Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani
الإمام ناصر محمد اليماني
04 - ذو الحجة - 1441 هـ
25 - 07 - 2020 مـ
12:17 مساءً
( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )
https://nasser-alyamani.org/showthread.php?39341
_________

اقترب عذابٌ أليمٌ وبعثُ أصحاب الكهف والرّقيم عيسى بن مريم ..
Imekurubia Adhabu Chungu Na Kutumilizwa Watu Wa Pangoni Na Arraqim Isa Ibnu Maryam ..

Bismillah Arrahman Arrahim
{ Kuhimidiwa ni kwa Mwenyezi Mungu, ambaye amemteremshia mja wake Kitabu, wala hakukifanya kina upogo (1) Kimenyooka sawa, ili kitoe onyo kali kutoka kwake, na kiwabashirie Waumini watendao mema kwamba watapata ujira mzuri (2) Wakae humo milele (3) Na kiwaonye wanao nena: Mwenyezi Mungu ana mwana (4) Wao hawana ujuzi wa jambo hili, wala baba zao. Ni neno kuu hilo litokalo vinywani mwao. Hawasemi ila uwongo tu (5) Huenda ukajihiliki nafsi yako kwa ajili yao, kuwasikitikia kwa kuwa hawayaamini mazungumzo haya (6) Kwa hakika tumevifanya vilioko juu ya ardhi kuwa ni pambo lake ili tuwafanyie mtihani, ni nani kati yao wenye vitendo vizuri zaidi (7) Na hakika Sisi tutavifanya vyote vilio juu ya ardhi kuwa kama nchi ilio pigwa na ukame (8) Bali unadhani ya kwamba wale Watu wa Pangoni na Arraqim (Nabari ilio ongezwa) walikuwa ni ajabu miongoni mwa ishara zetu (9) Vijana hao walipo kimbilia kwenye pango walisema: Mola wetu Mlezi! Tupe rehema itokayo kwako, na tutengezee uwongofu katika jambo letu (10) Tukayaziba masikio yao kuwalaza humo pangoni kwa muda wa miaka kadhaa wa kadhaa (11) Kisha tukawazindua ili tujue ni lipi katika makundi mawili lilio hisabu sawa muda walio kaa (12)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alkahf].
بسم الله الرحمن الرحيم
{ الْحَمْدُ لِلَّهِ الَّذِي أَنزَلَ عَلَىٰ عَبْدِهِ الْكِتَابَ وَلَمْ يَجْعَل لَّهُ عِوَجًا ۜ ﴿١﴾ قَيِّمًا لِّيُنذِرَ بَأْسًا شَدِيدًا مِّن لَّدُنْهُ وَيُبَشِّرَ الْمُؤْمِنِينَ الَّذِينَ يَعْمَلُونَ الصَّالِحَاتِ أَنَّ لَهُمْ أَجْرًا حَسَنًا ﴿٢﴾ مَّاكِثِينَ فِيهِ أَبَدًا ﴿٣﴾ وَيُنذِرَ الَّذِينَ قَالُوا اتَّخَذَ اللَّهُ وَلَدًا ﴿٤﴾ مَّا لَهُم بِهِ مِنْ عِلْمٍ وَلَا لِآبَائِهِمْ ۚ كَبُرَتْ كَلِمَةً تَخْرُجُ مِنْ أَفْوَاهِهِمْ ۚ إِن يَقُولُونَ إِلَّا كَذِبًا ﴿٥﴾ فَلَعَلَّكَ بَاخِعٌ نَّفْسَكَ عَلَىٰ آثَارِهِمْ إِن لَّمْ يُؤْمِنُوا بِهَٰذَا الْحَدِيثِ أَسَفًا ﴿٦﴾ إِنَّا جَعَلْنَا مَا عَلَى الْأَرْضِ زِينَةً لَّهَا لِنَبْلُوَهُمْ أَيُّهُمْ أَحْسَنُ عَمَلًا ﴿٧﴾ وَإِنَّا لَجَاعِلُونَ مَا عَلَيْهَا صَعِيدًا جُرُزًا ﴿٨﴾ أَمْ حَسِبْتَ أَنَّ أَصْحَابَ الْكَهْفِ وَالرَّقِيمِ كَانُوا مِنْ آيَاتِنَا عَجَبًا ﴿٩﴾ إِذْ أَوَى الْفِتْيَةُ إِلَى الْكَهْفِ فَقَالُوا رَبَّنَا آتِنَا مِن لَّدُنكَ رَحْمَةً وَهَيِّئْ لَنَا مِنْ أَمْرِنَا رَشَدًا ﴿١٠﴾ فَضَرَبْنَا عَلَىٰ آذَانِهِمْ فِي الْكَهْفِ سِنِينَ عَدَدًا ﴿١١﴾ ثُمَّ بَعَثْنَاهُمْ لِنَعْلَمَ أَيُّ الْحِزْبَيْنِ أَحْصَىٰ لِمَا لَبِثُوا أَمَدًا ﴿١٢﴾ } صدق الله العظيم [الكهف].

