِنكُمُ الشَّهْرَ فَلْيَصُمْهُ}
[Sura:Al-Baqara/185]; Kwakua funga ya Ramadhani imo katika muhkam ilio wazi maana yake Kitabu cha Mwenyezi Mungu, Al’Quran Al’3adhim, ni uthibitisho wa uhakika wa kuuona mwandmo, na sio kufunga kwa shaka. Basi funga ya shaka iko wapi na neno:
[لا تصوموا حتى تروا الهلال]
[Hapana Msifunge mpaka muone mwandamo wa mwezi]?! Inashangaza sana enyi watu wa Waajemi na Waarabu Waislamu! Ingawa hakuna mtu moja ulimwenguni aliyeona mwandamo wa mwezi mpevu wa Ramadhani baada ya jua kuzama Jumapili (Shaban 29). Pamoja na hayo, wao - nchi nyingi za Kiislamu - wanatangaza kufunga Ramadhani siku ya Jumatatu, ingawa wanajua kuwa Jumatatu bado ni sehemu ya Sha`ban hadi watakapoona mwandamo wa mwezi wa Ramadhani. Ikawa mwanzo wake Wa haki siku ya jumainne; Kauli ilio na ufafanuzi wala sio mzaha, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَأَنزَلْنَا إِلَيْكَ الْكِتَابَ بِالْحَقِّ مُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ مِنَ الْكِتَابِ وَمُهَيْمِنًا عَلَيْهِ ۖ فَاحْكُم بَيْنَهُم بِمَا أَنزَلَ اللَّهُ ۖ وَلَا تَتَّبِعْ أَهْوَاءَهُمْ عَمَّا جَاءَكَ مِنَ الْحَقِّ ۚ لِكُلٍّ جَعَلْنَا مِنكُمْ شِرْعَةً وَمِنْهَاجًا ۚ وَلَوْ شَاءَ اللَّهُ لَجَعَلَكُمْ أُمَّةً وَاحِدَةً وَلَٰكِن لِّيَبْلُوَكُمْ فِي مَا آتَاكُمْ ۖ فَاسْتَبِقُوا الْخَيْرَاتِ ۚ إِلَى اللَّهِ مَرْجِعُكُمْ جَمِيعًا فَيُنَبِّئُكُم بِمَا كُنتُمْ فِيهِ تَخْتَلِفُونَ ‎﴿٤٨﴾‏ وَأَنِ احْكُم بَيْنَهُم بِمَا أَنزَلَ


Hata katika miezi ya kufikilia, hatujawaamrisha kuasi amri ya Mwenyezi Mungu na Mtume wake. kufikilia ni ishara isiyo ya kawaida, ya ulimwengu. Moja ya dalili kubwa za kufikila itatokea katika Ramadhani ya sasa katika tarehe: (Mfunguo ishirini na nane) inayolingana na (Aprili 8, 2024) na mwezi uko katika hali ya kufikilia mwishoni mwa mwezi wa Ramadhani na sio mwanzo wake katika Shawwal.


Kwa vyovyote vile, jua halikufikilia mwezi mwanzoni mwa Ramadhani hii. Bali itaifikia mwisho wake, na mwandamo wa mwezi wa Shawwal utazaliwa kabla ya makutano, na jua litakutana nayo katika kupatwa kituoni, nayo ni mwandamo wa mwezi katika tarehe (Jumatatu - ishirini na nane. ya Ramadhani). Basi Msifunge mpaka muuone mwezi wa Ramadhani, wala msifungue mpaka muone mwezi mchanga wa Shawwal kwa macho, ikiwa mnamuamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho. Basi msifungue saumu za Waislamu katika mwezi wa Ramadhani isipokuwa kwa kuuona mwandamo mwezi wa Shawwal, kwa sababu dhambi kubwa dhidi ya wanavyuoni wa Kiislamu na watawala wao ni pale wanapofungua saumu za watu wa Kiislamu katika mwezi wa Ramadhani na hali hawajashuhudia mwandamo wa mwezi wa Shawwal kwa macho ya kawaida.


Kwa Vyovyote iwavyo, dalili ya kupindukia ilikuwa ni ishara tu ya mabadiliko ya mpangilio wa ulimwengu.Lau watawala na wanachuoni wa Kiislamu wangeshikamana na amri ya Mwenyezi Mungu na Mtumi wake ya kuuona mwandamo mwezi kwa macho ya kawaida, basi ishara ya uvimbe wa miandamo yenye kufikiliwa ingekuwa wazi kwao.


Kwa vyovyote vile, dalili za kufikilia za miandamo za miezi mingi iliyopita zilikuwa onyo kwa wanadamu kwamba mpangilio wa ulimwengu ungeanza kubadilika kutokana na kukaribia kwa sayari ya Saqr, lakini ulikuwa umevuka usawa wa mfumo wa ulimwengu hadi sayari ya Dunia. na kutambua misimu minne ya kiangazi cha Saqr (ishara inayoonekana ambayo hawawezi kuikana).


Na mimi ni khalifa wa Mwenyezi Mungu duniani kote, Imam Mahdi Nasser Muhammad Al-Yamani.Hapo awali nilitangaza kwa walimwengu mwisho wa misimu minne baada ya uvamizi wa kiangazi cha Saqr kwa msimu wa baridi wa sasa wa ulimwengu wa kaskazini, ambao ulikuwa msimu mkali zaidi wa vita vya sayari ili kukabiliana na joto la kiangazi cha Saqar. Ingawa joto la kiangazi cha Saqr imichezea na kuhada majira ya baridi ya Ncha ya kaskazini, pengine watakua wacha Mungu, lakini najua kwamba majira ya kiangazi ya Saqr ndio mshindi baada ya mabadiliko yote ya msimu. Hapo awali tulitangaza kwa walimwengu musingojee chemchemi kidogo mnamo (Machi 21) Katika mwaka wenu wa sasa kwa siku ya kiasi ya masika au vuli ambayo hutokea wakati huo huo kwenye mageuki ya misimu ya chemchemi ya masika tarehe (Machi 21) ya mwezi huu, Enyi watu wa Ncha ya Kaskazini, msingojee chemchemi ya masika ya baridi wastani baada ya majira ya baridi kali siku ya mageuki mnamo: (Machi 21) ya mwezi huu. Na msingoje, enyi watu wa Ncha ya kusini, kwa usawa wa joto wa vuli katika tarehe (Machi 21) ya mwezi huu, baada ya majira ya joto ya sasa huko Ncha kusini; Bali mimi ninamshuhudisha Mwenyezi Mungu, na Mwenyezi Mungu anatosha kuwa shahidi kwamba mimi ni khalifa wa Mwenyezi Mungu duniani kote.” Imam Mahdi Nasser Muhammad Al-Yamani Ninatangaza kwa serikali za ulimwengu wote uvamizi wa kiangazi cha Saqar kwa misimu minne baada ya tarehe (Machi 21) ya mwaka huu. Musisubiri misimu minne baada ya tarehe hii; Kwa sababu kiangazi cha Saqr kitawatawala, ushindi utatangazwa; Enyi watu wa majira ya baridi ya sasa katika Ncha ya Kaskazini, huwezi kupata chemchemi ya masika baada ya tarehe (Machi 21), na huwezi kupata vuli baada ya majira ya joto huko Ncha ya kusini, Badala yake, jitayarishe kwa upepo mkali, wenye kuchoma (vimbunga vyenye moto).


Makafiri walikuwa na kiburi kiasi gani kukiri maeneo yenye vimbunga vilivyokuwa na moto, kwa sababu kama wangekiri chanzo cha moto wa msitu na nyumba uliosambaa katika maeneo hayo, hakika vilikuwa ni vimbunga vilivyokuwa na moto, kielelezo cha dalili za Adhabu kubwa zaidi, labda wangerudi. Tunarudia kusema kuwa watu wenye kiburi wana kiburi.


Na lau wangekiri kwamba hakika wao ni tufani zenye moto zinazo angamiza mali ya amtakaye Mwenyezi Mungu, huenda wakarejea kwa Mola wao Mlezi; Hakika walimwengu wataamini yale aliyowaahidi Mwenyezi Mungu katika muhkam ilio wazi maana yake Al’Quran Al3adhim (ili kuwaonyesha ukweli wa yale aliyowaahidi Mwenyezi Mungu katika Qur'ani tukufu, katika muhkam ilio wazi maana yake kwa Aya iliyo wazi). Katika Kauli ya Allah Ta3ala:
{أَيَوَدُّ أَحَدُكُمْ أَن تَكُونَ لَهُ جَنَّةٌ مِّن نَّخِيلٍ وَأَعْنَابٍ تَجْرِي مِن تَحْتِهَا الْأَنْهَارُ لَهُ فِيهَا مِن كُلِّ الثَّمَرَاتِ وَأَصَابَهُ الْكِبَرُ وَلَهُ ذُرِّيَّةٌ ضُعَفَاءُ فَأَصَابَهَا إِعْصَارٌ فِيهِ نَارٌ فَاحْتَرَقَتْ ۗ كَذَٰلِكَ يُبَيِّنُ اللَّهُ لَكُمُ الْآيَاتِ لَعَلَّكُمْ تَتَفَكَّرُونَ ‎﴿٢٦٦﴾‏}
Sadaqa Allah Al’3adhim:[Sura:Al’Baqara].
Kwa sababu ya pepo za moto zinazobeba chembe za vumbi ya madini, ambao huzunguka wenyewe kwa kasi ya kutisha, ikichoma chembe za vumbi katika hewa yenye joto, kwa amri ya Mungu. Kwa sababu ya kasi ambayo mwelekeo wa vimbunga huzunguka yenyewe, huchoma chembe za vumbi katika hewa ya moto. Kwa kweli, si lazima kwa hali ya joto kuwa kali ili kuunda maeneo ya vimbunga vyenye moto; Bali, ni theluthi moja tu ya kiwango cha kuchemsha cha maji (digrii thelathini na tatu na zaidi) kwa apendacho Mungu. Mungu anapotuma tufani, kimbunga cha moto hujizunguka kwa sababu ya kugongana kwake na upepo ulio chini ya hali ya joto kuliko hiyo, na kwa sababu ya kasi ya pepo za moto na pepo zingine zinazopingana na joto la chini. upepo hugawanyika na kuwa vimbunga vidogo ambavyo Yajizunguka yenyewe kwa haraka sana; Na ninasema juu yake yenyewe, ili kuchoma chembe za vumbi ndani ya kimbunga, na kisha huwaka miti ya misitu na bustani za bustani za kupendeza. Na inashambulia nyumba; Nafasi hawapati wenye nyumba, ispokua wakiacha nyumba zao na mali zao nyuma ya migongo yao.Lau wangeamini na wakawa waaminifu, Mwenyezi Mungu angewafidia kilicho bora zaidi kuliko kile kilichochukuliwa kutoka kwao.


