Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamami
الإمام ناصر محمد اليماني
21 - 08 - 1429 هـ
24 - 08 - 2008 مـ
07:43 مساءً
ــــــــــــــــ
أنا اليماني خاتم خُلفاء الله أجمعين يا معشر السائلين إليكم الردّ بالحقّ ..
Mimi Ni Al'Yamani "Khatim" Wa Ma Khalifa Wa Allah Wote Enye Ma3ashara Ya Waulizaji
Na Hilo Jibu Kwenu Kwa Haki ..


Bismillah Al'Rahman Al'Rahim, Salamu Ju Ya Mitume Na Al'Hamdulillah Rabi Al3alamin, Na Baada Ya Hapo ..


Enye ma3ashara Ya Waulizaji Na Waislamu Wote hakika Siwambi ispokua haki na haki nasema kwamba ma imamu wa waislamu ni ma Khalifa Wa Allah Waongofu kwa njia ilionyoka baada ya Muhammad Mtume wa Allah -Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam- Wao Ni Ma imamu Kumi na mbili, Na Wote Ni kutoka Al Beyt Ya Muhammaf Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam Wakwanza Wao Al'Imam Ali Bin Abi Talib Ju Yake Sala Na Salam Na Ma Imamu Kumi na moja kutokana na kizazi chake na kila moja wao anakuja katika kadara yake ilio kadiriwa katika kitabu kilio andikwa Na Khatimu Wao Al'Mahdi Al'Muntadhar Khalifa Wa Allah Katika Ardhi, Na yeye ni khatim wa ma Khalifa Wa Allah Wote. Na wala hawatoweza ma shia kwamba wamtowe Al'Yamani kwenye ma riwaya za haki, Basi wao wanajua kwamba bendera ya Al'Yamani ndio inao uongofu katika bendera zote na kwamba yeye alingania kwenye haki na katika njia ilio nyoka, Na wanajua kua Al'Yamani ni katika Al beyt ya Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam, Lakini ya ajabu katika jambo lao kumkata kwake kukanusha kua yeye ndio Al'Mahdi Al'Muntadhar pamoja yakutambua kwao kwa ilimu yake na uimamu wake, Na wao kwa haya wamefanya ma imamu wa Al Albeyt kinyume na wanaoitakidi nayo wakawa ma imamu kumi na tatu pamoja ya kwamba ma imamu wa Al Albeyt sio ispokua ni ma imamu kumi na mbili, Kwahivo Al'Yamani yeye dhati yake ndio Al'Mahdi Na Khatim wa Ma Khalifa Wa Allah Wote lau ingekua wanajua.


Na katika ma riwaya za kweli kwao kuhusu jambo la Al'Yamani inao fwata:
Wala hakuna katika ma bendera zinao uongofu kuliko bendera ya Al'Yamani. Basi akitokezea Al'Yamani fanya umkimbilie kumfwata, Hakika ya Bendera yake ni bendera ya uongofu, Wala sio halal kwa mwislamu aigaukie, Basi atakae fanya hivo basi yeye ni katika watu wa motoni,
( Kwajili yeye analingania kwenye haki na katika njia ilio nyoka, Na kadhalika: Mwanzo/ Sio halal kwa mwislamu awe ataizunguka, Kwahivo atakae fanya hivo basi yeye ni katika watu wa motoni): Na hi manake: Kwamba hakika Al'Yamani mwenye utawala wa Alilahia utawala wa ki Ungu , Basi hawi Mtu ni hoja ju ya watu na kumkanusha kwao inawaingiza wao jahanam hata kama wanaswali na wanafunga ispoku Akiwa ni katika ma Khalifa Wa Allah katika Ardhi Yake na wao ni wenye utawala wa ki Ungu Katika Ma Nabi Na Mitume Na Ma imamu na Al'Mahdiyin.
____________________________
Na haya ni katika baadhi yanao patikana kwenye ma riwaya ya kishia, imeisha nukulu katika ma riwaya ya ma shia.