Na Muda wao wa kwanza kama ifwatavo: Miyaka mia tatu katika hisabu ya mwaka ya ki mwezi kwa dhati ya mwezi, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{Na walikaa katika pango lao miaka mia tatu, na wakazidisha tisa (25) Sema: Mwenyezi Mungu anajua zaidi muda walio kaa. Ni zake tu siri za mbingu na ardhi. Kuona kulioje na kusikia kwake! Hawana mlinzi isipo kuwa Yeye, wala hamshirikishi yeyote katika hukumu yake (26)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alkahf].
{ وَلَبِثُوا فِي كَهْفِهِمْ ثَلَاثَ مِائَةٍ سِنِينَ وَازْدَادُوا تِسْعًا ﴿٢٥﴾ قُلِ اللَّهُ أَعْلَمُ بِمَا لَبِثُوا ۖ لَهُ غَيْبُ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ ۖ أَبْصِرْ بِهِ وَأَسْمِعْ ۚ مَا لَهُم مِّن دُونِهِ مِن وَلِيٍّ وَلَا يُشْرِكُ فِي حُكْمِهِ أَحَدًا ﴿٢٦﴾ } صدق الله العظيم [الكهف].

Basi muda wa kuka kwa mara ya kwanza kwa watu wa pangoni ni miyaka mia tatu kwa hisabu ya miyaka ya ki mwezi kwa dhati ya mwezi na inawafikiana kwa hisabu ya siku zenu na mwezi wenu na miyaka yenu kama ifwatavo: Sawa sawa miyaka alfu tisa vile munavo hisabu, Na ama muda wao wa pili basi miyaka tisa ya jua, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{na wakazidisha tisa (25) Sema: Mwenyezi Mungu anajua zaidi muda walio kaa. Ni zake tu siri za mbingu na ardhi. Kuona kulioje na kusikia kwake! Hawana mlinzi isipo kuwa Yeye, wala hamshirikishi yeyote katika hukumu yake (26)} Sadaqa Allah Al3adhim.
{وَازْدَادُوا تِسْعًا ﴿٢٥﴾ قُلِ اللَّهُ أَعْلَمُ بِمَا لَبثوا ۖ لَهُ غَيْبُ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ ۖ أَبْصِرْ بِهِ وَأَسْمِعْ ۚ مَا لَهُم مِّن دُونِهِ مِن وَلِيٍّ وَلَا يُشْرِكُ فِي حُكْمِهِ أَحَدًا ﴿٢٦﴾} صدق الله العظيم.

Eee hakika muda wa kuka kwao mara ya pili kwa watu wa pangoni miyaka tisa ya jua kwa hisabu ya dhati ya jua, Basi mwezi wake ni miyezi alfu na mwaka wake ni miyezi alfu kumi na mbili; Yani mwaka moja wa jua inawafikiana na miyaka alfu moja vile munavo hisabu, kwahivo miyaka tisa ya jua inakua sawa na hisabu ya siku yenu na mwezi wenu na mwaka wenu hivo hivo inakua miyaka alfu tisa munavo hisabu; Yani kwa muda wao wa kwanza siku tisa kwa hisabu za siku za Allah katika hisabu kwenye kitabu, Na hivo hivo muda wao wa pili siku tisa kwa hisabu za siku za Allah katika hisabu kwenye kitabu, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{ Na wanakuhimiza ulete adhabu, lakini Mwenyezi Mungu hatakwenda kinyume na ahadi yake kabisa. Na hakika siku moja kwa Mola wako Mlezi ni kama miaka elfu mnavyo hisabu nyinyi (47) Na miji mingapi niliipa muda na hali ilikuwa imedhulumu, na kisha nikaitia mkononi? Na kwangu Mimi ndio marudio yote (48)} Sadaqa Allah Al3adhim Alhajj].
{ وَيَسْتَعْجِلُونَكَ بِالْعَذَابِ وَلَن يُخْلِفَ اللَّهُ وَعْدَهُ ۚ وَإِنَّ يَوْمًا عِندَ رَبِّكَ كَأَلْفِ سَنَةٍ مِّمَّا تَعُدُّونَ ﴿٤٧﴾ وَكَأَيِّن مِّن قَرْيَةٍ أَمْلَيْتُ لَهَا وَهِيَ ظَالِمَةٌ ثُمَّ أَخَذْتُهَا وَإِلَيَّ الْمَصِيرُ ﴿٤٨﴾ } صدق الله العظيم [ الحج ].