Kwa hali yoyote, vimbunga vya moto vina udanganyifu ambao hamukutarajia. Na eee maajabu inyi jumia ya wasio kua warabu na warabu! Basi munataka nini baada ya ishara ya moto uliotolewa na sayari ya Saqr, iliyounguza (Texas, Marekani) kwa changamoto kali kutoka kwenye sayari ya Saqar, Mungu akipenda, Mmoja, Mwenye nguvu, Mwenye kusifiwa.Katika moyo wa majira ya baridi kali. na katika wiki moja, halijoto ya baridi katika jimbo la Marekani la Texas ilikuwa (nyuzi 22 chini ya sifuri) mnamo: (Februari 15) Mwezi wa theluji na kuteleza kwenye theluji?!
Nani angeamini kuwa moto utatokea mwishoni mwa wiki kutokana na ongezeko la ghafla la joto kutokana na kurushwa vuke la moto la kisaqari ambalo lilibadilisha eneo kutoka digrii ishirini na mbili chini ya sifuri hadi hali ya joto ya hewa ya kimbunga? Je, hii haitatokea isipokuwa kwa muujiza usio wa kawaida wa fizikia ya Ulimwengu, kwa kuwa hawako katika msimu wa joto na misimu ya moto ni katika majira ya joto? Kwa hivyo Mungu alichaguaje mwezi wa theluji na kuteleza kwenye theluji (Februari), na pia akachagua eneo la Amerika Kaskazini, na pia akachagua majimbo baridi zaidi Amerika Kaskazini; Bali(nyuzi 22 chini ya sifuri)! Majira ya joto ya Saqr yalipeperusha majira ya baridi ya eneo hilo kwa usiku mmoja katika wiki hiyo hiyo, kutoka digrii ishirini na mbili chini ya sifuri hadi pepo kali zaidi za vuke ambazo hutengeneza tufani zenye moto kutoka kwa chembe za vumbi, kwa hivyo tufani huibuka kwa amri ya Mwenyezi Mungu na huzunguka sana. haraka kuzunguka wenyewe katika hewa ya moto. Kwa sababu ya msuguano mkali wa vichembe za madini ndani ya vumbi ndani ya kimbunga katika hewa moto, chembe za vumbi huwaka kwa sababu ya msuguano wao kwa kasi kubwa katika kimbunga katika hewa yenye joto isiyopungua (nyuzi 33 au zaidi); Vimbunga havihitaji joto kali.


Ukweli kwamba vimbunga vinavyotengeneza moto huunda moto ni kwa sababu ya msuguano wa atomi za mchanga na hewa moto ndani ya kimbunga, kwa hivyo atomi za mchanga huwaka kwa sababu ya kuzunguka kwa kasi kwa kimbunga kuzunguka yenyewe kwa kasi kubwa katika hewa ya moto; Moto ndio unazaliwa ndani ya kimbunga. Kisha inaondoka, ikiwa imebeba moto wake kwenda kuteketeza miti na nyumba, basi jihadhari na mbinu za Mwenyezi Mungu, Al’Wahid Al’Qahar.


Je, hivi hamujui sababu ya kuungua kwa nezaki kimondo cha mawe katika anga ya dunia yenu? Ni kutokana na msuguano katika safu ya joto ya anga; Kwa sababu inasonga kwa mwendo wa kasi katika hali ya hewa ya joto, msuguano husababisha mwako, kwa hivyo unawezaje kuzuia mwako wa chembe za mchanga zinazozunguka haraka ndani ya kimbunga cha upepo mkali? Je,Hamutafakari?! Haukuumbi ila kwa amri ya Mungu. Basi mcheni Mwenyezi Mungu, wala Mwenyezi Mungu hakukuahidini kwa mzaha, ametakasika kwenye Kauli Ya Allah Ta3ala:
{أَيَوَدُّ أَحَدُكُمْ أَن تَكُونَ لَهُ جَنَّةٌ مِّن نَّخِيلٍ وَأَعْنَابٍ تَجْرِي مِن تَحْتِهَا الْأَنْهَارُ لَهُ فِيهَا مِن كُلِّ الثَّمَرَاتِ وَأَصَابَهُ الْكِبَرُ وَلَهُ ذُرِّيَّةٌ ضُعَفَاءُ فَأَصَابَهَا إِعْصَارٌ فِيهِ نَارٌ فَاحْتَرَقَتْ ۗ كَذَٰلِكَ يُبَيِّنُ اللَّهُ لَكُمُ الْآيَاتِ لَعَلَّكُمْ تَتَفَكَّرُونَ ‎﴿٢٦٦﴾‏}
Sadaqa Allah Al’3adhim:[Sura:Al-Baqara],
Ikimaanisha kuwa kimbunga hicho kiliharibu bustani yake, bustani zake, nyumba yake na mali zake, na mwenye nyumba, familia yake na watoto wake wakakimbia. Aliwaacha watoto wake bila makao wakiwa wanyonge, watoto wadogo, na baba yao akaanguka katika uzee na mifupa dhaifu. Hana nafasi ya kupata mustakabali wa watoto wake na mahitaji ya maisha kutokana na uzee wake. Mmiliki wa nyumba hiyo na watoto wake walikimbia, na kuacha bustani yake ya kijani na nyumba yake kwenye kimbunga cha moto. Niliwaonya zamani sana kwamba wao ni askari wa Mungu wenye nguvu za kijeshi zenye uharibifu zinazochoma miti na nyumba. Enyi umma wa Waislamu na wakanushaji katika makafiri, je, hamtaki kusema: “Hii ni adhabu ya kimbunga ambamo ndani yake mna moto, na haki inatoka kwa Mwenyezi Mungu, Mmoja, Mwenye kushinda? ! Je, hamutaki kukiri ukweli wa ishara za Mungu katika uhalisi wa kweli mpaka shirika la Marekani la NASA litambue?!
Je, hamutaki kusema: Mwenyezi Mungu na Mtumi wake Muhammad na Nasser Muhammad wamesema ukweli au mpaka kwamba shirika la NASA la Marekani litambue kuwa kweli ni kimbunga chenye moto, hata ukiona vimbunga vya moto mbele ya macho yako?! Je, hamutaki kusema kwamba Mungu Mkuu amesema kweli? Hii ni moja ya ukweli wa aya za maonyo za Mwenyezi Mungu katika muhkam ilio wazi maana yake Al’Quran Al3adhim?! Na iliundika hapo awali kwa sababu ya joto la jua, Basi mwaonaje ikitokana na Saqar ambao ni (Jahannamu)?! Je nyinyi ni wanyama, ama ni katika wana wa Adam, Ama ni ngombe hatafakari?! Basi ole wenu tena ole wenu kutokana na joto la Saqar.


Lakini mimi ni khalifa wa Mwenyezi Mungu, Mahdi Nasser Muhammad Al-Yamani, ambaye anatawala chombo cha Marekani cha NASA na wengineo kwa mamlaka ya elimu kutoka katika muhkam ilio wazi maana yake Al’Quran Al3adhim. Washuhudie viumbe wawili wakubwa (wanadamu na majini) na walio karibu. Malaika wa Mwingi wa Rehema wanashuhudia tangazo la Nasser Muhammad Al-Yamani kwamba Mwenyezi Mungu atapandisha joto hadi (nyuzi 151) na katika mwaka wako huu (1445) Hijri) unaolingana na (2024).


Swali linalojitokeza ni: Ikiwa Mungu alijibu dua ya mja Wake na akakuleteni nusu ya joto la masika ya Saqr (nyuzi 75.5) au kidogo ya hio kwa kidogo;
Je, itawatosha ushuhuda kwenu kuhusu ukweli wa ishara ya kiangazi cha Saqar?! Natamani halijoto ya majira ya kiangazi ya Saqr ingekuwa (nyuzi joto 51) katikati ya masika na vuli yanayokuja; Je,utapatikana ukumbusho kwenu?! Au jeuri hiyo itaendelea mpaka kufikia (digrii 75.5) kisha mpaka joto la kuzimu moshi unaoonekana (nyuzi 151)?! Tatizo ni kwamba matukio haya yanatokea katika mwaka wenu huu (1445 Hijiria) na munajua kwamba sisemi kuhusu Mungu nisiyoyajua kwa yakini.


Waya Subhana Allah! Vipi haziwazidishi ishara za Mungu ispokua machukizo yenu Ju ya uchafu wenu?! Haya ndiyo malipo ya wanaotakabari, hata kama wito wa haki utokao kwa Mola wao Mlezi uko wazi kwao na wanajua kwa yakini ukweli wa mlinganiaji kwa Mwenyezi Mungu. Je, watu waliotakabari wa Nabii wa Mwenyezi Mungu Ibrahimu walinufaika na muujiza wa moto ambao mbao zao walizileta kwa mikono yao wenyewe na wakajenga jengo pembezoni mwake, wakamtupa Mtume wa Mwenyezi Mungu Ibrahimu katika moto wa Jahannamu (rehema na amani ziwe juu yake). ) Kisha Nabii wa Mwenyezi Mungu Ibrahimu, Mvumilivu, akasema: “Ee Mwenyezi Mungu, wasamehe watu wangu, kwani wao hawajui.” Akasema Allah Ta3ala:
{قُلْنَا يَا نَارُ كُونِي بَرْدًا وَسَلَامًا عَلَىٰ إِبْرَاهِيمَ ‎﴿٦٩﴾‏}
Sadaqa Allah Al’3adhim:[Sura:Al-Anmbia]?!
Je, Hivi akili haisemi: “Hii ni ishara kubwa na yenye uwazi, basi vipi moto usimunguze Ibrahimu?! Bali, alitetewa na Mungu ambaye anawaita kumwabudu Yeye peke yake, bila washirika. Bila shaka itawabainikia kwamba yeye ndiye Haki (Mtumi kutoka kwa Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa walimwengu) isipokuwa wamepotea zaidi ya wanyama katika njia.” Na jawabu: Allahuma Ndio; Bali ni wamepotea zaidi kuliko wanyama. Kwa sababu iliwadhihirikia kwamba mwito wa Nabii wa Mwenyezi Mungu, Ibrahim, ulikuwa wa kweli tangu alipoyaangamiza masanamu yao, na wala haikumpata ubaya kama walivyomuahidi, kutokana na yale waliyokuwa wameyarithi kutokana na imani yao. akina baba, kwamba ingedhuru na kufaidika. Basi Nabii wa Mwenyezi Mungu, Ibrahim, akawafunulia uwongo wao na uwongo wa baba zao waliowafuata kama kipofu, na kwa ajili hiyo wakasema nafsini mwao kwa siri vifuani mwao. Akili zao zikawapa fatwa ya kuwa wao ni madhalimu na sio Nabii wa Mwenyezi Mungu, Ibrahim.Huku ni kukiri na kukiri ndani ya nafsi zao, na hawakuambiana kabisa, na Mwenyezi Mungu pekee ndiye anayejua.Bali walikwenda mbali sana katika kiburi chao, na wala hata Aya ya Moto ambayo Mwenyezi Mungu Aliuwambia: "كُوني بَردًا وسلامًا على إبراهيم" “Kua Baridi na amani ju ya Ibrahim” Pia walikwenda mbali sana katika kiburi chao; Kwa hiyo Mungu akageuza mioyo yao mpaka katika uwume! Basi wakawaacha wanawake na wanaume wakaridhika na wanaume (Uchafu wa kwanza miongoni mwa wanadamu ambao hakuna mtu duniani aliyewahi kuwatangulia.) Na walikufuru wito wa Mitume wa Haki kutoka kwa Mola wao (Ibrahim na Lut'i) mpaka Mwenyezi Mungu akawaangamiza kwa moto wa nyota Saqr al-Lawaha linalo wajia kwa wanadamu karibu miaka elfu sita iliyopita.Je, kuna yeyote anayezingatia?!


