الموضوع: Baraka Kwa Wote Ma Anssar Katika Ulimwengu Na Wote Watu Waislamu Wacha Mungu Na Bishara Kwa Viongozi Wao Na Wanazuoni Wao Wanao Kanusha Wote ..

النتائج 1 إلى 1 من 1
  1. Post Baraka Kwa Wote Ma Anssar Katika Ulimwengu Na Wote Watu Waislamu Wacha Mungu Na Bishara Kwa Viongozi Wao Na Wanazuoni Wao Wanao Kanusha Wote ..


    Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani
    الإمام ناصر محمد اليماني
    10 - ذو الحجّة - 1439 هـ
    21 - 08 - 2018 مـ
    01:22 صباحاً
    ( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )

    [ili kufwatilia cha bayana asili]
    https://nasser-alyamani.org/showthread.php?t=35676
    ــــــــــــــــــــــــ


    مباركةٌ لجميع الأنصار في العالمين ولكافة شعوب المسلمين المتّقين وبشارةٌ لقاداتهم وعلمائهم المعرضين أجمعين ..
    Baraka Kwa Wote Ma Anssar Katika Ulimwengu Na Wote Watu Waislamu Wacha Mungu Na Bishara Kwa Viongozi Wao Na Wanazuoni Wao Wanao
    Kanusha Wote ..


    Bismillah Al'Rahmani Al'Rahim, Na Sala Na Salam Ju Ya Ma Nabi Na Mitume Wote Katika Majini Na Binadamu Wote kuanzia Kwa Baba yetu Adam Mpaka Alio Khitimisha Ma Khalifa Wa Allah Wote Wala Hakumfanya Allah Ni Nambi Wala Mtume Bali Nassera Muhammaen, Na Sifa Ya kutumilizwa kwangu kwenye jina langu "Nasseran" Mnusura kwa yale alio waletea nayo Muhammad Mtume Wa Allah ikiwa munaamini kwa yale yalio teremka ju ya Nabi ambae ni ummi ambae ni mwarabu ambao ilio andikwa katika Taurati na injili na Al'Quran Al3adhim, Na hakufanya Allah Ushuhuda wake katika majina yake; Bali kwenye Ma Bayana utawala wa ilimu yake Al'Quran Al3adhim inao tawala ju ya Taurati Na Injili Na Mahadithi Al'Sunna Al'Nabawia, Na Natoa shahada kwa Allah Shahada Nahisabiwa ju yake baina ya Mikono ya Allah ikiwa mimi ni katika warongo kwamba atakae kushikilia kwa yale yamekuja yamekhalifu ma Aya Muhakamat zilio wazi maana yake ambazo baini katika Al'Quran Al3adhim Kwa waislamu wa kawaida na wanazuoni wao basi atakae kushikilia kwa yale yalio khalifu ma Aya ambazo ni msingi wa kitabu Ambazo ni muhakamat zilio wazi maana yake akashikilia kwa yale ambao inakhalifu katika Taurati na Injili na ma hadithi zilio shindiliwa katika sunna basi hakika amekadhibu Maneno Ya Allah na hakufungamana kwa kamba ya Allah Al'Quran Al3adhim; Bali amejifunga kwa yale yamekuja kutoka kwa sio Allah yani ni kutoka shetani maluni, Na hatimai atamshirikisha Allah, Na atakae kumshirikisha Allah ni kama kwamba ameshikiliea uzi ya nyumba ya popo imeangikwa katika mbingo ya Dunia, Basi imkatikie nae basi aka'anguka kama kwamba ameanguka kutoka mbinguni ndio wamnyafure ndege ama impeperushe upepo katika pahali pabaya katika moto wa jahanam ambao unakurubia kwa Ardhi yenu ndio ipite ju ya Ardhi yenu kwa mbali na Ardhi yenu karibu kuliko jua kwa sana, Basi mutaiona kwa jicho la yakini, Alafu ita'angalia ndani ya nyoyo zenu, Basi itaona nyonyo zilio nawiri na nyoyo zilio na giza zimekufa kwa kumtaja Allah ndio itawarushia kwa tete inapiga katika kichwa na inatoka sehemu yake ya nyuma kwa yule ambae alikua amesimama, Ama alikua amejibwaga ndio itampata kwa tete nyingi, Na yule atakae kujificha kwenye nyumba yake inapeynya tete zake nyumba yake ndio imfikie mauti kutokana nayo hata kama angekua yuko katika majumba yenye ngome zilio dhibitiwa kwa chuma na smiti basi hakuna kuepukana na adhabu Ya Allah, Basi kimbieni kukimbia kutokana na Allah Al'Wa7hid Al'Qahar Kulekea kwake kwa kutubu na kutaka na kumfwata mlinganizi kwa njia ilio nyoka kwa yule anae taka kufwata njia ilio nyoka kwa yule atakae kufwata njia ilio nyoka basi ajuwe hakika Mola Mlezi wangu Yuko Katika Niia ilio nyoka.
    Kusadikisha Kwa Kauli Ya Mola Mlezi wangu Hapana Mola Ila Yeye, Amesema Allah Ta3ala:
    {إِنِّي تَوَكَّلْتُ عَلَى اللَّـهِ رَبِّي وَرَبِّكُم ۚ مَّا مِن دَابَّةٍ إِلَّا هُوَ آخِذٌ بِنَاصِيَتِهَا ۚ إِنَّ رَبِّي عَلَىٰ صِرَاطٍ مُّسْتَقِيمٍ ﴿٥٦﴾} صدق الله العظيم [هود].