Na imekurubia kuwajia kauli ju yenu kwa kiji sayari cha adhabu kuongezea ju ya ile munao ita maafa ya corona; Bali nayo ni adhabu kutokana na mmbu moja peke na wala Hakuiumba Allah kutokana na wanandoa wawili bali Amepiga mfano mpya kwa kudra ya Allah Aka'iumba Allah Ametakasika bila mwanaume wala mwanamke, Bali Amepiga mfano kwa kiumbe kipya katika ilio wazi maana yake Al'Quran Al'Majid hio kwenu mmbu fulani moja peke haina mwengine ambae Ame Wapa Changa Moto Allah nayo walio kadhibu kwa ukumbusho wake Al'Quran Al3adhim katika ma kafiri na wanao kataa ukumbusho wake Al'Quran Al3adhim katika waislamu, Basi bado anaendelea huyu mmbu mpya ambayo ni kiumbe kidogo kabisa katika viumbe vote Alivo viumba Allah Katika Kitabu hakionekani changa moto kwa mwenye shari zaidi katika viumbe Donald Tramp na marafiki wake ambao walikua wanao dai kua wao ni nguvu isio shindwa Akawashinda Allah na kiumbe hai kidogo kabisa katika viumbe vake katika kitabu; Mmbu hamuna ujuzi nae, Na Mshuhudia Allah kua ni mmbu mmoja peke bado anazali kuendelea kupiga vita vake va ki ulimwengu dhidi ya wanao kufuru kwa Al'Quran Al3adhim na ma aduwi wa Alquran Al3adhim na dhidi ya waislamu wanao kataa ukumbusho wa Mola Mlezi wao Al'Quran Al3adhim, Na wanahisabu kua wao ni waumini na mfano wao kama mfano ya wale walio sema tumesikia na tume asi na waka kataa kumwitikia mlinganizi wa Allah na khalifa wake Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani ili ahukumu baina yao kwa ile Alio teremsha Allah katika kitabu chake waka kataa hukumu ya Allah katika kitabu chake mpaka waislamu Akaghadhibika Allah kwajili ya kitabu chake, Basi nani atawakinga nyinyi kutokana na adhabu yake ikiwa nyinyi wakweli?

Na ala kuli hali hakika Ameghadhibika Allah kwajili ya kitabu chake enyi ma3ashara ya makafiri na waislamu wanaokanusha basi nani atawakinga nyinyi kutokana na adhabu ya Allah Mola Mlezi wa ulimwengu ikiwa nyinyi ni wa kweli? Basi waombeni wale munao dai pasi na Yeye ili awaondoshe madhara ya adhabu ya mmbu wa changa moto; Wala sio mwanaume bali ni mwanamke anatoa mayayi na Anaumba Allah kutokana na maji ya mayayi yake kiumbe kipya ni ile munao ita virusi corona, Hivo hivo maumbaji mapya kwa mayayi yatokana nayo Ameiumba Allah kutokana na zalali mayayi ya mmbu fulani mmoja imefanana umbile lake na inaongezeka kwa wingi Ameiumba Allah kwa kun fa yakun kiumbe hai kipya kinaishi bara na baharini na katika hewa bila kuka kwa mwili; Bali munaona kua mimi kutoka mwanzo wa Bayana nasisitiza kwamba ile munao ita virusi corona ni kiumbe hai inahuyika bila kuka katika mwili na yaishi katika mwili na katika damu.

Basi Mcheni Allah Enye Binadamu! Basi Hamuna uwezo kwenu na vita va Allah enyi mulio ji amini na hila za Allah na mukatangaza vita ju ya Mola Mlezi wenu vita na munataka kuzima Nuru Yake na mutakoma; Na Atatimiza Allah Nuru Yake hata kama watachukia wahalifu kutokezea kwake, Basi bado anaedelea mmbu fulani katika kitabu hamuna ujuzi nae, Basi nae sio kama mmbu anae onekana ambae munae mjua kwa kua ambae munae mjua anae mwanaume anamwekea mbengu kabla hajatoa mayayi kisha anatoa mayayi ambao mbengu ya yule mmbu mwanaume, Ama mmbu wa changa moto basi Amemumba Allah bila kuowana kwa mume na mke bali kwa kun fayakun Amepiga mfano mpya katika viumbe na wala hamutomona! Basi bado anaendelea kushambulia vita vake kupitia bara zote na bahari zote kwa Maneno Ya Allah anaruka na anaenda na anawacha mayayi bila kizazi basi ndio Aumbe Allah kutokana na maji ya mayayi yake viumbe hai ma virusi zilio fanana na zilio tafautiana, Na zote Anaziumba Allah Kwa Herufu kaf na nun basi Aseme: "Kun Faya Kun" ili mujuwe kua Allah kwa kila kitu Ana uwezo lakini wengi wa watu hawajuwi, Wala sijuwi ispo kua mmbu wa changamoto katika kitabu kua ni moja peke hakuna mwengine, Na ama ma virusi za mayayi yake basi hakuna ajuwae jeshi la Mola Mlezi wako ispokua yeye na zinavuka kifua na wanaruka katika anga ya bara na bahari na katika mbingu pole mbili basi ndio wavamie kaumu wengine, Basi na wao ni ma aduwi wa ma aduwi wa Allah popote walipo basi hawatoweza kuweza kuwakimbia kwa idhini ya Allah ili wajuwe makafiri na ma fujari katika viumbe wa pande mbili uwezo wao inakua vipi mbele ya uwezo wa Allah! Basi haiwi sawa uwezo wa mmbu ametukuzwa na amelekezwa na kupewa nguvu kwa Maneno ya Allah anaishi kwenye hali tafauti ya hewa kwa utafauti wake katika baridi kali na kwenye joto sana na katika hali ya hewa ilio stawi, Basi bado anaendelea kuzunguka ulimwengu wote mashariki na magharibi na kusini na kaskazini ili kutengeza kituo vizuri; Bali azunguka dhahiri ya ardhi na kwenye utumbo wa ardhi, Na hakika itaongezeka bala ya vita vake va kiulimwengu na wala sio ispo kua ni katika adhabu ya chini, ispo kua adhabu yake ni daraja tafauti basi miongoni mwake ni kurekibisha na miongoni mwake kutia adabu na miongoni mwake ni kuadhibu na miongoni mwake shari ilio andikwa na adhabu chungu, Basi hapana wala haitowafa kujifungia ndani hakika itawafikia iwape adhabu mpaka muwaone malaika pindi wakiwapigeni uso zenu na migongo yenu wakati wa kufa ili kutoa roho zenu, Na wala kifo chenu sio sawa katika kitabu ikiwa nyinyi mwajua.