Kwa hali yoyote, Hakika nyinyi munaona kwamba hamuwezi kuvumilia bomu la joto (nyuzi 151), kwa hiyo mulikuwa na kiburi juu yake; Basi unawezaje kuwa na subira na joto la moto unaochochewa na mawe?! Je, nyinyi hamuogopi Mwenyezi Mungu, Pekee, Mwenye kushinda? Au munamuona Nasser Muhammad Al-Yamani kuwa ni miongoni mwa waongo? Kisha nawaambia, shuhudieni dua hii na nasema: Allahuma Ee Mungu, ikiwa unajua kuwa umenifanya Khalifa wako juu ya ulimwengu wote, basi ni nani anayeweza kufikia changamoto hizi za ulimwengu isipokuwa Mwenyezi Mungu, Mola wangu na Mola wenu Mlezi? Na ikiwa mimi ni mwongo, basi uwongo wangu uko juu yangu,Na kiasigani nimewahofisha, na hakukuzidishieni ispokua ukafiri na umbali wa kukifuata Kitabu chake, Qur'ani Tukufu, na mumekataa kukiri kuwa Mwenyezi Mungu amenifanyia Khalifa wake juu ya dunia nzima (ardhi yake na bahari yake).


Ewe (Joseph Biden) na aliye kama yeye katika walimwengu wote, sikilizeni ninayosema: Ikiwa Ansar Allah wa Yemen wanapigana ardhini, basi mimi ndiye Khalifa wa Mwenyezi Mungu, Mahdi Nasser Muhammad Al-Yamani (Khalifa wa Mungu Al’Wahid Al’Qahar), basi munaonaje juu ya uwezo wa Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa walimwengu wote Ambae Atamdhihirisha Khalifa wake juu ya mataifa yote ya watu katika usiku mmoja, na wafanyao kiburi ni miongoni mwa wanyonge?! Tutaangalia na kuona ikiwa Mungu, ambaye amenichagua kuwa mrithi wake juu ya ulimwengu wote, ana lengo kuu? Hakuna njia kwa makafiri, wahalifu, waharibifu katika Ardhi Tukufu na kwingineko, na wakanushaji katika Waislamu kwa vita vya Mwenyezi Mungu, Mola


Mlezi wa walimwengu wote. Na Mwenyezi Mungu ananishuhudia, na Mwenyezi Mungu anatosha kuwa shahidi, kwamba ninawatakia ansar Allah wa Yemen uwongofu na ushindi ulio wazi, na kwamba Mwenyezi Mungu ataziongoza nyoyo zao na watu wote wa Yemen kwenye njia iliyonyooka. Lakini hawawezi Kumshirikisha Khalifa wa Mungu juu ya walimwengu, Imam Mahdi Nasser Muhammad Al-Yamani, na vile vile Imam Mahdi Nasser Muhammad Al-Yamani hapaswi kuongozwa na yeyote katika viumbe vyote vya Mungu; Bali haifai kwa Mtumi wa Mwenyezi Mungu, Masihi Isa bin Maryam, kumuongoza Khalifa wa Mwenyezi Mungu, Imam Mahdi Nasser Muhammad Al-Yamani, kwani mimi ndiye Khalifa wa Mwenyezi Mungu, Utukufu ni Wake. basi vipi Khalifa wa Mwenyezi Mungu aongozwe na yeyote asiyekuwa Mwenyezi Mungu na hali Mwenyezi Mungu amenichagua mimi kwenye ngazi ya ukhalifa wa kimataifa (ukhalifa mkubwa zaidi katika historia ya mwanadamu).Bado tunathibitisha kwamba Khalifa wa Mwenyezi Mungu, Imam Mahdi Nasser Muhammad Al-Yamani, hatakiwi kuongozwa na Malaika Jibril, ambaye amekabidhiwa ukhalifa juu ya Malaika ( kwa Mwenye Arshi,makinifu, mtiifu kisha Mwaminifu); Asimwongoze Khalifa wa Mwenyezi Mungu, Imam Mahdi Nasser Muhammad Al-Yamani, na vile vile ndugu mtukufu (Abu Jibril Abdul-Malik Badr al-Din Al-Yamani) asiongoze Khalifa wa Mwenyezi Mungu, Imam Mahdi Nasser Muhammad. Al-Yamani.


Enyi watu, Khalifa wa Mwenyezi Mungu, Imam Mahdi, hana kiburi wala hajighuri; Lakini mimi ni khalifa aliyechaguliwa na Mungu, Na ni nani dhalimu mkubwa kuliko yule anaye mzulia Mwenyezi Mungu uwongo au anaye zikadhibu Aya zake? Hakika Hawatafaulu madhalimu, na ninasema: Oh, oh.. Lau ningekuwa miongoni mwa waongo, nisingewahofia Waarabu Walio potea na wasiokuwa Waarabu kutokana na adhabu ya Mwenyezi Mungu. Wallahi ninawaambia ndugu zangu katika damu kutoka kwa Hawa na Adam kwamba mimi nakukhofieni. mateso ya siku ya uharibifu.Sayari ya mateso sasa imekaa mlangoni, na itapita juu ya Dunia kwa umbali wa (kilomita 43,200,000), ikimaanisha kuwa hatua ya perigee imeweka kati yake na sayari ya Dunia kwenye sehemu ya karibu zaidi ya kupita ( milioni arobaini na tatu na laki mbili kilo mita) haswa;


Kwa sababu ni sawa na mduwara mkubwa Wa Ardhi, ambapo mchana na usiku hubadilishana kutoka mashariki hadi magharibi, na inatoka kusini mwa Dunia, na sikuona kuwa mulihesabu mduara wa Dunia kwa usahihi mkubwa bila kosa kwa sababu ya kutojua kasi ya sayari ya Dunia ni nini kwa sekunde kutoka magharibi hadi mashariki ndani ( 86,400 Kitengo cha hesabu).
Ni hio ni ile munaoita (sekunde), na huo ni mzunguko wa Dania kuzunguka yenyewe ili kutumia siku yake kwa kasi ya kudumu katika speed mita; Speed mita ya sayari ya Dunia: mita mia tano kwa sekunde, ikizidisha idadi ya sekunde kwa siku moja (86400), kwa hivyo matokeo yake ni mita sawa haswa (mita 43,200,000), Ninasema mita, sio kilo, na kwa kuwa kilo = mita elfu, basi mita hubadilishwa kuwa kilowati. Itakubainikieni ncha kamili ya Dunia (kilomita 43,200), Ili kufafanua kwa wale ambao si wazuri wa kusoma nambari za hesabu, tunasema: Mzingo wa sayari ya Dunia kutoka mashariki hadi magharibi ni sawa: (kilomita elfu arobaini na tatu na mia mbili) kwa usahihi usio kubalika kosa kabisa. Kwa kuwa kilo = mita elfu, hapa mzingo wa sayari ya kati ya Dunia, ambapo mashariki na magharibi ni, inakuwa wazi kwako, hivyo ikweta halisi ya ukweli ya sayari ya Dunia itatimu kujulikana na wala sio ile kufkiria; Bali ukweli halisi kwenye wakii ya uhakika, ambao ni sawasawa (kilomita alfu 43,200), na Kuandika kwa ufafanuzi: (kilomita arobaini na tatu elfu na mia mbili) kwa usahihi usio na kikomo kwamba Dunia inajizunguka yenyewe katika masaa 24 kutoka hatua ya magharibi hadi kutua kwa jua;
Na kila moja kulingana na nukta ya kuzama kwake, kutoka kwa nukta ambayo yeye anaishi humo, kutoka nukta hio hadi nukta hio hio pahala sawa katika eneo la kubadilisha mchana na usiku.


Ni mstari wa kanda wa mchana na usiku wa sayari ya Dunia (mstari mpana wenye pembe tofauti), lakini eneo hilo pana ni kipenyo cha kweli cha sayari ya Dunia, ambayo ni mistari mrefu zaidi za pembezoni. Na wakimwengu Wote wako katika mstari huu na mipaka yake kutoka upande wa kusini-mashariki hadi uliokithiri kusini-magharibi, unaoenea pande zote mbili za mashariki, magharibi na katikati. Kwa hiyo, urefu wa usiku na mchana ni sawa katika siku ya mageuzi, ambayo ndiyo wanaiita: (mstari wa sifuri), ambayo ni ile ambayo jua linachomoza siku ya kujirakibisha sawa. Msidanganyike na (Google Earth), kwani lau ingekuwa sahihi, wasingeifanya kuwa ya umbo la duara ilhali wanajua kuwa ni mviringo, na Khalifa wa Mwenyezi Mungu, Mahdi Nasser Muhammad Al-Yamani, hatakiwi afwate matamanio yao; Bali chochote kilichoafikiwa na Qur’ani Tukufu nakichukua na kinachopingana nacho nakiacha nyuma ya mgongo wangu na nakuletea haki na maelezo bora kabisa; Hayo ndiyo aliyonifundisha Mola wangu Mlezi katika Al’Quran Al3adhim, kuanzia (mwaka mmoja - siku Mungu alipoziumba mbingu na ardhi) Je, unadhani kuwa Mwenyezi Mungu ataiandika? Mwaka ni miezi kumi na mbili?! Au siku mia tatu na sitini, na "mwaka mmoja" imeandikwa karibu nayo?! Hapana, hii sio mantiki; Ukweli kwamba idadi ya miaka na hesabu ya nambari ya kielektroniki ni sahihi katika Al’Quran Al3adhim; Ukweli kwamba siku moja ina (vitengo 86,400 vya hisabati), ambayo ndiyo munayoiita (sekunde), na jina lake halisi ni: (kitengo) katika Kitabu, maana yake: (kipimo cha wakati), ambacho ni mapigo. ya wakati, kama mapigo ya moyo wa mwanadamu. Ili kujua idadi ya miaka na hesabu, unazidisha (vitengo vya hesabu kwa siku) kwa (360) ili kupata: (mwaka mmoja) (mwaka wa kwanza katika historia ya umilele - siku ambayo Mungu aliumba mbingu na ardhi) Kwa usahihi kabisa katika idadi ya miaka ya nambari dijiti na hesabu, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
هُوَ الَّذِي جَعَلَ الشَّمْسَ ضِيَاءً وَالْقَمَرَ نُورًا وَقَدَّرَهُ مَنَازِلَ لِتَعْلَمُوا عَدَدَ السِّنِينَ وَالْحِسَابَ ۚ مَا خَلَقَ اللَّهُ ذَٰلِكَ إِلَّا بِالْحَقِّ ۚ يُفَصِّلُ الْآيَاتِ لِقَوْمٍ يَعْلَمُونَ ‎﴿٥﴾‏ إِنَّ فِي اخْتِلَافِ اللَّيْلِ وَالنَّهَارِ وَمَا خَلَقَ اللَّهُ فِي السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ لَآيَاتٍ لِّقَوْمٍ يَتَّقُونَ ‎﴿٦﴾‏}
Sadaqa Allah Al’3adhim: [Sura:Yunus].