Pamoja ya kua ma shia wanamini hizi ma riwaya za kweli kuhusu Al'Yamani na wanajua kwamba yeye ni imamu ana'lingania kwenye uongofu na bendera inao uongofu zaidi ni bendera yake na wanaamini kwamba atakae mmaasi basi yeye hakika ni katika watu wa motoni; Kwa maana kumkufuru yeye ni kumkufuru Allah na vitabu vake na kwajili ya hivo anakua katika watu wa motoni, Lakini mashia wanazidisha katika ma riwaya za kweli idrajan kutoka kwa nafsi zao basi wanasema: Na hakika yeye anawaota kwa swahibu yenu! Na najilinda kwa Allah kwamba niwaote watu kwa mja bali nawaita kwa Allah kwa kujua kutoka kwa Mola Mlezi Wangu, Basi atakae kunisadiki basi amesadiki kwa kitabu cha Allah na atakae nikadhibu amekadhibu kitabu cha Allah na mwisho wake ni jahanam na mwisho mbaya, Na vipi enyi ma3ashara ya ma shia munaamini kwamba bendera inao uongofu zaidi ni bendera ya Al'Yamani Alafu munafanye pekeyake katika ahdi yake? Na Hakika nyinyi mumekosa, Hivi Hakufanya Allah Katika jina langu habari ya bendera yangu Nasser Muhammad; Yani mimi nimewajia Nasseran Munusura wa yale alio kuja nayo Muhammad si punguzi nayo upana wa unywele wala siogopi kwajili ya Allah lawama ya mwenye kulaumu ndio niwarudishe katika manhaj ya unabi


ya ukweli kama ilivo kua katika ahdi ya Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam, Na nikanushe batil yote ilio shindiliwa na nivuruge kwa kiatu cha mgu wangu na ni bomoe kwa ma nusus za haki kutoka kwa kitabu cha Allah Al'Quran Al3adhim Ambao mumeifanya ya kuhamwa.


Na enyi kaumu na haitakiwi kwa Al'Yamani kwamba awalinganie watu kwa Al'Mahdi,?Hivi hamufkiri? Bali anawalinganie Kwa Allah Ambae ni haki basi niwaongozi kwenue njia ya Al3aziz Al'Hamid Na hakuna baada ya haki ispokua ni upotevu, Hivi hamufkiri? Na mimi sitaki ni wahoji kwa ma riwaya, Na hivo ni kwajili nyinyi munaweza kuleta Mariwaya yanao pinga kinyume Na Haki Basi Mutasema: " Basi hizi ma riwaya ambazo tumekuletea ndio hizo ni za haki na ma riwaya zako ni za batil", Kwajili ya hivo nawaita kwenye kitabu cha Allah Al Quran Al3adhim mpaka ni nyamazishe ndimi zenu kwa haki basi hamutoweza muje na batili ambao ni kinyume kwajili ya nyinyi mukifanya hivo mumekufuru kwa kitabu cha Allah Na Mukafwata batil.