Na enyi ma3ashara ya watungajo uwamuzi wapi pakukimbilia? Fawallahi Yule Ambae Hapana Mola Ispo kua Yeye hamutoweza kumkimbia mmbu wa adhabu kutokana na Rijzi chungu hata kama mutakimbia ju ya mwezi basi hakika angetangulia ju ya mwezi asubiri kufika kwenu kwa hamu zaidi ya vuke la makaa ili aweke katika vifua venu mayayi yake kisha Allah Atasmamia mayayi kwa Maneno Yake Yalio Timia ndio Aumbe kutokana nayo ma virusi hivo hivo hai zenye kuongezeka na kupasuka, Basi hivo hivo inahama kutoka kwa mtu kwenda kwa mtu mwengine ma virusi za ki binadamu kulingana Kwa kitalu chake, Na haikua kitalu chake kiko kwa miyili ya wanyama wa kuliwa wala aina ya wanyama wote sio wakibara wala wanyama wa baharini wala ndege wala wanyama wanao tamba wala wadudu wote wanao tembea, Bali kitalu cha mayayi ya mmbu hususi kwa yule Amtakae Allah katika viumbe ya thukuli mbili huwenda wakarudi na wakajua kua wanao Mola Hato waondolea wao madhara ispo kua Yeye, Huyo kwenu Mola Mlezi wangu na Mola Mlezi wenu Ametakasika Mola Mlezi wa ulimwengu. Basi je nyinyi kwake waumini? Basi kwake murudi hakika Hatowaondoshea kwenu madhara ispokua Yeye, Je kuna Mola Mlezi pamoja na Allah? Ametakasika Wa Ta3ala Kwa Yale wanao mshirikisha, Basi kimbieni kwa Allah hakika mimi kwenu kutoka kwake muonyaji baini na mujuwe kwa kujua kwa yakini hakika hakuna pa kumkimbia Allah ila Kwake, Basi kimbieni kutokana na Allah kwenda kwake na mutubu kwa Allah kutubu mutake kwa Mola Mlezi wenu ili Awaongoze nyoyo zenu basi Atawajalieni furqani na hivo Nuru na shifa yaliomo vifuwani na maoni ya nyoyo ikiwa nyinyi muna akili.


Basi sikizeni na mutumie akili enyi ma3ashara ya binadamu wanao ka
taa waislamu na makafiri, Basi hakuna kurudi nyuma kwa vita va Allah Al'Wahid Al'Qahar na Amewazungukia nyinyi kwa adabu kwa pande zote; Kutoka mbinguni na kwenye ardhi bara na baharini na angani na katika nafsi zenu, Basi Hatowazidisha Allah ispo kua Adhabu basi mcheni Allah enyi wenye akili, Na Bado munazali kwenye vita va mmbu wa Allah wa kivita na ma virusi za mayayi yake katika vifua na kwenye hewa wazi wanaishi kiumbe hai.

Na Namshuhudisha Allah na tosha kwa Allah kua shahidi mimi ni Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani bado nazali nasisitiza kutoka Bayana ya kwanza mwanzo wa mwezi kwenye tarehe kumi rajabu kwamba ile munao ita virusi corona ni kiumbe hai inaishi kwa dhati yake kwenye hewa bila kuka kwa mwili; Kiumbe hai kwa dhati yake inavamia vifua, Na wala sijuwi kwenu kwa tiba ispo kua ile ilio kuja katika Bayana ambao tumeandika kwa inwani: (Virusi Ya Corona Na Bayana Ya Ufafanuzi Wala Sio Mchezo) Imeisha.


Na namshuhudisha Allah Al'Wahid Al'Qahar hakika mimi si imbi kwenu kwa mashairi wala na zidisha kuzungumza ovyo bali ni Bayana ya haki ya ukumbusho kwa yule anae taka miongoni mwenu kukumbuka na kumogopa Allah na adhabu ya leo na akhera, Hakika amekua na udhuri mwenye kuonya na wala hawatokumbuka ispokua wenye akili, Na katika kila fatwa kwenye Bayana kuna ushuhuda katika ilio wazi maana yake Al'Quran, Basi hatojivurumiza Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani kwa yale siyajuwi, Na hakika mutakuta Bayana za Al'imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani ni haki kwenye wakii ya uhakika 1+1=2 Hapana shaka wala utetanishi kwa idhini Ya Allah Al3aziz Al'Hakim.