    Allah Ta3ala Asema: {Hakika mimi nimemtegemea Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wangu na Mola Mlezi wenu. Hapana kiumbe yeyote ila Yeye anamwendesha atakavyo. Hakika Mola wangu Mlezi yuko juu ya Njia Iliyo Nyooka(56)} Sadaqa Allah Al3adhim [Hud].

    Basi Ambae anataka kufwata njia kwa Al3aziz Al'Hamid Basi na afwate Bayana Ya Al'Quran Kwa Bayana Ya Al'Quran Al'Majid Ndio aongoke kwa njia ya Al3aziz Al'Hamid. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:

    {الر ۚ كِتَابٌ أَنزَلْنَاهُ إِلَيْكَ لِتُخْرِجَ النَّاسَ مِنَ الظُّلُمَاتِ إِلَى النُّورِ بِإِذْنِ رَبِّهِمْ إِلَىٰ صِرَاطِ الْعَزِيزِ الْحَمِيدِ ﴿١﴾ اللَّـهِ الَّذِي لَهُ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَمَا فِي الْأَرْضِ ۗ وَوَيْلٌ لِّلْكَافِرِينَ مِنْ عَذَابٍ شَدِيدٍ ﴿٢﴾} صدق الله العظيم [إِبراهيم].


    Allah Ta3ala Asema: {Alif Lam Ra. (A. L. R.) Hichi ni Kitabu tulicho kiteremsha kwako ili uwatowe watu kwenye giza uwapeleke kwenye muwangaza, kwa idhini ya Mola wao Mlezi, uwafikishe kwenye Njia ya Mwenye nguvu, Msifiwa (1) Naye ni Mwenyezi Mungu ambaye ni vyake Yeye vyote viliomo katika mbingu na ardhi. Na ole wao makafiri kwa adhabu kali (2)} Sadaqa Allah Al3adhim [Ibrahim].
    Akasema Allah Ta3ala:
    {فَإِنْ أَعْرَضُوا فَقُلْ أَنذَرْتُكُمْ صَاعِقَةً مِّثْلَ صَاعِقَةِ عَادٍ وَثَمُودَ ﴿١٣﴾} صدق الله العظيم [فصلت].

    { Basi wakipuuza wewe sema: Nakuhadharisheni adhabu mfano wa adhabu ya A'di na Thamudi (13)} Sadaqa Allah Al3adhim [Fusilat].