Na Natangaza Fatwa Kwa Haki, Kwamba Ma imamu wa Al Albadyt ni ma imamu kumi na mbili wakwanza wao ni Al'Imam Ali na khatimu wao khatim wa Ma Khalifa Wa Allah wote Khalifa Wa Allah Mola Mlezi wa walimwengu Ju ya Ma Umma wote; Kila kinacho tembea ama kinacho ruka kuanzia mbu na ulio wa zaidi yake lau ingekua munajua. Na hakika ametaja kwenu Allah Kuhusu Jambo la Al'Mahdi Al'Muntadhar Kwenye Al'Quran Al'3adhim na akawjulisha kwamba ataongoa nae watu wote mbali na ma shetani katika ma jini na watu katika kila aina ya jinsia wale ambao wamekufuru kwajili wao wanamjua kwamba yeye ni Al'Mahdi Al'Muntadhar Wa Kweli Kutoka Kwa Mola Mlezi Wao, Basi Hawa Hawahidishi Allah Kwa Al'Mahdi Al'Muntadhar bali anawazidishia Uchafu ju ya uchafu wao lakini Allah anaongoa kwa Al'Mahdi Al'Muntadhar mbali na hawo katika watu wote ndio Awafanye umma moja kwa idhini ya Allah Mola Mlezi wa Ulimwengu, Na hakika Amewajulisha Allah kuhusu jambo la Al'Mahdi Al'Muntadhar kwamba Allah Atamfanya ni Khalifa wake wa Ufalme wa kila kitu kutokana na Mbu na ulio wa zaidi yake basi ndio Awapigie mfano wa uwezo kwamba Yeye Ni Mfalme wa Ufalme wote Anampa Ufalme Anae Mtaka. Akasema Allah Ta3ala:
{إِنَّ اللَّـهَ لَا يَسْتَحْيِي أَنْ يَضْرِبَ مَثَلًا مَا بَعُوضَةً فَمَا فَوْقَهَا ۚ فَأَمَّا الَّذِينَ آمَنُوا فَيَعْلَمُونَ أَنَّهُ الْحَقُّ مِنْ رَبِّهِمْ ۖوَأَمَّا الَّذِينَ كَفَرُوا فَيَقُولُونَ مَاذَا أَرَادَ اللَّـهُ بِهَـٰذَا مَثَلًا ۘ يُضِلُّ بِهِ كَثِيرًا وَيَهْدِي بِهِ كَثِيرًا ۚ وَمَا يُضِلُّ بِهِ إِلَّا الْفَاسِقِينَ ﴿٢٦﴾الَّذِينَ يَنْقُضُونَ عَهْدَ اللَّـهِ مِنْ بَعْدِ مِيثَاقِهِ وَيَقْطَعُونَ مَا أَمَرَ اللَّـهُ بِهِ أَنْ يُوصَلَ وَيُفْسِدُونَ فِي الْأَرْضِ ۚ أُولَـٰئِكَ هُمُ الْخَاسِرُونَ ﴿٢٧﴾كَيْفَ تَكْفُرُونَ بِاللَّـهِ وَكُنْتُمْ أَمْوَاتًا فَأَحْيَاكُمْ ۖ ثُمَّ يُمِيتُكُمْ ثُمَّ يُحْيِيكُمْ ثُمَّ إِلَيْهِ تُرْجَعُونَ ﴿٢٨﴾} صدق الله العظيم [البقرة].
Allah Ta3ala Asema: { Hakika Mwenyezi Mungu haoni haya kutoa mfano hata wa mbu na ulio wa zaidi yake. Ama wale walio amini hujua ya kwamba hiyo ni haki iliyo toka kwa Mola wao Mlezi, lakini wale walio kufuru husema: Ni nini analo kusudia Mwenyezi Mungu kwa mfano huu? Kwa mfano huu huwapoteza wengi na huwaongoa wengi; lakini hawapotezi ila wale wapotovu (26) Wanao vunja ahadi ya Mwenyezi Mungu baada ya kwisha ifunga, na wakayakata aliyo amrisha Mwenyezi Mungu kuungwa, na wakafanya uharibifu katika nchi; hao ndio wenye khasara (27) Vipi mnamkanusha Mwenyezi Mungu na hali mlikuwa wafu akakufufueni! Kisha atakufisheni, tena atakufufueni, kisha kwake mtarejeshwa (28)} Sadaqa Allah Al3adhim [Albaqara].


Hivi hamutadabar hi Aya mtapata Waadi wa Allah ya Haki kwa Al'Mahdi Al'Muntadhar wa kweli ambae Ataongoa Allah nae Watu wote mbali na mashetani katika watu na wenzao kutokana na ma shetani ma jini wale wanao amini kwamba hi Al'Quran ni kutoka kwa Allah na wanajua kwamba Muhammad Ni Mtume Wa Allah yeye ni kweli kutoka kwa Mola Mlezi wao kama wanavo wajua watoto wao alafu kwa haki wanakufuru basi hawaifanyi ni njia, Basi hawa hawaongozi Allah kwa Al'Mahdi Al'Muntadhar bali wanamwandalia uwandalizi kutoka muda wa mbali mno kwa k