Kuhusu tarehe ya jua, huanza kutoka jua hadi jua, kwa kuwa tarehe ya jua inahusu misimu na hali ya hewa ya Dunia. Mwezi hauna uhusiano wowote na misimu minne ya mwaka; Bali, kazi ya kudhibiti hili kwa kuhesabu katika kitabu kuhusu misimu ni tarehe ya jua katika Al’Quran Al3adhim. Hii inahusika na kudhibiti jua kutoka kuchomoza hadi kuchomoza kwa kuhesabu kuchomoza kwake kutoka kuchomoza hadi kuchomoza ya jua kila siku. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَجَعَلْنَا اللَّيْلَ وَالنَّهَارَ آيَتَيْنِ ۖ فَمَحَوْنَا آيَةَ اللَّيْلِ وَجَعَلْنَا آيَةَ النَّهَارِ مُبْصِرَةً لِّتَبْتَغُوا فَضْلًا مِّن رَّبِّكُمْ وَلِتَعْلَمُوا عَدَدَ السِّنِينَ وَالْحِسَابَ ۚ وَكُلَّ شَيْءٍ فَصَّلْنَاهُ تَفْصِيلًا ‎﴿١٢﴾‏}
Sadaqa Allah Al’3adhim:[Sura:Al-israa].


Kwa hiyo njoni kuunda (mwaka mmoja) kuanzia mwaka wa kwanza katika historia ya wakati. Kwa hiyo ilikuwa mwaka mmoja na idadi (mwaka 1) kwa sababu idadi ya miaka inaanza na mwaka wa kwanza (mwaka wa kwanza katika idadi ya miaka); Kwa hivyo njooni kwenye muundo wake, iwe ni kimwezi mwandamo kutoka kuzama hadi kuzama au kulingana na hesabu ya jua kutoka kuchomoza hadi kuchomoza, kama ifuatavyo:
Kwa kuwa kikokotoo hakijui cha kuhesabu, kwa kuwa kazi ya nambari za akaunti ni kuunda (akaunti haidhibitiwi isipokuwa kwa sheria sahihi na sahihi kabisa), basi mwaka wa kwanza, ambao ni (mwaka mmoja), lazima uundwe. kama ifuatavyo: (31,104,000) vitengo vya hesabu kwa mwaka mmoja, Kwa hivyo njooni kuunda vitengo vya mapigo ya akaunti kwa msingi wa sheria sahihi kwenye kitabu kama ifuatavyo: Suala la hesabu: Kwa kuwa vitengo vidogo vya hesabu ndivyo unavyoviita (sekunde); Nambari hii ina vitengo vya hesabu kwa mwaka mmoja kama ifuatavyo:


12÷30÷24÷60÷60÷31,104,000
=
Mwaka 1
Yani: mwaka mmoja, Ni mwaka wa kwanza katika historia ya wakati, karibu miaka miliyari kumi na nane iliyopita. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَجَعَلْنَا اللَّيْلَ وَالنَّهَارَ آيَتَيْنِ ۖ فَمَحَوْنَا آيَةَ اللَّيْلِ وَجَعَلْنَا آيَةَ النَّهَارِ مُبْصِرَةً لِّتَبْتَغُوا فَضْلًا مِّن رَّبِّكُمْ وَلِتَعْلَمُوا عَدَدَ السِّنِينَ وَالْحِسَابَ ۚ وَكُلَّ شَيْءٍ فَصَّلْنَاهُ تَفْصِيلًا ‎﴿١٢﴾‏}
Sadaqa Allah Al’3adhim:[Sura:Al-israa].


Si jambo la akili kuandika idadi ya miezi 12 kwa mwaka wa kwanza kwa kisingizio kwamba miaka katika Kitabu cha Mungu ni miezi 12! Hili halina ubishi, lakini Mungu alitufundisha utungaji wa mwaka kuanzia miezi, hivyo ni lazima tupate namba moja; Hiyo ni: (mwaka mmoja) kama ifuatavyo: (mwaka 1)
Hiki ndicho kinachomaanishwa na maneno ya Mwenyezi Mungu: “Mtajua kwa usahihi kabisa ionao kata makosa kwa nambari ya idadi kuanzia tarehe ya mwaka wa kwanza katika hesabu za kitabu.”


Hatutaki kukuchelewesheni kwa muda mrefu, basi muchoke enyi jumuiya ya watafiti, kwa sababu nyinyi si kama watafutaji elimu ma Ansari. Fawallahi Lakini bayana moja ingekuwa na urefu wa mita elfu moja, mtafuta elimu angeisoma kwa raha zote huku akiomba zaidi. Mtafutaji wa elimu ni kama Jahannam: “Je umetosheka! Inasema: “Kuna zaidi?” Lakini tatizo ni kwamba Ansari wanaharakisha na kunilazimisha niandike bayana mpya kabla ya wakati wake, Isipokuwa tu tuzijaze nyoyo zao mwanga wa bayana hiyo mpya kwa kisingizio kwamba wana wasiwasi wa Imamu wao.


Na Enyi wapenzi wangu katika upendo wa Mwenyezi Mungu, hatukukunyanyueni kiroho ili kupigana na Mwislamu au kafiri ambaye hakupigana nasi katika dini yetu; Bali kutetea ardhi zenu, nyumba zenu na matukufu yenu, lakini Imam Mahdi hatakiwi kuongozwa na mtu yeyote kwa sababu yeye ni khalifa wa Mwenyezi Mungu, hivyo inapotokea mapigano ya ana kwa ana katika Bahari nyekundu, basi kila tukio. ina hadithi. Hatutaruhusu chochote kinachotishia usalama wa Yemen, mji mkuu wa kati wa ukhalifa wa kimataifa, ewe (Joe Biden). Na ninaapa kwa yule aliyewaangamiza Thamud na Adi na kuwazamisha Mafarao wa Shadidi hakika watatandaza mazulia ndani ya Ikulu White House baada ya kushindwa katika vita vya dunia.
Hamuna uweza na askari wa Mungu wa ulimwengu.


Hebu nguvu zote za muungano wa uchokozi, Walinzi wa Shetani katika Bahari nyekundu, zirudi katika nchi zao na kusimamisha vita katika Ramadhani, isipokuwa; Basi tutaona ni nani msaidizi dhaifu na mdogo kwa idadi - je, ni Shet'ani na walii wake au ni Mwingi wa Rehema na walinzi wake?


Allahuma Wasaidie wale wanaowaunga mkono wanyonge katika Gaza na Palestina tukufu.Ee Mwenyezi Mungu, ziongoze nyoyo za watu wenye huruma wa ubinadamu katika ulimwengu wote. Wewe unajua zaidi yaliyomo katika nyoyo za waja wako, na ahadi yako ni kweli, na wewe ni mwingi wa kurehemu kuliko wanaorehemu."


Na Ramadhani Mubarak kwa Waislamu wote na watu wote wa kweli na rehema wa ubinadamu katika walimwengu.




Na Salam Ju Ya Mitumi Na Al’Hamdulillah Rabil3alamin..
Khalifata’Allah Al’Imam Al’Mahdi; Nasser Muhammad Al’Yamani.
خليفةُ الله الإمام المَهديّ؛ ناصر محمد اليمانيّ.
_____

======== اقتباس =========

اقتباس المشاركة 442804 من موضوع الحُكْمُ مِنَ القُرآن أنَّ الله جَعَلَ غُرَّةَ رَمَضَان لعَامِكم هَذا (1445 هـ) الثُّلاثَاء ..

- 1 -
الإمام المهديّ ناصر محمد اليمانيّ
02 - رمضان - 1445 هـ
12 - 03 - 2024 مـ
11:43 صباحًا
(بحسب التّقويم الرّسميّ لأم القُرى)

[لمتابعة رابط المشاركة الأصلية للبيان]
https://nasser-alyamani.org/showthread.php?p=442718
_________


الحُكْمُ مِنَ القُرآن أنَّ الله جَعَلَ غُرَّةَ رَمَضَان لعَامِكم هَذا (1445 هـ) الثُّلاثَاء ..


بِسْم الله الرَّحمن الرَّحيم والصَّلاة والسَّلام على مُحَمدٍ رَسُول الله وكافَّة المُرسَلين بكلمةٍ سواءٍ بين العالَمين (أن لا تعبدوا إلَّا الله وحده لا شريك له وأن لا تدعوا مع الله أحدًا لا في الدُّنيا ولا في الآخرة) فكذلك دعوة خليفة الله الإمام المهديّ ناصر محمد اليمانيّ على نفس المَسار لدعوة كافَّة أنبياء الله ورسله؛ لا أُفَرِّق بين أحَدٍ مِن رسله حنيفًا مُسلِمًا وما أنا مِن المُشرِكين، فماذا بعد الحَقِّ إلَّا الضَّلال، ثُمَّ أمَّا بعد..

سلامُ الله على كافَّة المُسلِمين المُؤمنين بالله رَبّ العالَمين في مشارِق الأرض ومغاربها، وبارَك الله للمؤمنين صيام شهر رمضان بدءًا بيوم الثلاثاء (1) شَهر رمضان المُبارك لعام (1445 هـ)؛ كون صِيام أول يوم في رمضان هو برؤية هِلال رمضان في ليلة الصيام (نهاية شعبان)؛ فلا صيام إلَّا برؤية هلال رمضان تصديقًا لقول الله تعالى:
{شَهْرُ رَمَضَانَ الَّذِي أُنزِلَ فِيهِ الْقُرْآنُ هُدًى لِّلنَّاسِ وَبَيِّنَاتٍ مِّنَ الْهُدَىٰ وَالْفُرْقَانِ ۚ فَمَن شَهِدَ مِنكُمُ الشَّهْرَ فَلْيَصُمْهُ ۖ وَمَن كَانَ مَرِيضًا أَوْ عَلَىٰ سَفَرٍ فَعِدَّةٌ مِّنْ أَيَّامٍ أُخَرَ ۗ يُرِيدُ اللَّهُ بِكُمُ الْيُسْرَ وَلَا يُرِيدُ بِكُمُ الْعُسْرَ وَلِتُكْمِلُوا الْعِدَّةَ وَلِتُكَبِّرُوا اللَّهَ عَلَىٰ مَا هَدَاكُمْ وَلَعَلَّكُمْ تَشْكُرُونَ ‎﴿١٨٥﴾‏ وَإِذَا سَأَلَكَ عِبَادِي عَنِّي فَإِنِّي قَرِيبٌ ۖ أُجِيبُ دَعْوَةَ الدَّاعِ إِذَا دَعَانِ ۖ فَلْيَسْتَجِيبُوا لِي وَلْيُؤْمِنُوا بِي لَعَلَّهُمْ يَرْشُدُونَ ‎﴿١٨٦﴾‏} صدق الله العظيم [سورة البقرة].