Na ama changa moto ya Allah kwa ma aduwi wake kwa kupiga mfano katika kiumbe kipya mmbu fulani ni habari muhkam iko wazi maana yake ukumbusho Al'Quran Al3adhim Katika kauli Yake Ta3ala:
{ Hakika Mwenyezi Mungu haoni haya kutoa mfano hata wa fulani mbu na ulio wa zaidi yake. Ama wale walio amini hujua ya kwamba hiyo ni haki iliyo toka kwa Mola wao Mlezi, lakini wale walio kufuru husema: Ni nini analo kusudia Mwenyezi Mungu kwa mfano huu? Kwa mfano huu huwapoteza wengi na huwaongoa wengi; lakini hawapotezi ila wale wapotovu(26) Wanao vunja ahadi ya Mwenyezi Mungu baada ya kwisha ifunga, na wakayakata aliyo amrisha Mwenyezi Mungu kuungwa, na wakafanya uharibifu katika nchi; hao ndio wenye khasara (27)} Sadaqa Allah Al3adhim [Albaqara].
{ ۞ إِنَّ اللَّهَ لَا يَسْتَحْيِي أَن يَضْرِبَ مَثَلًا مَّا بَعُوضَةً فَمَا فَوْقَهَا ۚ فَأَمَّا الَّذِينَ آمَنُوا فَيَعْلَمُونَ أَنَّهُ الْحَقُّ مِن رَّبِّهِمْ ۖ وَأَمَّا الَّذِينَ كَفَرُوا فَيَقُولُونَ مَاذَا أَرَادَ اللَّهُ بِهَٰذَا مَثَلًا ۘ يُضِلُّ بِهِ كَثِيرًا وَيَهْدِي بِهِ كَثِيرًا ۚ وَمَا يُضِلُّ بِهِ إِلَّا الْفَاسِقِينَ ﴿٢٦﴾ الَّذِينَ يَنقُضُونَ عَهْدَ اللَّهِ مِن بَعْدِ مِيثَاقِهِ وَيَقْطَعُونَ مَا أَمَرَ اللَّهُ بِهِ أَن يُوصَلَ وَيُفْسِدُونَ فِي الْأَرْضِ ۚ أُولَٰئِكَ هُمُ الْخَاسِرُونَ ﴿٢٧﴾ } صدق الله العظيم [البقرة].

Na Tunayo ya zaidi katika ufafanuzi ya Bayana ya haki ya Al'Quran Al'Majid ilio Teremka Kutoka Kwa Aziz Hamid, Na Salam Ju Ya Mitume Na Al'Hamdulillah Mola Mlezi Wa Ulimwengu..

Khalifa Wa Allah Na Mja Wake Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani.
خليفةُ الله وعبدُهُ الإمام المهديّ ناصر محمد اليمانيّ.
_______

اقتباس المشاركة 333539 من موضوع سِلسِلة بيانات فَيروس كورونا وسِرّه المَكنون ..

- 8 -
الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني
04 - ذو الحجة - 1441 هـ
25 - 07 - 2020 مـ
12:17 مساءً
( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )

[ لمتابعة رابط المشاركة الأصلية للبيان ]
https://nasser-alyamani.org/showthread.php?p=333512

_____________


اقترب عذابٌ أليمٌ وبعثُ أصحاب الكهف والرّقيم عيسى بن مريم ..

بسم الله الرحمن الرحيم
{ الْحَمْدُ لِلَّهِ الَّذِي أَنزَلَ عَلَىٰ عَبْدِهِ الْكِتَابَ وَلَمْ يَجْعَل لَّهُ عِوَجًا ۜ ﴿١﴾ قَيِّمًا لِّيُنذِرَ بَأْسًا شَدِيدًا مِّن لَّدُنْهُ وَيُبَشِّرَ الْمُؤْمِنِينَ الَّذِينَ يَعْمَلُونَ الصَّالِحَاتِ أَنَّ لَهُمْ أَجْرًا حَسَنًا ﴿٢﴾ مَّاكِثِينَ فِيهِ أَبَدًا ﴿٣﴾ وَيُنذِرَ الَّذِينَ قَالُوا اتَّخَذَ اللَّهُ وَلَدًا ﴿٤﴾ مَّا لَهُم بِهِ مِنْ عِلْمٍ وَلَا لِآبَائِهِمْ ۚ كَبُرَتْ كَلِمَةً تَخْرُجُ مِنْ أَفْوَاهِهِمْ ۚ إِن يَقُولُونَ إِلَّا كَذِبًا ﴿٥﴾ فَلَعَلَّكَ بَاخِعٌ نَّفْسَكَ عَلَىٰ آثَارِهِمْ إِن لَّمْ يُؤْمِنُوا بِهَٰذَا الْحَدِيثِ أَسَفًا ﴿٦﴾ إِنَّا جَعَلْنَا مَا عَلَى الْأَرْضِ زِينَةً لَّهَا لِنَبْلُوَهُمْ أَيُّهُمْ أَحْسَنُ عَمَلًا ﴿٧﴾ وَإِنَّا لَجَاعِلُونَ مَا عَلَيْهَا صَعِيدًا جُرُزًا ﴿٨﴾ أَمْ حَسِبْتَ أَنَّ أَصْحَابَ الْكَهْفِ وَالرَّقِيمِ كَانُوا مِنْ آيَاتِنَا عَجَبًا ﴿٩﴾ إِذْ أَوَى الْفِتْيَةُ إِلَى الْكَهْفِ فَقَالُوا رَبَّنَا آتِنَا مِن لَّدُنكَ رَحْمَةً وَهَيِّئْ لَنَا مِنْ أَمْرِنَا رَشَدًا ﴿١٠﴾ فَضَرَبْنَا عَلَىٰ آذَانِهِمْ فِي الْكَهْفِ سِنِينَ عَدَدًا ﴿١١﴾ ثُمَّ بَعَثْنَاهُمْ لِنَعْلَمَ أَيُّ الْحِزْبَيْنِ أَحْصَىٰ لِمَا لَبِثُوا أَمَدًا ﴿١٢﴾ } صدق الله العظيم [الكهف].