uongeza kua wingi katika Yajuj na majuj basi wakawa wengi majini kutokana na watu wala haitowasaidia kuwa wingi kwao na kujikusanya kwao na mbinu yao kitu, Na Anakata Allah ila Aitimize Nur Yake Hata kama watachukia wahalifu katika mashetani ma jini na watu kutokezea kwake na sisi ju yao ni wenye kuwashinda, Na ikawa mshangao kwao ni kubwa, Basi wao walikua hawajuwi kwamba Allah Atampa Mkono Al'Mahdi Al'Muntadhar Kwa Ma jeshi yote ya Allah Katika ufalme wa Mbingu na Ardhi, Na hakika wamejua kwamba msiba wao katika hi Aya ilio Teremka Katika Al'Quran Ambao wao nayo wanaikufuru na wao wanajua kwamba ni haki kutoka kwa Mola Mlezi wao, Hivi Hajasema Allah Ta3ala kwamba sampuli hi katika makafiri wanajua kwamba Al'Quran ni haki kutoka kwa Mola Mlezi wao na wao nayo wanaikufuru? Na Akasema Allah Ta3ala:
{وأَمَّا الَّذِينَ كَفَرُوا فَيَقُولُونَ مَاذَا أَرَادَ اللَّهُ بِهَذَا مَثَلًا} صدق الله العظيم [البقرة:26].
Allah Ta3ala Asema: { lakini wale walio kufuru husema: Ni nini analo kusudia Mwenyezi Mungu kwa mfano huu } Sadaqa Allah Al3adhim [Al'Baqara:26].


Kwa maana wanajua kwamba Muammad Mtume Wa Allah -Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam- Hajamzulia Allah kitu, Na kwajili ya hivo walisema nini analo kusudia Allah kwa mfano huu, Na hivo wamejua kwamba msiba wao utakua nyuma ya huu mfano, Na wamejua kwa huu mfano kwamba Allah Ataongoa nae watu wote mbali na mashetani ma jini na watu, Lakini wao hawakufahamu kwamba hio ni Al'Mahdi Al'Muntadhar na kwamba Allah Atampa mkono kwa ufalme wa ma jeshi yake katika kila kinacho tembea katika Ardhi na kinacho ruka kwa mbawa zake katika mbingu na Ardhi ili wawe chini ya uwongozi wa Al'Mahdi Al'Muntadhar wa kweli kutoka kwa Mola Mlezi Wenu Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani dhidi ya Al'Masi7h adajal na mashetani ma jini na watu na jeshi lake kutokana na Yajuj na Majuj, Na walikua wajua kwamba wao ndio wenye kushinda kwa wingi wao, Lakini mshangao wa kweli wataikuta kwenye hi Aya, Na ama waumini kwa hi Al'Quran Al3adhim basi watajua kwamba mimi Ni Al'Mahdi Al'Muntadhar Wa Haki kutoka kwa Mola Mlezi wao. Kusadikisha kwa kauli Ya Allah Ta3ala:
{إِنَّ اللَّـهَ لَا يَسْتَحْيِي أَنْ يَضْرِبَ مَثَلًا مَا بَعُوضَةً فَمَا فَوْقَهَا ۚ فَأَمَّا الَّذِينَ آمَنُوا فَيَعْلَمُونَ أَنَّهُ الْحَقُّ مِنْ رَبِّهِمْ ۖوَأَمَّا الَّذِينَ كَفَرُوا فَيَقُولُونَ مَاذَا أَرَادَ اللَّـهُ بِهَـٰذَا مَثَلًا ۘ يُضِلُّ بِهِ كَثِيرًا وَيَهْدِي بِهِ كَثِيرًا ۚ وَمَا يُضِلُّ بِهِ إِلَّا الْفَاسِقِينَ ﴿٢٦﴾الَّذِينَ يَنْقُضُونَ عَهْدَ اللَّـهِ مِنْ بَعْدِ مِيثَاقِهِ وَيَقْطَعُونَ مَا أَمَرَ اللَّـهُ بِهِ أَنْ يُوصَلَ وَيُفْسِدُونَ فِي الْأَرْضِ ۚ أُولَـٰئِكَ هُمُ الْخَاسِرُونَ ﴿٢٧﴾كَيْفَ تَكْفُرُونَ بِاللَّـهِ وَكُنْتُمْ أَمْوَاتًا فَأَحْيَاكُمْ ۖ ثُمَّ يُمِيتُكُمْ ثُمَّ يُحْيِيكُمْ ثُمَّ إِلَيْهِ تُرْجَعُونَ ﴿٢٨﴾} صدق الله العظيم [البقرة]،
Allah Ta3ala Asema: { Hakika Mwenyezi Mungu haoni haya kutoa mfano hata wa mbu na ulio wa zaidi yake. Ama wale walio amini hujua ya kwamba hiyo ni haki iliyo toka kwa Mola wao Mlezi, lakini wale walio kufuru husema: Ni nini analo kusudia Mwenyezi Mungu kwa mfano huu? Kwa mfano huu huwapoteza wengi na huwaongoa wengi; lakini hawapotezi ila wale wapotovu (26) Wanao vunja ahadi ya Mwenyezi Mungu baada ya kwisha ifunga, na wakayakata aliyo amrisha Mwenyezi Mungu kuungwa, na wakafanya uharibifu katika nchi; hao ndio wenye khasara (27) Vipi mnamkanusha Mwenyezi Mungu na hali mlikuwa wafu akakufufueni! Kisha atakufisheni, tena atakufufueni, kisha kwake mtarejeshwa (28)} Sadaqa Allah Al3adhim [Albaqara].
Na Salam Ju Ya Mitume, Na Al'Hamdillah Rabil3alamin..