وتصديقًا لِحَديث مُحَمَّدٍ رسول الله في سُنَّة البيان الحَقّ التي لا تُخالِف مُحكَم القرآن العظيم، وقال محمدٌ رسول الله:
[لا تصوموا حتى تروا الهلال، ولا تُفطروا حتى تروه] صدق عليه الصَّلاة والسَّلام. فكلمة النَّفي (لا) بُرهانٌ قطعيُّ الدَّلالة كمثال قول الله تعالى: {فَمَن شَهِدَ مِنكُمُ الشَّهْرَ فَلْيَصُمْهُ} [سورة البقرة: 185]؛ كون صيام رمضان في مُحكَم كتاب الله القرآن العظيم هو البُرهان القطعيّ برؤية الهِلال، وليس صيام الشَّك، فأين صِيام الشَّك مِن كلمة: [لا تصوموا حتى تروا الهلال]؟! فيا للعَجَب يا معشَر العَجَم والعَرَب المُسلِمين! فرغم أنه لم يشهد هلال رمضان بعد غروب شمس الأحد (29 شعبان) أحَدٌ في العالَمين؛ ورغم ذلك يُعلِنوا - غالِبيَة دُوَل المُسلِمين - صِيام رمضان بيوم الإثنين رغم أنَّهم يعلَمون أنّ يوم الإثنين لا يزال من شعبان حتى يشهدوا هلال رمضان، فكانت غُرَّته الحَقّ يَوم الثلاثاء؛ القول الفصل وما هو بالهزل، تصديقًا لقول الله تعالى: {وَأَنزَلْنَا إِلَيْكَ الْكِتَابَ بِالْحَقِّ مُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ مِنَ الْكِتَابِ وَمُهَيْمِنًا عَلَيْهِ ۖ فَاحْكُم بَيْنَهُم بِمَا أَنزَلَ اللَّهُ ۖ وَلَا تَتَّبِعْ أَهْوَاءَهُمْ عَمَّا جَاءَكَ مِنَ الْحَقِّ ۚ لِكُلٍّ جَعَلْنَا مِنكُمْ شِرْعَةً وَمِنْهَاجًا ۚ وَلَوْ شَاءَ اللَّهُ لَجَعَلَكُمْ أُمَّةً وَاحِدَةً وَلَٰكِن لِّيَبْلُوَكُمْ فِي مَا آتَاكُمْ ۖ فَاسْتَبِقُوا الْخَيْرَاتِ ۚ إِلَى اللَّهِ مَرْجِعُكُمْ جَمِيعًا فَيُنَبِّئُكُم بِمَا كُنتُمْ فِيهِ تَخْتَلِفُونَ ‎﴿٤٨﴾‏ وَأَنِ احْكُم بَيْنَهُم بِمَا أَنزَلَ اللَّهُ وَلَا تَتَّبِعْ أَهْوَاءَهُمْ وَاحْذَرْهُمْ أَن يَفْتِنُوكَ عَن بَعْضِ مَا أَنزَلَ اللَّهُ إِلَيْكَ ۖ فَإِن تَوَلَّوْا فَاعْلَمْ أَنَّمَا يُرِيدُ اللَّهُ أَن يُصِيبَهُم بِبَعْضِ ذُنُوبِهِمْ ۗ وَإِنَّ كَثِيرًا مِّنَ النَّاسِ لَفَاسِقُونَ ‎﴿٤٩﴾‏ أَفَحُكْمَ الْجَاهِلِيَّةِ يَبْغُونَ ۚ وَمَنْ أَحْسَنُ مِنَ اللَّهِ حُكْمًا لِّقَوْمٍ يُوقِنُونَ ‎﴿٥٠﴾‏} صدق الله العظيم [سورة المائدة].

أم تَظنون أنَّ شريعة دين الله الإسلام الذي بعث الله به رُسله تَختَلِف في شَيءٍ عن الذين مِن قبلكم؟! والجواب في مُحكَم الكتاب القرآن العظيم في قول الله تعالى:
{يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا كُتِبَ عَلَيْكُمُ الصِّيَامُ كَمَا كُتِبَ عَلَى الَّذِينَ مِن قَبْلِكُمْ لَعَلَّكُمْ تَتَّقُونَ ‎﴿١٨٣﴾‏ أَيَّامًا مَّعْدُودَاتٍ ۚ فَمَن كَانَ مِنكُم مَّرِيضًا أَوْ عَلَىٰ سَفَرٍ فَعِدَّةٌ مِّنْ أَيَّامٍ أُخَرَ ۚ وَعَلَى الَّذِينَ يُطِيقُونَهُ فِدْيَةٌ طَعَامُ مِسْكِينٍ ۖ فَمَن تَطَوَّعَ خَيْرًا فَهُوَ خَيْرٌ لَّهُ ۚ وَأَن تَصُومُوا خَيْرٌ لَّكُمْ ۖ إِن كُنتُمْ تَعْلَمُونَ ‎﴿١٨٤﴾‏ شَهْرُ رَمَضَانَ الَّذِي أُنزِلَ فِيهِ الْقُرْآنُ هُدًى لِّلنَّاسِ وَبَيِّنَاتٍ مِّنَ الْهُدَىٰ وَالْفُرْقَانِ ۚ فَمَن شَهِدَ مِنكُمُ الشَّهْرَ فَلْيَصُمْهُ ۖ وَمَن كَانَ مَرِيضًا أَوْ عَلَىٰ سَفَرٍ فَعِدَّةٌ مِّنْ أَيَّامٍ أُخَرَ ۗ يُرِيدُ اللَّهُ بِكُمُ الْيُسْرَ وَلَا يُرِيدُ بِكُمُ الْعُسْرَ وَلِتُكْمِلُوا الْعِدَّةَ وَلِتُكَبِّرُوا اللَّهَ عَلَىٰ مَا هَدَاكُمْ وَلَعَلَّكُمْ تَشْكُرُونَ ‎﴿١٨٥﴾‏ وَإِذَا سَأَلَكَ عِبَادِي عَنِّي فَإِنِّي قَرِيبٌ ۖ أُجِيبُ دَعْوَةَ الدَّاعِ إِذَا دَعَانِ ۖ فَلْيَسْتَجِيبُوا لِي وَلْيُؤْمِنُوا بِي لَعَلَّهُمْ يَرْشُدُونَ ‎﴿١٨٦﴾} صدق الله العظيم [سورة البقرة].

وبما أن العالَمين أجمعين لَم يَشهَدوا هلال رمضان بعد غروب شمس الأحد، فَما هو الذي أجبر دُوَل المُسلِمين على إعلان صيام رمضان إلَّا تَخَوُّفَهم من حدث آية الإدراك رغم أنَّ أمامهم فُرصة إتمام عِدّة شهر شعبان ثلاثين يومًا حتى يشهدوا هلال رمضان، فما هو عُذرهم على إضلال شُعوبِهم لمخالفة أمر الله ورسوله؟! رغم أن كافَّة عُلماء المسلمين وكافَّة حكامهم وكافَّة شُعوبهم لو يلقِي إليهم الإمام المهديّ ناصر محمد اليمانيّ بسؤالٍ وأقول لهم: متى تصومون رمضان؟ لقالوا بلسانٍ واحدٍ موحَّدٍ: "نصوم رمضان برؤية هلال رمضان وإذا لم نَرَ هلال رمضان نُتِمّ العِدّة حتى نَرى هلال رمضان تنفيذًا لأمر الله ورسوله". فمن ثم نقول لُعلماء المُسلِمين خاصةً وحُكامهم عامةً: إذًا فلماذا تُعلِنون هلال رمضان رغم أنَّكم لم تشهدوه لا بالعين المُجَرَّدة الشرعيَّة كما كان الذين مِن قَبلكم ولا حتى ببِدَع التلسكوبات؟ فهل مثلكم كمثل الذين قالوا: "سَمِعنا وعصينا"؟!

وعلى كُلِّ حالٍ، لا نُريد أن نُعَكِّر سعادة المُسلِمين؛ فلا إثمَ على الذين صاموا بسبب إعلان دُولهم وتَقبَّل الله صيام شعوب المُسلمين، ولا تَقَبَّل الله صيام الذين يجبرون شعوبهم على صيام رمضان من قبل رؤية هلال رمضان، وما يُجبر صيام شعوب المُسلمين على صيام رمضان هو التزامهم بإعلان دُولهم ولا حَرَج عليهم في ذلك؛ بل الإثم على الذين مثلهم كمثل الذين قالوا: "سَمِعنا وعَصَينا"، ورغم أن حكومات الشعوب ومُفتي ديارهم لَيَعلمون أنَّ الصيام برؤية الهلال ولكن لسان حالهم كمثل الذين قالوا: "سَمِعنا وعَصَينا"، أم أنَّهم يخشون حدث آية الإدراك ويريدون أن يصُدّوا عنها الذين يأمَنون مَكْر الله كما مَكَر بهم في رمضان 1443 فَشَرَّد بهم من خَلفِهم ليُعَلِّم الله النَّاس درسًا برؤية أهِلَّة الشهور من قبل الإدراك؟ ورغم أنه عاد الإدراك في شهر رجب وشعبان المُنصَرِم على التَّوالي ولكنها لم تُدرِك الشَّمس القمر في أوَّل رمضان الجاري ليعلَم شباب العالَمين أصحاب عُمْرِ (عشرين عامًا) كيف حَجْم هلال الشهر في أوَّله (نحيفًا وليس مُنتَفِخًا)، وحتى في أشهُر الإدراك فَمَا قَطّ أمرناكم أن تخالفوا أمر الله ورسوله، وإنَّما الإدراك آيةٌ خارقةٌ كونيّةٌ؛
فَمِن أكبَر آيات الإدراك سوف تحدث في رمضان الجاري بتاريخ: (ثمانية وعشرين رمضان) الموافق (ثمانية إبريل 2024 مـ) والقَمَر في حالة إدراك آخِر شهر رمضان وليس أوّله في شوال.

وعلى كل حال، لم تُدرِك الشمس القمر في أوّل رمضان الجاري؛ بل سوف تُدرِكه في آخره فَيُولَد هلال شوال من قبل الاقتران وتجتمع به الشمس في الكُسوف المركزيّ وقد هو هلالًا بتاريخ (يوم الإثنين - ثمانية وعشرين رمضان)، فلا تصوموا حتى تروا هلال رمضان ولا تفطروا حتى تروا هلال شَوال وبالعين المُجرَّدة إن كُنتم تؤمنون بالله واليوم الآخِر، فلا تُفَطِّروا شعوب المُسلِمين في رمضان إلَّا برؤية هِلال شوال كون الإثم الأعظم على عُلماء المُسلِمين وحكامهم هو حين يُفَطِّروا شعوب المُسلِمين في رمضان وهُم لَم يشهدوا هلال شوال بالعَيْن المُجَرَّدة.

وعلى كُلِّ حال، إنَّما كانت آية الإدراك نَذيرًا بتغير النِّظام الكونيّ، فلو أنَّ حُكام المُسلِمين وعُلماءهم التزموا بأمر الله ورسوله برؤية هلال الشهر بالعَين المُجَرَّدة إذًا لتبيَّنَت لهم آية انتفاخ الأهلة ذات الإدراك.

وعلى كُلِّ حال، إنّما كانت آيات الإدراكات لِأهِلَّة أشهرٍ كثيرة مَضت نذيرًا للبشر بالبدء بتغيُّر النِّظام الكونيّ بسبب اقتراب كَوكَب سَقَر، ولكنه قد تجاوز الخَلَل في النظام الكوني إلى كوكب الأرض فأدرك الفصولَ الأربعة صَيْفُ سَقَر (آيةٌ محسوسةٌ لا يستطيعون إنكارها).