ولبثُهم الأوّل كما يلي: ثلاث مائة سنين من سنين القمر، تصديقاً لقول الله تعالى:
{ وَلَبِثُوا فِي كَهْفِهِمْ ثَلَاثَ مِائَةٍ سِنِينَ وَازْدَادُوا تِسْعًا ﴿٢٥﴾ قُلِ اللَّهُ أَعْلَمُ بِمَا لَبِثُوا ۖ لَهُ غَيْبُ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ ۖ أَبْصِرْ بِهِ وَأَسْمِعْ ۚ مَا لَهُم مِّن دُونِهِ مِن وَلِيٍّ وَلَا يُشْرِكُ فِي حُكْمِهِ أَحَدًا ﴿٢٦﴾ } صدق الله العظيم [الكهف].

فأمّا اللّبث الأول لأصحاب الكهف فهي ثلاث مائة سنين من سنين القمر لذات القمر وتعدِل بحساب يومكم وشهركم وسنينكم كما يلي: بالضبط تسعة آلاف سنة مِمّا تعدّون، وأمّا اللّبث الثاني فتِسع سنوات شمسيّة، تصديقاً لقول الله تعالى:
{وَازْدَادُوا تِسْعًا ﴿٢٥﴾ قُلِ اللَّهُ أَعْلَمُ بِمَا لَبِثُوا ۖ لَهُ غَيْبُ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ ۖ أَبْصِرْ بِهِ وَأَسْمِعْ ۚ مَا لَهُم مِّن دُونِهِ مِن وَلِيٍّ وَلَا يُشْرِكُ فِي حُكْمِهِ أَحَدًا ﴿٢٦﴾} صدق الله العظيم.

ألا وإنّ زمن اللّبث الثاني لأصحاب الكهف تسع سنوات شمسيّة بحساب ذات الشمس، فشهرها ألف شهر وسنتها اثنَي عشر ألف شهر؛ يعني أنّ السّنة الشّمسيّة الواحدة لذات الشّمس تعدِل ألف سنةٍ ممّا تعدّون، إذاً تسع السنوات الشمسيّة تعدل بحساب يومكم وشهركم وسنينكم كذلك تسعة آلاف سنةٍ ممّا تَعدّون؛ بمعنى أنّ لَبْثَهم الأول تسعة أيّام بحسب أيّام الله في الحساب في الكتاب، وكذلك لَبْثهم الثاني تسعة أيّام بحسب أيّام الله في الحساب في الكتاب، تصديقاً لقول الله تعالى:
{ وَيَسْتَعْجِلُونَكَ بِالْعَذَابِ وَلَن يُخْلِفَ اللَّهُ وَعْدَهُ ۚ وَإِنَّ يَوْمًا عِندَ رَبِّكَ كَأَلْفِ سَنَةٍ مِّمَّا تَعُدُّونَ ﴿٤٧﴾ وَكَأَيِّن مِّن قَرْيَةٍ أَمْلَيْتُ لَهَا وَهِيَ ظَالِمَةٌ ثُمَّ أَخَذْتُهَا وَإِلَيَّ الْمَصِيرُ ﴿٤٨﴾ } صدق الله العظيم [ الحج ].

وأوشك أن يقعَ القول عليكم بكويكب العذاب إضافةً إلى ما تُسمّونه وباء كورونا؛ بل هو عذابٌ مصدرُه من بعوضةٍ واحدةٍ فقط ولم يخلقها الله من زوجين اثنين بل ضرب مثلاً جديداً لقدرة الله فخلقها الله سبحانه من غير ذَكَرٍ ومن غير أنثى، بل ضرب مثلاً من خلق جديد في محكم القرآن المجيد ذلكم بعوضة مّا واحدة لا غير التي تحدّى الله بها المُكذّبين بذِكرِه القرآن العظيم من الكفّار والمُعرضين عن ذكرهِ القرآن العظيم من المسلمين، فلا تزال هذه البعوضة الجديدة ( التي هي أصغر كائنٍ حيٍّ خلقهُ الله في الكتاب لا يُرى ) تحدّياً لأشرّ الدّواب دونالد ترامب وأوليائِه الذين كانوا يزعمون أنّهم القوة التي لا تُقهَر فقهرَهم الله بأصغر كائنٍ حيٍّ في الكتاب؛ بعوضةٌ ما لا تُحيطون بها علماً، وأشهد للهِ أنّها بعوضةٌ واحدةٌ فقط لا تزال تخوض حربها العالميّة ضد الكافرين بالقرآن العظيم وأعداء القرآن العظيم وضدّ المُسلمين المُعرضين عن ذِكر ربّهم القرآن العظيم، ويحسبون أنّهم به مؤمنون ومَثَلُهم كمَثل الذين قالوا سمعنا وعصَينا ورفضوا أن يستجيبوا لداعي الله عبده وخليفته المهديّ ناصر محمد اليمانيّ ليحكمَ بينهم بما أنزل الله في كتابه فأعرضوا عن حُكم الله في كتابه حتى المسلمين فغضِب الله لكتابه، فمن يُجيركم من عذابه إن كنتم صادقين؟