Na Ama Kuhusu Suali Lako: Kwanini Anaitwa Al'Yamani Kua ni Al'Yamani,
Basi Jina la Al'Yamani sio peke ni langu mimi; Bali anaitwa kila ambae ni M"Yamani kutoka Yemen Na Mimi ni Yamani kutoka Yemen, Na Nawalingania Kutoka Yemen Kwa intarnet ya Ulimwengu mzima, na jina langu ( Nasser Muhammad) Na hakika Amelifanya Allah jina langu habari yangu na bendera yangu na inwani ya jambo langu na katika hio inatimia hikma ya "Altawatu'u" Kuwafikiana katika jina la Muhammad Mtume Wa Allah - Sala Allahu Aleuhi Wa Alihi Wa Salam- Kwenye jina langu kat


ika jina la babangu na hivo ili ibebe jina habari, Na hio ndio jina la Al'Mahdi Al'Muntadhar Al'Imam Wa Kumi na Mbili kutoka Al albeyt walio tahirika; Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani.
الإمام ناصر محمد اليماني.
ــــــــــــــــــ

اقتباس المشاركة 4174 من موضوع [مجموعة من البيانات إلى هيئة كبار العلماء بالمملكة العربيّة السعوديّة وإلى جميع علماء المُسلمين ومُفتيي الديار الإسلاميّة] ..

- 5 -
الإمام ناصر محمد اليماني
21 - 08 - 1429 هـ
24 - 08 - 2008 مـ
07:43 مساءً
ــــــــــــــــ



أنا اليماني خاتم خُلفاء الله أجمعين يا معشر السائلين إليكم الردّ بالحقّ ..

بسم الله الرحمن الرحيم، سلامٌ على المُرسلين والحمدُ لله ربّ العالمين، وبعد..
يا معشر السائلين وجميع المُسلمين حقيقٌ لا أقول لكم غير الحقّ والحقّ أقول بأنّ أئمة المُسلمين خُلفاء الله الراشدين إلى الصراط ــــــ المُستقيم من بعد محمد رسول الله -صلى الله عليه وآله وسلم- هم اثنا عشر إماماً، وجميعهم من آل بيت محمد رسول الله صلى الله عليه وآله وسلم، أولهم الإمام علي بن أبي طالب عليه الصلاة والسلام وأحد عشر إماماً من ذُريته وكلٌّ منهم يأتي في قدره المقدور في الكتاب المسطور، وخاتمهم المهديّ المنتظَر خليفة الله في الأرض، وهو خاتم خُلفاء الله أجمعين. ولن يستطيع الشيعة أن يحذفوا اليماني من الروايات الحقّ، فهم يعلمون بأنّ أهدى الرايات راية اليماني وأنّه يدعو إلى الحقّ وإلى صراطٍ مُستقيم، ويعلمون أنّ اليماني من آل بيت رسول الله صلى الله عليه وآله وسلم. ولكن العجيب في أمرهم نَفيُهم له أن يكون المهديّ المنتظَر برغم اعترافهم بعلمه وإمامته، وهم بهذا جعلوا أئمة آل البيت خلاف ما يعتقدون به فاصبحوا ثلاثة عشر إماماً برغم أنّ أئمة آل البيت ليسوا إلا اثني عشر إماماً، إذاً اليماني هو ذاته المهديّ وخاتم خُلفاء الله أجمعين لو كانوا يعلمون.