وإنِّي خَليفةُ الله على العالَم بأسرِه الإمام المهديّ ناصر محمد اليمانيّ سَبَق وأن أعلنت للعالَمين انتهاء الفصول الأربعة من بعد اجتياح صَيْف سَقَر لفصل الشِّتاء الجاري لِنصف الكُرة الشَّمالي الذي كان أشَدّ الفُصول للمعركة الكوكبيَّة لمُجابهة حَرِّ صَيْف سَقَر، رغم أنّ حَرّ صَيْف سَقَر داعَب ولاعَب شتاء القطب الشَّمالي لعلكم تتَّقون، ولكني أعلم أن صيف سَقَر هو المُنتَصِر من بعد التقلُّبات الفَصليّة برمَّتها، وسبق أن أعلنا للعالَمين أن لا ينتظروا رَبيعًا معتدلًا في تاريخ: (21 مارس) في عامكم الجاري ليوم الاعتدال الرَّبيعيّ ولا الخريفيّ اللَّذَيْن يَحدُثان في آنٍ واحدٍ في يوم الانقلاب الفصلي للربيع في تاريخ: (21 مارس) الشهر الجاري، فلا تنتظروا يا أصحاب القُطب الشَّمالي لِفَصْل الربيع المُعتدل في البرودة من بعد الشتاء في يوم الانقلاب بتاريخ: (21 مارس) الجاري، ولا تنتظروا يا أصحاب القُطْب الجنوبيّ لفصل الاعتدال الخريفيّ في الحرارة في تاريخ (21 مارس) الشهر الجاري من بعد الصيف الجاري في القُطب الجنوبي؛ بل إنّي أُشهِد الله وكَفَى بالله شهيدًا أنّي خليفة الله على العالَم بأسرِه الإمام المهديّ ناصر محمد اليمانيّ أُعلِن لحكومات نِصفَي الكُرة الأرضيَّة اجتياح صَيْف سَقَر للفصول الأربعة من بعد تاريخ (21 مارس) الجاري، فلا تنتظروا للفصول الأربعة من بعد هذا التاريخ؛ كونه سوف يُهَيمن عليهم صيفُ سَقَر فَيُعلِن الانتصار؛ فلن تجدوا فَصْل الرَّبيع مِن بعد تاريخ (21 مارس) يا أصحاب الشَّتاء الجاري بالقُطْب الشَّمالي ولن تجدوا فَصْل الخريف مِن بعد فَصْل الصَّيْف في القُطب الجنوبيّ؛ بل استعدوا لرِيح سَموم حرٍّ (أعاصير فيها نار).

فَلَكَم استكبروا - الكُفَّار - عن الاعتراف بِبؤر أعاصيرٍ فيها نارٌ كونهم لو يعتَرِفون عن سبب حرائق الغابات والدِّيار التي اجتاحت المُمتلكات أنّها حقًّا أعاصيرٌ فيها نارٌ من نُذُرِ آيات العَذَاب الأكبَر لعلَّهم يرجعون، ونُكَرِّر إن تَكَبُّر المُستكَبرين؛ وأنهم لو يعترفون أنَّها حقًا أعاصيرٌ فيها نارٌ تُهلِك مُمتلكات مَن يشاء الله لعلَّهم يرجعون إلى رَبهم؛ فحتمًا يُصَدِّق العالَمين بما وَعدهم الله في مُحكَم الذِّكْر القرآن العظيم (أن يُريهم حقيقة ما وعدهم الله في مُحكَم القرآن العظيم في آيةٍ مُحكَمَةٍ بَيِّنةٍ) في قول الله تعالى:
{أَيَوَدُّ أَحَدُكُمْ أَن تَكُونَ لَهُ جَنَّةٌ مِّن نَّخِيلٍ وَأَعْنَابٍ تَجْرِي مِن تَحْتِهَا الْأَنْهَارُ لَهُ فِيهَا مِن كُلِّ الثَّمَرَاتِ وَأَصَابَهُ الْكِبَرُ وَلَهُ ذُرِّيَّةٌ ضُعَفَاءُ فَأَصَابَهَا إِعْصَارٌ فِيهِ نَارٌ فَاحْتَرَقَتْ ۗ كَذَٰلِكَ يُبَيِّنُ اللَّهُ لَكُمُ الْآيَاتِ لَعَلَّكُمْ تَتَفَكَّرُونَ ‎﴿٢٦٦﴾‏} صدق الله العظيم [سورة البقرة]، بسبب رياحٍ حارَّةٍ تحمل ذَرَّاتٍ تُرابيةٍ فتدور حول نفسها بسرعةٍ رهيبةٍ لتحرِق ذرَّاتِ تُرابٍ في الهواء الحارّ بأمر الله، فَمِن شِدّة سُرعة بُؤرِ الأعاصير حول نفسها تحرِق ذَرَّاتِ التُّرابِ في الهواء الحارّ؛ بل ليس بالضروري أن تكون الحرارة شديدةً لتكوين بُؤر أعاصيرٍ فيها نارٌ؛ بل فقط ثُلث درجة غليان الماء (ثلاثة وثلاثون درجة فَما فوق) إلى ما يشاء الله، فحين يُرسل الله إعصارًا فيلتَفُّ إعصارُ النَّارِ حول نفسه بسبب اصطدامه بريحٍ أقل منه في درجاتِ الحرارة ونظرًا لسُرعة الرِّياح الحارّة برياح أخرى مُعاكسةُ أقَلّ في درجاتِ الحرارة ثم تتقطَّعُ الرِّياحُ الحارَّة إلى أعاصيرٍ صغيرةٍ تلتفُّ حول نفسها بسرعةٍ شديدةٍ؛ وأقول حول نفسها وذلك لكي تحرِق ذراتِ التُّراب في داخل الإعصار فمِن ثم يحرِق أشجار الغاباتِ وحدائق جناتٍ ذات بهجة، ويهاجِم الدِّيار؛ فبالكاد يُوَلُّوا أصحاب الدَّار تاركين دارهم ومُمتلكاتهم وراء ظهورهم، فإن آمَنوا وصَدَّقوا عَوَّضهم الله خيرًا مِمَّا أخَذ منهم.

وعلى كُلِّ حال، إن أعاصير النَّار فيها مكرٌ بِما لم تكونوا تحتسبون، ويا للعَجَب يا معشَر العَجَم والعَرَب! فماذا تريدون من بعد آية حرائق زَفير كوكب سَقَر الذي أحرق (تكساس الأمريكيّة) بتحدٍّ شديدٍ من كَوكَب سَقَر بإذن الله الواحد العزيز الحميد في قَلب الشتاء وفي أسبوعٍ كانت درجات البرودة في ولاية تكساس الأمريكية (22 درجة مئوية تحت الصفر) بتاريخ: (15 فبراير) شهر الثلوج والتزلُّج؟! فمن يُصَدِّق أنّها سوف تحدث حرائق في نهاية الأسبوع بسبب ارتفاع درجاتِ الحرارة فجأةً بسبب رَمي زَفرةِ فَيْحِ حَرٍّ سقريّةٍ حَوَّلت المنطقة مِن اثنين وعشرين درجةٍ تحت الصِّفر إلى طَقْس رياح حَرِّ الأعاصير، أليست تلك لن تحدث إلَّا بمُعجزةٍ خارقةٍ للفيزياء الكونيَّة كونهم ليسوا في فصل الصيف وموسم الحرائق في الصيف؟ فكيف اختار الله شهر الثلج والتزلُّج (شهر فبراير) وكذلك اختار المنطقة في أمريكا الشَّمالية وكذلك اختار أبرَد ولايات أمريكا الشمالية؛ بل (22 درجة تحت الصفر)! فعصَف صيف سقر بشتاء المنطقة في عَشيّة وضحاها في نفس الأسبوع من اثنين وعشرين درجة تحت الصفر إلى حَرّ رياحِ السَّمُوم التي تُكَوِّن أعاصيرًا فيها نارٌ من ذرَّاتِ التُّرابِ فتقوم الأعاصير بأمر الله فتدور بسرعةٍ شديدةٍ حول نفسها في هواءٍ حارٍّ، وبسبب الاحتكاك الشديد لذَرَّات التُّراب داخل الإعصار في الهواء الحارّ فتحترق ذَرَّاتُ التُّراب بسبب احتكاكها بسُرعةٍ شديدةٍ في الإعصار في هواءٍ حارٍّ لا يقل عن (33 درجة فَما فوق)؛ فلا تتطلَّب الأعاصير حرارةً شديدةً، كون أعاصير تكوين النَّار هي التي تُكَوِّن النَّار بسبب احتكاك ذرَّات الرَّمل بالهواءِ الحارّ داخل الإعصار فتحترق ذَرَّاتُ الرَّمل بسبب الدوران السَّريع للإعصار حول نفسهِ بسرعةٍ شديدةٍ في هواءٍ حارٍّ؛ فتتولَّد نارٌ داخل الإعصار؛ فمن ثمَّ ينطلق حاملًا نَارهُ معه لإحراق الشجر والدِّيار، فاحذَروا مَكْر الله الواحد القهَّار.

أفلا تعلمون عن سبب إحراق النيزك الحَجَريّ في سماء أرضكم؟ إنه بسبب احتكاكه في الطبقة الحارّة للغلاف الجوي؛ كونه مُنطَلِقًا بسرعةٍ شديدةٍ في طقسٍ حارٍّ فَيُسبب الاحتكاكُ احتراقًا، فكيف تستبعدون احتراق ذَرَّات رملٍ تلتفُّ بسرعةٍ داخل إعصار الريح الحارِّة؟ أفلا تتذَكَّرون؟! وما تتكَوَّن إلّا بأمرٍ من الله؛ فاتَّقوا الله، ولم يعدكم الله بذلك هُزوًا سبحانه في قول الله تعالى:
{أَيَوَدُّ أَحَدُكُمْ أَن تَكُونَ لَهُ جَنَّةٌ مِّن نَّخِيلٍ وَأَعْنَابٍ تَجْرِي مِن تَحْتِهَا الْأَنْهَارُ لَهُ فِيهَا مِن كُلِّ الثَّمَرَاتِ وَأَصَابَهُ الْكِبَرُ وَلَهُ ذُرِّيَّةٌ ضُعَفَاءُ فَأَصَابَهَا إِعْصَارٌ فِيهِ نَارٌ فَاحْتَرَقَتْ ۗ كَذَٰلِكَ يُبَيِّنُ اللَّهُ لَكُمُ الْآيَاتِ لَعَلَّكُمْ تَتَفَكَّرُونَ ‎﴿٢٦٦﴾‏} صدق الله العظيم [سورة البقرة]، بمعنى أن الإعصار أهلَك جنته وحدائقه وداره ومُمتلكاته وفَرَّ صاحبُ الدّار وأهل بيته وأولاده، فترك أولاده بِلا مأوى وهُم ذُريَّةٌ ضُعفاءُ صِغار، وأصاب أباهم سِنُّ الكِبَر وَوَهْنُ العَظْم؛ فليس أمامه فرصة لتأمين مُستقبَل أولاده لضروريات الحياة بسبب كِبَر سِنّه، وهَرَب صاحب الدّار وأولاده تاركًا جنته الخضراء وداره لإعصارٍ فيه نارٌ. فَلَكَم حَذَّرتكم منذ زمن بعيدٍ أنَّها جنودٌ لله ذات قوةٍ حربيةٍ تدميريةٍ تحرِق الشجر والدّيار، فهل لا تريدون يا معشر المُسلِمين والمُعرِضين من الكفار أن تقولوا: "هذا عذابُ إعصارٍ فيه نارٌ وصدق الله الواحد القهَّار"؟! فهل لا تُريدون أن تعترفوا بحقائق آيات الله على الواقع الحقيقي حتى تعترف بها وكالة ناسا الأمريكية؟! فهل لا تريدون أن تقولوا: صَدَق الله ورسوله مُحمَّد وناصر محمد حتى تعترف بها وكالة ناسا الأمريكية أنّها حقًّا أعاصيرٌ فيها نارٌ حتى ولو شاهدتم أعاصير النَّار أمام أعينكم؟! فهل لا تريدون أن تقولوا صَدَق الله العظيم فهذه من حقائق آيات الله التحذيريَّة في مُحكَم القرآن العظيم؟! وكانت تتكوَّن مِن قَبْل بسبب حرارة الشمس، فما بالكم بسَقَر (جَهَنَّم)؟! فهل أنتم أنعامٌ، أم مِن بني آدم، أم بقرٌ لا تتفَكَّر؟! فَويلٌ لَكُم ثُمَّ ويلٌ لَكُم مِن حَرِّ سَقَر.