    Ala Wallah Aladhi La Ilaha Gheyrahu hakika atakae kunikhalifu nilio ya hukumu baina yenu katika Dini Ya Allah kwa yale mulikua munakhitilifiana ndani yake basi hakika yeye ashakhalifu hukmu ya Allah Al'Wahid Al'Qahar katika muhakam ya ukumbusho, Na je nilikua na sharti ju yenu ispokua sharti moja nayo mukubali Allah Ndio Anahukumu baina yenu kwa yale mulikua munakhitilifiana ndani yake? Na Je Ju ya Al'Yamani Al'Muntadhar Ambae yeye ndio Dhati yake Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad Al'Yamani ispokua awachunguzie nyinyi ma hukmu ya Allah kwenye Ma Aya katika Al'Quran Ambazo baini na zinazo bainisha kwa waislamu wote na wanazuoni wao? Na wala hakufuru kwa hukumu ya Allah ndani yake ila ma fasiki ambao ni wanafik wakanushaji wale ambao wanafurahia kwa ile ilimu walio nayo ya batil wakatosheka nayo kuhusu Maneno ya Allah basi Akatosheka Nawo Allah Akafanya katika nyoyo zao kinga kutoifahamu nayo ni upofu ju yao hakika wao hapana wala hawato'ona haki kutoka Kwa Mola Mlezi wao itakavo kua wazi uwazi wa jua, Na je anakua sawa kipofu na mwenye kuona? Na Wala Hakuwadhulumu Allah; Bali walikua wao nafsi zao wadhulumu, Kwakua hawafwati yale Alio Teremsha Allah katika muhakam ilio wazi maana yake katika kitabu chake kwasababu imekuja inakhalifu yale walio nayo katika ma hadithi za shetan rajim ni kutoka kwa sio Allah na Mtume Wake, Lakini pindi wakipata Aya inawapa mkono kwa yale walio nayo katika ma hadithi za kweli ambazo ni kutoka kwa Allah na Mtume Wake basi haraka wanajahidiana na watu jihadi kubwa, Lakini pindi zikija ma Aya kumi kumi zinakhalifu ma hadithi ambazo zimenasibishwa Urongo ju Ya Allah na Mtume Wake basi hapo waniacha Al'Quran na wasema:" Kwani wewe ndio una ilimu ama asalaf asaleh?"! Hawo mfano wao kama mfano wa mayahudi wanamini baadhi ya kitabu na wanaiacha baadhi, Na jaza yao ni kheze katika maisha ya dunia, Kusadikisha Kauli ya Allah Ta3ala:
    {أَفَتُؤْمِنُونَ بِبَعْضِ الْكِتَابِ وَتَكْفُرُونَ بِبَعْضٍ ۚ فَمَا جَزَاءُ مَن يَفْعَلُ ذَٰلِكَ مِنكُمْ إِلَّا خِزْيٌ فِي الْحَيَاةِ الدُّنْيَا ۖ وَيَوْمَ الْقِيَامَةِ يُرَدُّونَ إِلَىٰ أَشَدِّ الْعَذَابِ ۗ وَمَا اللَّـهُ بِغَافِلٍ عَمَّا تَعْمَلُونَ ﴿٨٥﴾} صدق الله العظيم [البقرة].

    Allah Ta3ala Asema: {Je! Mnaamini baadhi ya Kitabu na mnakataa baadhi yake? Basi hana malipo mwenye kutenda hayo miongoni mwenu ila hizaya katika maisha ya duniani, na Siku ya Kiyama watapelekwa kwenye adhabu kali kabisa. Na Mwenyezi Mungu si mwenye kughafilika na yale mnayo yatenda(85)} Sadaqa Allah Al3adhim [Albaqara].