ومن الروايات الحقّ لديهم في شأن اليماني ما يلي:
وليس في الرايات أهدى من راية اليماني، فإذا خرج اليماني فانهض إليه، فإن رايته راية هدى. ولا يحل لمسلم أن يلتوي عليه، فمن فعل ذلك فهو من أهل النار، لأنه يدعو إلى الحق وإلى طريق مستقيم).وكذلك؛ أولاً / (لا يحل لمسلم أن يلتوي، عليه فمن فعل ذلك فهو من أهل النار): وهذا يعني: أنّ اليماني صاحب ولاية إلهية، فلا يكون شخص حجة على الناس بحيث إن إعراضهم عنه يدخلهم جهنم وإن صلّوا وصاموا إلا إذا كان من خلفاء الله في أرضه وهم أصحاب الولاية الإلهية من الأنبياء والمرسلين والأئمة والمهديين.
ـــــــــــــــــــ
وهذا بعض ما يوجد في روايات الشيعة، انتهى المقُتبس من روايات الشيعة.


وبرغم أنّ الشيعة يؤمنون بهذه الروايات الحقّ في شأن اليماني ويعلمون أنّه إمامٌ يدعو إلى الهدى وأنّ أهدى الرايات رايته ويؤمنون بأنّ من عصاه فإنه من أصحاب النار؛ بمعنى أنّ الكفر به هو كفرٌ بالله وكتابه ولذلك يكون من أصحاب النار، ولكن الشيعة يزيدون في الروايات الحقّ إدراجاً من عند أنفسهم فيقولون:
اقتباس المشاركة :
وإنه يدعو إلى صاحبكم!
انتهى الاقتباس
وأعوذ بالله أن أدعو الناس إلى عبدٍ بل أدعو إلى الله على بصيرةٍ من ربي، فمن صدّقني صدّق بكتاب الله ومن كذّبني كذَب بكتاب الله ومصيره جهنم وساءت مصيراً. فكيف يا معشر الشيعة تؤمنون بأنّ أهدى الرايات راية اليماني ومن ثم تحصرونها في عهده؟ وإنكم لخاطئون، ألم يجعل الله في اسمي خبر رايتي، ناصر محمد؛ بمعنى أنّي جئتكم ناصراً لما جاء به محمد لا أحيد عنه قيد شعرة ولا أخشى في الله لومة لائم فأعيدكم إلى منهاج النبوة الحقّ كما كانت في عهد محمد رسول الله صلى الله عليه وآله وسلم، وأنفي الباطل أجمعين المدسوس وأفركه بنعل قدمي وأدمغه بالنصوص الحقّ من كتاب الله القرآن العظيم الذي اتخذتموه مهجوراً.

ويا قوم لا ينبغي لليماني أن يدعو الناس إلى المهديّ، أفلا تعقلون؟ بل يدعوهم إلى الله الحقّ فأهديهم إلى صراط العزيز الحميد وما بعد الحقّ إلا الضلال، أفلا تعقلون؟ وإني لا أريد أن أحاجُّكم بالروايات، وذلك لأنّكم تستطيعون أن تأتوا برواياتٍ مضادة للحقّ فتقولون: "بل هذه الرواية التي أتيناك بها هي الحقّ وروايتك باطلة"، ولذلك أدعوكم إلى كتاب الله القرآن العظيم حتى إذا أخرست ألسنتكم بالحقّ فلن تستطيعوا أن تأتوا بالباطل المُضاد لأنّكم إن فعلتم كفرتم بكتاب الله واتّبعتم الباطل.