وعلى كلّ حالٍ لقد غضب الله لكتابه يا معشر الكافرين والمُسلمين المُعرضين فمن يُجيركم من عذاب الله ربّ العالمين إن كنتم صادقين؟ فادعوا الذين زعمتُم من دونه ليكشفوا عنكم ضرّ عذاب بعوضة التحدّي؛ وليست ذَكَراً بل أنثى تبيضُ ويخلق الله من سائل بويضاتها خَلقاً جديداً وهو بما تسمّونه فيروس كورونا، كذلك خلقاً جديداً بيضاويَ المنشأ خلقها الله من زلال بويضات بعوضة ما واحدة متشابهٌ خلقُهم ومتكاثرٌ خَلَقَهُ الله بكُنْ فيكون كائناً حيّاً جديداً تعيش في البرّ والبحر وفي الهواء من غير جسمٍ؛ بل تشهدون أنّي منذ أوّل بيانٍ مُصِرٌّ أنّ ما يسمّونه فيروس كورونا كائنٌ حيٌّ يحيا بدون أجسام ويعيش في الأجسام وفي الدّم.

فاتّقوا الله يا بني آدم! فلا قِبَلَ لكم بحرب الله يا من أمِنْتم مكر الله وأعلنتُم على ربّكم الحرب وتريدون أن تُطفِئوا نورَه وخسِئْتم؛ وسوف يُتِمّ الله نورَه ولو كرِه المجرمون ظهوره، فلا تزال بعوضة مّا في الكتاب لا تُحيطون بها علماً، فهي ليست كالبعوضة المرئيّة التي تعرفونها كون التي تعرفونها لها ذَكَرٌ يُلقّحها قبيل أن تبيض ثم تبيض بيضاً ملقّحاً بذُريّة البعوض الذّكَر، وأما بعوضة التحدّي فخلقها الله من غير زوجين بل بكُنْ فيكون ضربَ مثلاً جديداً في الخلق ولن تَرَوها! فلا تزال تشنّ غاراتها الحربيّة عابرة القارّات والمُحيطات البحريّة والقطبيّة بكلمات الله تطير وتنطلق وتذرو بيضها من غير ذريّةٍ فيخلق الله من زلال بيضها كائنات حيّة فيروسيّة متشابهات ومختلفات، وجميعُها يخلقها الله بحَرفَي الكاف والنون فيقول: " كُنْ فيكون" لتعلموا أنّ الله على كل شيءٍ قديرٍ ولكنّ أكثر الناس لا يعلمون، ولا أعلم غير بعوضة التحدّي في الكتاب أنّها واحدةٌ فقط لا غير، وأمّا فيروسات بويضاتها فلا يعلم جنود ربّك إلا هو وتخترق الصدر وتطير في سماء البرِّ والبحر وفي سماء القُطبين فتغزو قوماً آخرين، فهي عدوّة لأعداء الله أينما كانوا فلن يعجزونها هرباً بإذن الله ليعلمَ الكفّار والفُجّار مِن الثّقلين ماذا تساوي قدرتهم عند قدرة الله! فلا تساوي قدرة بعوضة مُكرّمة ومُسَوّمة مدعومة بكلمات الله وتعيش في كافّة المناخات على مختلف أنواعها شديدة البرودة والحرارة والمناخات المعتدلة، فلا تزال تطوف العالم بأسرِه شرقاً وغرباً وشمالاً وجنوباً لتكوين البُؤَر المركزيّة؛ بل تطوف ظاهر الأرض وباطنها، ولسوف يشتدّ كرب حربها العالميّة وليست إلا من العذاب الأدنى، غير أنّ عذابها درجاتٌ فمنها تهذيبٌ ومنها تأديبٌ ومنها تعذيبٌ ومنها شرٌّ مُستطيرٌ وعذابٌ نُكْرٌ، فلا ولن ينفعكم الحجر المحجور فسوف تدركُكُم فتصيبكم بالعذاب حتى تروا الملائكة حين يضربون وجوهكم وأدباركم عند الموت لإخراج أنفسكم، وليس مماتكم سواء في الكتاب لو كنتم تعلمون.