    Eee hakika wote ma shia na ma sunni wote wao ni ma sunni hawafwati kwenye kitabu ispokua yalio kuja yanawafikiana na yale walio nayo katika ma hadithi na ma riwaya na yatakae kuja yamekhalifu kwa yale walio nayo wanawacha ma Aya ya kitabu ambazo ziko baini ambazo zimekhalifu kwa yale walio nayo na wakajifunga kwa yale yanao khalifu kwa muhakam iko wazi maana yake kitabu cha Allah, Na Vipi wanahisabu kwamba wao wameongoka? Bali kama kwamba Allah na Mtume wake Amewambia wao kwamba wafanye ma hadithi katika sunna ndio ni maregeo kwa muhakam ilio wazi maana yake Al'Quran Al3adhim na kwamba inaokuja katika Al'Quran imekhalifu kwa hadithi yoyote basi waiwache Al'Quran na wachukuwe hadithi ambae imeikhalifu ne!! Lakini Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani nasema mumedangaya kwa kikanyagio cha kiatu cha mgu wangu, Wala Hakasema Allah hivo wala Mtume Wake; Bali kinyume ju ya yale mulio nayo ambao mumejifunga nayo, Amewamuru Allah na Akawamuru ma yahudi na ma nassara kwamba iwe muhakam ilio wazi maana yake Al'Quran ndio inao wazidi ju yao na ni maregeo kwakua imehifadhiwa kutokana na kuongeza maherufu tahrif, Na wala Hakuwahidi Allah kuhifadhi Taurat na injil na mahadithi ya sunna sawa iwe kutoka kwa ma sahaba kwa jumla ama kutoka kwa Ma imamu wa Ahlu'lbeyt kutoka kwa Mtume Wa Allah, Basi itakao khalifu kwa muhakam kitabu cha Allah Al'Quran Al3adhim basi sio kutoka kwa Mtume Wa Allah Wala Hakuisema Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam.


    Na Id Mubark, Na Baada Yake Nawabashiri wakanushaji kwa adhabu ya siku ya moshi wakati Atakapo Allah katika mwezi wowote na katika milele yoyote asa iwe karibu, Na nyinyi kwa mlinganizi wa haki munakanusha, Na wala sijuwi nini niwabashiri nayo! Na jee Kwa Kimbunga Adhimu? Ama kwa kijisayari cha (naizak) Adhabu ya siku uchungu? Ama kwa adhabu ya mvua ya majabali ya barafu kama mawe? Ama kwa adhabu ya tofan ju yenu? Ama kwa adhabu ya zilzala kutoka chini ya migu yenu? Na tanuri limefura na ikapanda daraja ya harara ya jua na nyinyi munajua, Ama tuwahadhirishe kwa ma tete kutoka kwa syari ya Moto, Basi mvua mbaya mvua ya tete kutokana na moto hio kwenu ni adhabu ya siku ya moshi?


    Na lini mutaamini kwamba hakika Allah Al'Wahid Al'Qahar Yeye Ndio Mubaji na Anae endesha enyi ma3ashara wanao abudu mazingara asili? Fawallah Thuma Wallah Haifanyi zilzala Ardhi yenyewe ila kwamba Aipe Wa7hu kuiambia Allah Ambae ndio Mundeshaji ju ya ufalme wa mbingu na Ardhi. Awauweni Allah enyi Watu Wa maafa ya ki Asili, Fawallah hakika ya wanyama wana Akili kuliko nyinyi; Bali nyinyi mumepotea zaidi kwa njia kwakua Allah amewatafautisha kwa Akili lakini nyinyi mumehama kutafakari kwa akili yenu kwa yale Alio teremsha kama kuhama kwenu kwa Al'Quran Al3adhim, Mukapendekeza inao nukuliwa ilio danganywa ju ya Allah na Mtume Wake ju ya ile ambao Amewahidi Allah kuihifadhi, Basi Kuanzia miyaka Alfu na mia inne haikutimu kuherufishwa wala kuzaifishwa ispokua nyinyi mumeweza kuiherufisha peke kwa njia ya kufasiri kwa maneno kutoka kwa nafsi zenu na kwa maoni yenu, Ala Wallah lau mutangalia kwa utafauti baina ya Bayana Ya Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani ya Al'Quran Kwa Al'Quran na baina ya ma tafsiri zenu ambazo ziko mbele ya mikono yenu mungepata tafauti ni kubwa baina ya haki na batil ambao imekhalifu kama baina ya mwangaza na giza, Basi Baraka ju yenu ya Idi!