وأعلن الفتوى بالحقّ، بأن أئمة آل البيت اثنا عشر إماماً أولهم الإمام علي وخاتمهم خاتم خُلفاء الله أجمعين خليفة الله ربّ العالمين على جميع الأمم؛ كُل ما يدب أو يطير من البعوضة فما فوقها لو كنتم تعلمون. وقد ذكر الله لكم شأن المهديّ المنتظَر في القُرآن العظيم وعلمكم أنّه سوف يهدي به الناس أجمعين ما دون الشياطين من الجنّ والإنس من كلّ جنس الذين يكفرون به لأنّهم يعلمون أنّه المهديّ المنتظَر الحقّ من ربِّهم، فهؤلاء لا يهديهم الله بالمهديّ المنتظَر بل يزيدهم رجساً إلى رجسهم ولكن الله يهدي بالمهديّ المنتظَر ما دون ذلك من الناس أجمعين فيجعلهم أمّةً واحدةً بإذن الله ربّ العالمين، وقد علّمكم الله بشأن المهديّ المنتظَر بأنّ الله سوف يجعله خليفته على ملكوت كُل شيء من البعوضة فما فوقها فيضرب لكم مثل القدرة بأنّه مالك الملك يؤتي الملك من يشاء. وقال الله تعالى: {
إِنَّ اللَّـهَ لَا يَسْتَحْيِي أَنْ يَضْرِبَ مَثَلًا مَا بَعُوضَةً فَمَا فَوْقَهَا ۚ فَأَمَّا الَّذِينَ آمَنُوا فَيَعْلَمُونَ أَنَّهُ الْحَقُّ مِنْ رَبِّهِمْ ۖوَأَمَّا الَّذِينَ كَفَرُوا فَيَقُولُونَ مَاذَا أَرَادَ اللَّـهُ بِهَـٰذَا مَثَلًا ۘ يُضِلُّ بِهِ كَثِيرًا وَيَهْدِي بِهِ كَثِيرًا ۚ وَمَا يُضِلُّ بِهِ إِلَّا الْفَاسِقِينَ ﴿٢٦الَّذِينَ يَنْقُضُونَ عَهْدَ اللَّـهِ مِنْ بَعْدِ مِيثَاقِهِ وَيَقْطَعُونَ مَا أَمَرَ اللَّـهُ بِهِ أَنْ يُوصَلَ وَيُفْسِدُونَ فِي الْأَرْضِ ۚ أُولَـٰئِكَ هُمُ الْخَاسِرُونَ ﴿٢٧كَيْفَ تَكْفُرُونَ بِاللَّـهِ وَكُنْتُمْ أَمْوَاتًا فَأَحْيَاكُمْ ۖ ثُمَّ يُمِيتُكُمْ ثُمَّ يُحْيِيكُمْ ثُمَّ إِلَيْهِ تُرْجَعُونَ ﴿٢٨﴾} صدق الله العظيم [البقرة].

أفلا تتدبرون هذه الآية تجدون وعد الله الحقّ بالمهديّ المنتظَر الحقّ الذي يهدي الله به الناس أجمعين ما دون شياطين البشر وقبيلهم من شياطين الجنّ الذين يؤمنون بأنّ هذا القرآن من عند الله ويعرفون أنّ محمداً رسولُ الله هو الحقّ من ربِّهم كما يعرفون أبناءهم ومن ثم بالحقّ يكفرون فلا يتخذونه سبيلاً، فهؤلاء لن يهديهم الله بالمهديّ المنتظَر بل يعدّون له العدّة منذ أمدٍ بعيدٍ بالتكثير من يأجوج ومأجوج فاستكثر الجنّ من الإنس ولن يغني عنهم جمعهم وكيدهم شيئاً، ويأبى الله إلا أن يُتمّ نوره ولوكره المجرمون من شياطين الجنّ والإنس ظهوره وإنّا فوقهم قاهرون، وكانت المُفاجأة لديهم كُبرى، فهم لم يكونوا يعلمون بأنّ الله سوف يمدّ المهديّ المنتظَر بجميع جند الله في ملكوت السماوات والأرض، ولقد علموا بأنّ مصيبتهم في هذه الآية المُنزّلة في القرآن الذي هم به كافرون وهم يعلمون أنّه الحقّ من ربهم، ألم يقل الله تعالى بأنّ هؤلاء النوع من الكفار يعلمون أنّ القرآن حقٌ من عند ربهم فهم به يكفرون؟ وقال الله تعالى:
{وأَمَّا الَّذِينَ كَفَرُوا فَيَقُولُونَ مَاذَا أَرَادَ اللَّهُ بِهَذَا مَثَلًا} صدق الله العظيم [البقرة:26].