ولَكِنّي خليفة الله المهديّ ناصر محمد اليمانيّ المُهَيمِن على وكالة ناسا الأمريكية وغيرهم بسلطان العِلْم من مُحكَم القرآن العظيم، فليشهد الثَّقَلان (الإنس والجان) وملائكة الرَّحمن المُقرَّبون على إعلان ناصر محمد اليمانيّ بأن الله سوف يرفَع الحرارة إلى (151 درجة مئويَّة) وفي عامكم هذا (1445 هجريًّا) الموافق (2024 مـ).

فالسُّؤال الذي يطرَح نفسه: فهل إذا استجاب الله دُعاء عَبده فأرسَل عَليكُم نِصْف درجة حرارة ربيع سَقَر (75.5 درجة مئوية) أو أقل قليلًا؛ فهل تكفيكم آيةً على حقيقة صَيف سَقَر؟! وددتُ لو تكون حرارة صَيْف سقر (51 درجة مئوية) في خِضَمِّ الرَّبيع والخريف المُقبِل؛ فهل تُحدِث لَكُم ذِكرًا؟! أم سوف يستمر الاستكبار حتى تكون (75.5 درجة مئوية) ثم إلى حرارة الدخان المُبين (151 درجة مئوية)؟! والمُشكِلة أنَّ هذه الأحداث في عامكم هذا (1445 هـ) وأنتم تعلمون أنّي لا أقول على الله ما لا أعلم علم اليقين.

ويا سُبحان الله! كيف لا تزيدكم آيات الله إلَّا رِجسًا إلى رجسكم؟! فذلك جزاء المُستَكبرين مهما تبَيَّنت لهم دعوة الحقّ من ربَّهم وعلموا عِلْم اليقين بحقيقة صِدْق داعي الله، فهل استفاد قوم نبي الله إبراهيم المُستكبِرون من آية النَّار التي أحضروا خشبها بأيديهم وبنوا حولها بنيانًا فألقوا رسول الله إبراهيم في نار الجحيم (عليه الصَّلاة والسَّلام) فقال نبي الله إبراهيم الحَليم: "اللهم اغفر لقومي فإنهم لا يعلمون"، فقال الله تعالى:
{قُلْنَا يَا نَارُ كُونِي بَرْدًا وَسَلَامًا عَلَىٰ إِبْرَاهِيمَ ‎﴿٦٩﴾‏} صدق الله العظيم [سورة الأنبياء]؟! أليس العقل يقول: "إن هذه آيةٌ كُبرى خارِقةٌ فكيف لم تحرق النَّار إبراهيم؟! بل دافع عنه الله الذي يدعوهم إلى عبادته وحده لا شريك له، فحتمًا سوف يتبيَّن لهم أنه الحقّ (رسولٌ من الله ربِّ العالَمين) إلَّا إذا كانوا أضلّ من الأنعام سبيلًا" والجواب: اللهم نعم؛ بل أضلّ من الأنعام سبيلًا؛ كونهم تبيَّن لهم أن دعوة نبي الله إبراهيم هي الحقُّ منذ أن حطَّم أصنامهم ولم تُصِبه بسوءٍ كما وعدوه عن ما توارثوه من عقائد آبائهم أنها تَضُرّ وتنفَع، فكشف لهم نبيّ الله إبراهيم زيف وكذب آبائهم الذين اتَّبعوهم اتِّباع الأعمى، ولذلك قالوا في ذات أنفسهم سِرًّا في صدورهم؛ أفتتهم عقولهم أنهم هُم الظالمون وليس نبيّ الله إبراهيم، فهذا اعترافٌ وإقرارٌ في أنفسهم، ولم يُسِرّوه لبعضهم بعض إطلاقًا ولا يعلمه إلَّا الله، ولكنهم تمادوا في كِبرهم فلم تنفع معهم حتى آية النَّار التي قال الله لها: "كُوني بَردًا وسلامًا على إبراهيم"، فكذلك تمادوا في كِبرهم؛ فأزاغ الله قلوبهم حتى عَن الرجولة! فتركوا النِّساء واكتفَى الرِّجال بالرِّجال (أوّل فاحشةٍ بين الرجال ما سَبَقَهم بها أحدٌ من العالَمين)، وكفروا بدعوة رُسُل الحقّ من ربَّهم (إبراهيم ولوط) حتى أهلكهم الله بنار كَوكَب سَقَر اللواحة للبشر قبل ما يقارب ستة آلاف عامٍ، فهل من مُعتَبِر؟!

وعلى كُلِّ حال، إنَّكم ترون أنَّكم لا تتحَمَّلون قُنبِلة حراريَّة قوتها (151 درجة مئوية) فاستكبرتموها؛ إذًا فكيف تَصبِرون على حرارة نارٍ وقودها الحجارة؟! أفلا تتَّقون الله الواحد القهَّار؟! أم أنَّكم ترون ناصر محمد اليمانيّ من الكاذِبين؟ فَمِن ثمَّ أقول لكم فلتشهَدوا هذا الدعاء وأقول: اللهم إن كنت تعلَم أنَّك جعلتني خليفتك على العالَم بأسرِه فَمَن يَقدر على تحقيق هذه التحدّيات الكونية غير الله رَبِّي وربّكم؟ وإن كنت كاذبًا فَعَلَيَّ كَذِبي، فَلَكَم خَوَّفتكم وما زادكم إلَّا كُفرًا وبُعدًا عن اتِّباع كتابه القرآن العظيم، وأبيتم الاعتراف أن الله جعلني خليفته على العالَم بأسرِه (بَرّه وبَحره).

ويا (جوزيف بايدن) ومَن كان على شاكلته في العالَمين، فاسمعوا ما أقول: فإذا كان أنصار الله اليمانيّون أصحاب حَربٍ مَيدانية فإنّي خليفة الله المهديّ ناصر محمد اليمانيّ (خليفة الله الواحد القهَّار) فما ظنّكم بقوّة الله رَبِّ العالَمين الذي سوف يُظهِر خليفته على كافَّة دول البَشَر في ليلةٍ واحدةٍ والمستكبرون من الصَّاغِرين؟! ولسوف ننظُر ونَرَى هل الله الذي اصطفاني خليفته على العالَم بأسرِه بالغُ أمره؟ فلا قِبَل للكافرين والمُجرِمين المُفسِدين في الأرض المُبارَكة وغيرها والمُعرِضين من المسلمين بحرب الله ربِّ العالمين، ويَشهد عَلَيَّ الله وكفى بالله شهيدًا أنّي أتمَنَّى لأنصار الله اليمانيِّين الهُدَى والنَّصْر المُبيْن، وأن يَهدي الله قلوبهم وكافَّة الشعب اليمانيّ إلى الصِّراط المستقيم، ولكنَّهم لا يستطيعون إظهار خليفة الله على العالَمين الإمام المهديّ ناصر محمد اليمانيّ، وكذلك لا ينبغي أن يقود الإمام المهديّ ناصر محمد اليمانيّ أحدٌ في خلق الله أجمعين؛ بل لا ينبغي لرسول الله المسيح عيسى ابن مريم أن يقود خليفة الله الإمام المهديّ ناصر محمد اليمانيّ كوني خليفة الله سبحانه، فكيف يقود خليفةَ الله أحدٌ من دون الله وقد اصطفاني الله لدرجة الخلافة العالميَّة (الخلافة الأكبر في تاريخ البشر)، فلا نزال نُؤَكِّد أنه لا ينبغي لخليفة الله الإمام المهديّ ناصر محمد اليمانيّ أن يقوده المَلَك جبريل المُوَكَّل بالخلافة على الملائكة (عِند ذي العَرْش مَكين مطاع ثم أمين)؛ فلا ينبغي له أن يقود خليفة الله الإمام المهديّ ناصر محمد اليمانيّ، وكذلك لا ينبغي للأخ الكريم (أبو جبريل عبد المَلِك بَدر الدين اليمانيّ) أن يقود خليفة الله الإمام المهديّ ناصر محمد اليمانيّ.