ويا معشر صُنّاع القرار أين المفر؟ فوالله الذي لا إله غيره لا تستطيعون أن تفِرّوا من بعوضة العذاب من رجزٍ أليمٍ حتى لو فرَرْتم إلى سطح القمر لسبقتكم إلى سطح القمر فتنتظر وصولكم على أحرٍّ من الجمر لتذرو في صدوركم بويضاتها ويتولّى الله أمر البويضات بكلماته التامّات فيخلق منها فيروسات كذلك حيّة مُنفطِرة ومُنشطِرة، وكذلك تنتقل من إنسان إلى إنسان فيروسات بشريّة نسبةً لحضانتها، ولم تتمّ حضانتها في أجسام الأنعام ولا كافّة الحيوانات البريّة ولا البحريّة ولا الطيور ولا كافّة الزواحف ولا الحشرات أجمعين، بل حضانة بويضات البعوضة مخصّصة لمن يشاء الله من الثّقلين لعلّهم يرجعون ويعلمون أنّ لهم إلهاً لن يكشف عنهم الضرّ سِواهُ؛ ذلكم الله ربّي وربّكم سبحانه ربّ العالمين، فهل أنتم به مؤمنون؟ فإليه ترجعون فلن يكشف عنكم الضرّ سواه، أَإِلهٌ مع الله؟ سبحانه وتعالى عمّا تشركون، ففِرّوا إلى الله إنّي لكم منه نذيرٌ مُبينٌ واعلموا عِلم اليقين أنّه لا مَفرّ من الله إلا إليه، فَفِرّوا من الله إليه وتوبوا إلى الله متاباً مُنيبين إلى ربّكم ليهديَ قلوبكم فيجعل لكم فرقاناً وذلك نورٌ وشفاءٌ لِما في الصدور وبَصر القلوب إن كنتم تعقلون.

فاسمعوا واعقلوا يا معشر البشر المُعرضين المسلمين والكفّار، فلا رجعة للوراء لحرب الله الواحد القهّار وأحاط بكم العذاب من جميع الجوانب؛ من السماء والأرض برّاً وبحراً وجوّاً ومن أنفسكم، فلن يزيدكم الله إلا عذاباً فاتّقوا الله يا أولي الألباب، فلا تزالون في حرب بعوضة الله الحربيّة وفيروسات بويضاتها في الصّدور وفي الهواء الطّلق تعيش كائناً حيّاً.

وأُشهِد الله وكفى بالله شهيداً أنّي الإمام المهديّ ناصر محمد اليمانيّ لا أزال مُصِراً من أوّل بيان:
(في بداية شهرٍ بتأريخ عشرة رجب) (https://nasser-alyamani.org/showthread.php?p=324226) أنّ ما تُسمّونه فيروس كورونا كائناً حيّاً يعيش بذاته في الهواء من غير جسم؛ كائناً حيّاً بذاته يغزو الصدور، ولا أعلم لكم بعلاجٍ إلا بما جاء في البيان الذي كتبناه بعنوان: (فيروس كورونا والبيان الفصل وما هو بالهزل) انتهى.
(https://nasser-alyamani.org/showthread.php?p=329951)

وأُُشهد الله الواحد القهار أنّي لا أتغنّى لكم بالشعر ولا مبالغٌ بالنّثر بل البيان الحق للذِّكر لِمن شاء منكم أن يتذكّر ويخشى الله وعذاب اليوم الآخر، قد أعذر من أنذَر ولن يتذكّر إلا أولو الألباب، ولكلِّ فتوى في البيان برهانٌ من مُحكم القرآن، فلن يهرف الإمام المهديّ ناصر محمد اليمانيّ بما لا يعرف، ولسوف تجدون بيانات الإمام المهديّ ناصر محمد اليمانيّ هي الحقّ على الواقع الحقيقي 1+1=2 لا شكّ ولا رَيب بإذن الله العزيز الحكيم.

وأمّا تحدّي الله لأعدائِهِ بالمَثل في خلقٍ جديدٍ بعوضة ما فهو خبرٌ مُحكَمٌ في مُحكَم الذِّكر القرآن العظيم في قول الله تعالى:
{ ۞ إِنَّ اللَّهَ لَا يَسْتَحْيِي أَن يَضْرِبَ مَثَلًا مَّا بَعُوضَةً فَمَا فَوْقَهَا ۚ فَأَمَّا الَّذِينَ آمَنُوا فَيَعْلَمُونَ أَنَّهُ الْحَقُّ مِن رَّبِّهِمْ ۖ وَأَمَّا الَّذِينَ كَفَرُوا فَيَقُولُونَ مَاذَا أَرَادَ اللَّهُ بِهَٰذَا مَثَلًا ۘ يُضِلُّ بِهِ كَثِيرًا وَيَهْدِي بِهِ كَثِيرًا ۚ وَمَا يُضِلُّ بِهِ إِلَّا الْفَاسِقِينَ ﴿٢٦﴾ الَّذِينَ يَنقُضُونَ عَهْدَ اللَّهِ مِن بَعْدِ مِيثَاقِهِ وَيَقْطَعُونَ مَا أَمَرَ اللَّهُ بِهِ أَن يُوصَلَ وَيُفْسِدُونَ فِي الْأَرْضِ ۚ أُولَٰئِكَ هُمُ الْخَاسِرُونَ ﴿٢٧﴾ } صدق الله العظيم [البقرة].

ولدينا مزيدٌ من تفصيل البيان الحقِّ للقرآن المجيد تنزيلٌ من عزيزٍ حميدٍ، وسلامٌ على المُرسَلين والحمدُ للهِ ربِّ العالمين..

خليفةُ الله وعبدُهُ الإمام المهديّ ناصر محمد اليمانيّ.
___________
اضغط هنا لقراءة البيان المقتبس..