بمعنى يعلمون بأنّ محمداً رسولُ الله -صلى الله عليه وآله وسلم- لم يفترِ على الله شيئاً، ولذلك قالوا ماذا أراد الله بهذا مثلاً، وذلك لأنهم علموا بأن مصيبتهم تكمن وراء هذا المثل، وعلموا من خلاله بأنّ الله سوف يهدي به الناس أجمعين ما دون شياطين الجنّ والإنس، ولكنه لم يفطنوا بأنّ ذلك هو المهديّ المنتظَر وأنّ الله سوف يؤيده بملكوت جنوده من كُل ما يدُبُّ على الأرض أو يطير بجناحيه في السماوات وفي الأرض لتكون بقيادة المهديّ المنتظَر الحقّ من ربكم الإمام ناصر محمد اليماني ضدّ المسيح الدجال وشياطين الجنّ والإنس وجنوده من يأجوج ومأجوج، وكانوا يظنون بأنّهم هم الغالبون لكثرتهم، ولكنّ المُفاجأة الحقّ سوف يجدونها في هذه الآية، فأما المؤمنون بهذا القرآن فسوف يعلمون بأنّي المهديّ المنتظَر الحقّ من ربهم. تصديقاً لقول الله تعالى:
{
إِنَّ اللَّـهَ لَا يَسْتَحْيِي أَنْ يَضْرِبَ مَثَلًا مَا بَعُوضَةً فَمَا فَوْقَهَا ۚ فَأَمَّا الَّذِينَ آمَنُوا فَيَعْلَمُونَ أَنَّهُ الْحَقُّ مِنْ رَبِّهِمْ ۖوَأَمَّا الَّذِينَ كَفَرُوا فَيَقُولُونَ مَاذَا أَرَادَ اللَّـهُ بِهَـٰذَا مَثَلًا ۘ يُضِلُّ بِهِ كَثِيرًا وَيَهْدِي بِهِ كَثِيرًا ۚ وَمَا يُضِلُّ بِهِ إِلَّا الْفَاسِقِينَ ﴿٢٦الَّذِينَ يَنْقُضُونَ عَهْدَ اللَّـهِ مِنْ بَعْدِ مِيثَاقِهِ وَيَقْطَعُونَ مَا أَمَرَ اللَّـهُ بِهِ أَنْ يُوصَلَ وَيُفْسِدُونَ فِي الْأَرْضِ ۚ أُولَـٰئِكَ هُمُ الْخَاسِرُونَ ﴿٢٧كَيْفَ تَكْفُرُونَ بِاللَّـهِ وَكُنْتُمْ أَمْوَاتًا فَأَحْيَاكُمْ ۖ ثُمَّ يُمِيتُكُمْ ثُمَّ يُحْيِيكُمْ ثُمَّ إِلَيْهِ تُرْجَعُونَ ﴿٢٨﴾} صدق الله العظيم [البقرة]، وسلامٌ على المُرسلين، والحمدُ لله ربّ العالمين..

وأما بالنسبة لسؤالك: لماذا يُسمى اليماني باليماني، فاسم اليماني ليس حصرياً لي؛ بل يُسمى به كُل يمانيّ من اليمن وأنا يمانيّ من اليمن، وأدعوكم من اليمن عبر الإنترنت العالميّة، واسمي
(ناصر محمد) وقد جعل الله في اسمي خبري ورايتي وعنوان أمري وفي ذلك تكمن الحكمة من التواطؤ لاسم محمد رسول الله -صلى الله عليه وآله وسلم- في اسمي في اسم أبي وذلك حتى يحمل الاسم الخبر، وذلك اسم المهديّ المنتظَر الإمام الثاني عشر من آل البيت المُطهر؛ الإمام ناصر محمد اليماني.
ــــــــــــــــــ

اضغط هنا لقراءة البيان المقتبس..