ويا قوم، ليس خليفة الله الإمام المهديّ مُتكَبِّرًا ولا مَغرورًا؛ ولكني خليفة الله المُختار من الله، ومَن أظلَم مِمَّن افترَى على الله كذبًا أو كَذَّب بآياته؟! إنه لا يُفلِح الظالِمون، وأقول: آهٍ آه.. فلو كُنت من الكاذِبين لَما خشيت على الضَّالين من العَرَب والأعاجِم مِن عذاب الله، فوالله إنّي أقول لإخوتي في الدّم من حواء وآدم إنّي أخاف عليكم عذاب يَومٍ عَقيمٍ، فقد صار كَوكَب العذاب سَقَر على الباب، وسوف يمرّ فوق الأرض بمسافة
(43,200,000 كيلومتر) أي أن نقطة حَضيض سَقَر بينها وبين كوكب الأرض في أقرب نقطة للمرور (ثلاثة وأربعون مليون ومائتي ألف كيلومتر) بالضَّبط؛ كونها تعدل دائرة العَرْض الكُبرى للأرض حيث يتعاقَب الليل والنهار من الشَّرق والغَرب، وهي قادمة مِن جنوب الأرض، ولم أجدكم حسبتم مُحيط الأرض بدقةٍ مُتناهيةٍ عن الخطأ بسبب عدم علمكم كَم سرعة كوكب الأرض في الثَّانية الواحدة من الغَرب إلى الشَّرق في خلال (86400 وِحدة حسابية)، وهي بما تسموها (الثانية)، فذَلِكُم دوران الأرض حول نفسها لقضاء يومها بسرعة ثابتة في طبلون السرعة؛ كون طبلون سرعة كوكب الأرض: خُمسمائة مترٍ في الثانية ضرب عدد ثواني اليوم الواحد (86400) فيكون الناتج بالأمتار بالضَّبط (43,200,000 متر)، وأقول متر وليس كيلو، وبما أن الكيلو = ألف متر، فمن ثم يتم تحويل الأمتار إلى كيلومترات؛ فيتبين لَكُم مُحيط الأرض بالضبط (43,200 كيلو)، وكتابةٌ للتوضيح للذين لا يجيدون قراءة الأرقام الحسابية نقول: مُحيط كوكب الأرض من الشرق إلى الغَرب بالضبط: (ثلاثة وأربعون ألف ومائتي كيلومتر) بِدقَّة مُتناهية عَن الخطأ، وبما أن الكيلو = ألف متر، فهنا يتبيّن لَكُم محيط كوكب الأرض الأوسط حيث المشارق والمغارب، فيتم معرفة خَطّ الاستواء الحقيقي لكوكب الأرض وليس الوهمي؛ بل الحقيقي على الواقع الحقيقي، وهو بالضبط (43,200 كيلومتر)، وكتابةٌ للتوضيح: (ثلاثة وأربعون ألف ومائتي كيلومتر) بِدِقَّة مُتناهية عن الخطأ تقطعها الأرض حول نفسها في 24 ساعة من نُقطة الغَرْب إلى نُقطَة الغروب؛ وكلٌّ حسب نقطة غروبه من النقطة التي هو قائم فيها مِن نفس النُّقطة إلى نفس النُّقطة في منطقة تعاقُب الليل والنهار، وهو خَطّ المنطقة لتعاقب الليل والنهار لكوكب الأرض (خَطٌّ عريضٌ متفاوتٌ في مناكبهِ) ولكن تلك المنطقة الواسعة هي قُطْر كَوكَب الأرض العريض الحقيقيّ وهو أطول خطوط العَرْض، وجميع العالَمين في هذا الخَطّ وحدوده مِن أقصى الجنوب الشرقيّ إلى أقصى الجنوب الغربيّ مُمتَدًا على جانبي الشرق والغرب والوسط، ولذلك يتساوى طول الليل والنهار في يوم الانقلاب وهو بما يسمونه: (خَطّ صِفر) وهو الذي تُشرِق عليه الشمس في يوم الاعتدال، فلا تَغُرَّنَّكُم (قوقل إرث) فلو كانت دقيقة لَما جعلوها كرويَّة الشَّكل تمامًا وهم يعلمون أنها بيضاوية، ولا ينبغي لخليفة الله المهديّ ناصر محمد اليمانيّ أن يَتَّبِع أهواءهم؛ بل ما وافق القرآن العظيم آخُذ به وما خالفه أنبذه وراء ظهري وآتيكم بالحق وأحسن تفسيرًا؛ ذلكم مِمَّا علمني ربّي في القرآن العظيم بدءًا من (عام واحد - يوم خلق الله السماوات والأرض) فهل تظنونه سوف يكتبه الله: العام اثني عشر شهرًا؟! أم ثلاثمائة وستين يومًا فيكتب إلى جانبه (عام واحد)؟! كلا فهذا ليس منطق؛ كون عدد السِّنين والحِساب رَقميًّا إلكترونيًّا دقيقًا في القرآن العظيم؛ كون اليوم الواحد يتكون من (86400 وحدة حسابية) وهي بما تسمونها (الثانية)، واسمها الحقّ: (وحدة) في الكتاب أي: (وحدة زمنية) وهي نبضات الزَّمان كمثل نبضات قَلْب الإنسان، وحتى تعلموا عدد السنين والحساب تقوموا بضرب (وحدات الحساب في اليوم الواحد) في (360) لتحصلوا على: (عام واحِد) (أوَّل عامٍ في تاريخ الدَّهر - يوم خلق الله السماوات والأرض) بمنتهى الدِّقة بالعدد الرقميّ لعدد السنين والحساب، تصديقًا لقول الله تعالى: {هُوَ الَّذِي جَعَلَ الشَّمْسَ ضِيَاءً وَالْقَمَرَ نُورًا وَقَدَّرَهُ مَنَازِلَ لِتَعْلَمُوا عَدَدَ السِّنِينَ وَالْحِسَابَ ۚ مَا خَلَقَ اللَّهُ ذَٰلِكَ إِلَّا بِالْحَقِّ ۚ يُفَصِّلُ الْآيَاتِ لِقَوْمٍ يَعْلَمُونَ ‎﴿٥﴾‏ إِنَّ فِي اخْتِلَافِ اللَّيْلِ وَالنَّهَارِ وَمَا خَلَقَ اللَّهُ فِي السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ لَآيَاتٍ لِّقَوْمٍ يَتَّقُونَ ‎﴿٦﴾‏} صدق الله العظيم [سورة يونس].

وأمّا التاريخ الشمسي فيبدأ مِن شروق الشمس إلى شروقها، كَون التاريخ الشمسيّ يخص الفصول ومناخ الأرض، وليس للقمر علاقة بفصول السنة الأربعة؛ بل مُهِمة ضبط ذلك بالحساب في الكتاب فيما يخص الفصول هو التاريخ الشمسيّ في القرآن العظيم، ذلك تختصّ بضبطه الشَّمس من الشروق إلى الشروق بحساب مشارقها من الشّروق إلى الشّروق في كُلِّ يوم، تصديقًا لقول الله تعالى:
{وَجَعَلْنَا اللَّيْلَ وَالنَّهَارَ آيَتَيْنِ ۖ فَمَحَوْنَا آيَةَ اللَّيْلِ وَجَعَلْنَا آيَةَ النَّهَارِ مُبْصِرَةً لِّتَبْتَغُوا فَضْلًا مِّن رَّبِّكُمْ وَلِتَعْلَمُوا عَدَدَ السِّنِينَ وَالْحِسَابَ ۚ وَكُلَّ شَيْءٍ فَصَّلْنَاهُ تَفْصِيلًا ‎﴿١٢﴾‏} صدق الله العظيم [سورة الإسراء].

فتعالوا لِتكوين
(عام واحد) ابتداء من العام الأول في تاريخ الدَّهر؛ فكان عام واحد وبالرَّقم (عام 1) كونه حتمًا يبدأ عَدَد السنين بالعام الأوَّل (أول عامٍ في عَدَد السِّنين)؛ فتعالوا لتكوينه سواء كان قمريًّا من الغروب إلى الغروب أو بالحساب الشمسيّ من الشروق إلى الشروق كما يلي: فبما أن الحاسبة لا تعلم ماذا تحسبه كَون مُهِمَة أرقام الحساب للتكوين (لا ينضَبِط الحساب إلَّا بقواعدٍ صَحيحةٍ في منتهى الدِّقة)، إذًا لا بد أن يتمّ تكوّن أوَّل عامٍ وهو (عام واحد) كما يلي: (31,104,000 وحدةً حسابيةً) لعام واحد، فتعالوا لتكوين وحدات نَبْض الحِساب على أساس القواعد الصحيحة في الكِتاب كما يلي؛ مسألة حسابيَّة: فبما أن الوحدات الحسابيَّة الصُّغرى التي هي ما تسمونها (الثَّانية)؛ فهذا الرَّقم وحدات حسابية للعام الواحد كما يلي:
12÷30÷24÷60÷60÷31,104,000
=
عام 1
أي: عام واحد، وهو أوَّل عامٍ في تاريخ الدّهر قَبْل ما يُقارِب ثمانية عشر مليار سنة، تصديقًا لقول الله تعالى: {وَجَعَلْنَا اللَّيْلَ وَالنَّهَارَ آيَتَيْنِ ۖ فَمَحَوْنَا آيَةَ اللَّيْلِ وَجَعَلْنَا آيَةَ النَّهَارِ مُبْصِرَةً لِّتَبْتَغُوا فَضْلًا مِّن رَّبِّكُمْ وَلِتَعْلَمُوا عَدَدَ السِّنِينَ وَالْحِسَابَ ۚ وَكُلَّ شَيْءٍ فَصَّلْنَاهُ تَفْصِيلًا ‎﴿١٢﴾‏} صدق الله العظيم [سورة الإسراء].

فليس مِن المَنطِق أن نكتب رقم 12 شهر للعام الأول بِحُجَّة أن السنين في كتاب الله 12 شهرًا! فهذا لا جِدال فيه ولكن الله عَلَّمنا تكوين السَّنة من الشهور فلازم نحصل على الرَّقم واحد؛ أي: (عام واحد) كما يلي: (عام 1) فهذا هو المقصود بقول الله تعالى لتعلموا بدقة متناهية عن الخطأ برقمٍ عَدَديٍّ بدءًا من تاريخ العام الأول في الحساب للكتاب.

فلا نُريد أن نُطيل عليكم فتملّوا يا معشَر الباحثين كَونَكم لستم كمثل طلبة العلم مِن الأنصار، فوالله لو طُول البيان الواحد ألف مِتر لقرأه طالب العِلم بِكُلِّ مُتعةٍ وهو يطلب المَزيد، فمثل طالب العِلم كمثل جَهَنَّم "هل أمتلأتِ؟" فتقول: "هل مِن مَزيد؟" ولكن مشكلة الأنصار عَجولين يجبروني على كِتابة بيانٍ جديدٍ قَبْل أوانه، فلولا نشحن قلوبهم بنور البيان الجديد بِحُجَّة أنَّهُم قَلِقون على إمامهم.

ويا أحِبَّتي في الله، ما ربَّيناكم روحيًّا لقِتال مُسلمٍ ولا كافرٍ لم يحاربنا في ديننا؛ بل للدِّفاع عن أرضكم ودياركم ومُقَدَّساتكم، وإنَّما الإمام المهديّ لا ينبغي له أن يقوده أحَدٌ كونه خليفة الله، فحين يكون اشتباكًا وجهًا لوجهٍ في البَحْر الأحمَر فَلِكُلِّ حادِثٍ حَديث، فلن نسمح بِما يُهَدِّد أمْن اليَمَن العاصِمة المركزيّة للخلافة العالميّة يا (جو بايدن)، وأُقسِم بِمَن أهلك ثمودَ وعادًا وأغرَق الفراعنة الشِّداد ليفرشن البيتُ الأبيض السّجاد مِن بعد الهزيمة بحربٍ كونيَّةٍ، فلا قِبَل لكم بجنود الله الكونيَّة.

فَلتَعُد كافَّة قُوات تحالُف العدوان أولياء الشَّيطان في البَحْر الأحمَر إلى دُولهم وأَوقِفوا الحَرب في رمضان، ما لم؛ فسوف ننظُر مَن أضعف ناصرًا وأقَل عددًا هل الشيطان وأولياءه أم الرَّحمن وأولياءه؟

"اللهم انصُر مَن نصر المَظلومين في غَزَّة المُكَرمة وفلسطين، اللهم اهدِ قلوب أصحاب الإنسانيَّة الرُّحماء في العالَمين؛ فأنت أعلم بِما في صُدور عبادك، ووعدك الحقّ وأنت أرحم الرَّاحمين".

ورمضان مُباركٌ على كافَّة المُسلِمين وكافَّة أصحاب الإنسانيَّة الحَقّ الرُّحماء في العالَمين.

وسلامٌ على المُرسَلين والحمدُ لله ربِّ العالَمين.
خليفةُ الله الإمام المَهديّ؛ ناصر محمد اليمانىّ.
_____________

اضغط هنا لقراءة البيان المقتبس..