    Na nawabashiri wakanushaji kwa adhabu adhimu hakika imezidi Ghadhabu za Allah ju ya kitabu chake kwa sababu ya kuzuwia kwenu kwa ma Aya Zake na kwa sababu ya kukanusha kwenu kwa Mlinganizi wa haki Al'Imam Al'Mahdi kwa njia ilio nyoka, Basi muabuduni Allah Mola Mlezi wangu na Mola Mlezi wenu wala musimshirikishe nae kitu na mufwate kitabu cha Allah Al'Quran Al3adhim na sunna za Mtume Wake na muwache yalio kuja yamekhalifu kwa muhakam ilio wazi maana yake kitabu cha Allah katika ma hadithi ya sunna basi sio kutoka kwa Nabi Wa Allah Muhammad Sala Allahu Aleyhi wa Ala Alihi walio Wazuri na wote waumini kwa ma Aya za Mola Mlezi wao na Mitume Wake katika kila zama na mahali na nasalimu Salamu.

    Na Baraka Ju yenu idi! Na nawabashiri baada yake kwa adhabu ya kumiza wakati Atakapo Allah basi sina mimi wala nyinyi katika jambo kitu na kwa Allah yanarudi mambo, Na imekurubia kudhihiri Atakae mwenye kutaka Na Akatae mwenye kukata, Basi hamuna uwezo kwenu kwa Allah Mola Mlezi wangu na Mola Mlezi wenu; Neema ya Mola na Neema ya Mnusura.

    Na imefikilia Jua Mwezi ikazaliwa mwandamo kabla ya kusuf Eclipse na ikakutana nae jua nayo ni mwandamo, Na je kuna wa kukumbuka kabla haijatangulia usiku mchana kwa sababu ya kutukezea jua kutoka kwa magharibi yake ama adhabu chini ya hio?
    Lakini wengi wa watu hawajuwi.


    Na Salam Ju Ya Mitume, Na Al'Hamdulillah Rabil3alamin..
    Khalifa Wa Allah Katika Ardhi Na Mja Wake Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani.

    وسلامٌ على المرسلين، والحمد لله ربّ العالمين..
    خليفة الله في الأرض وعبده الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.
    ________________

    اقتباس المشاركة 293150 من موضوع مباركةٌ لجميع الأنصار في العالمين ولكافة شعوب المسلمين المتّقين وبشارةٌ لقاداتهم وعلمائهم المعرضين أجمعين ..


    الإمام ناصر محمد اليماني
    10 - ذو الحجّة - 1439 هـ
    21 - 08 - 2018 مـ
    01:22 صباحاً
    ( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )
    ــــــــــــــــــــــــ



    مباركةٌ لجميع الأنصار في العالمين ولكافة شعوب المسلمين المتّقين وبشارةٌ لقاداتهم وعلمائهم المعرضين أجمعين ..

    بسم الله الرحمن الرحيم، والصلاة والسلام على كافة الأنبياء والمرسلين من الجنّ والإنس أجمعين من أبينا آدم إلى خاتم خلفاء الله أجمعين ولم يجعله الله نبيّاً ولا رسولاً بل ناصرَ محمدٍ، وصفة بعثي في اسمي ناصراً لما جاءكم به محمدٌ رسول الله إن كنتم تؤمنون بما تنزّل على النبيّ الأميّ العربيّ المكتوب في التوراة والإنجيل والقرآن العظيم، ولم يجعل الله برهانه في أسمائه؛ بل في بينات سلطان علمه القرآن العظيم المهيمن على التوراة والإنجيل وأحاديث السُّنة النبويّة، وأشهد لله شهادةً أحاسب عليها بين يدي الله إن كنت من الكاذبين أنّ من تمسّك بما جاء مخالفاً للآيات المحكمات البيّنات في القرآن العظيم لعامة المسلمين وعلمائهم فمن تمسّك بما جاء مخالفاً لآيات أمّ الكتاب المحكمات واستمسك بما يخالفهنّ في التوراة والإنجيل والأحاديث المدسوسة في السنن فقد كذّب بكلام الله ولم يعتصم بحبل الله القرآن العظيم؛ بل اعتصم بما جاء من عند غير الله أي من عند الشيطان الرجيم، وحتماً سوف يشرك بالله، ومن أشرك بالله فكأنما استمسك بخيطٍ من بيت العنكبوت معلقٍ في السماء الدنيا، فينقطع به فخرّ وكأنّما خرّ من السماء فتخطَفه الطير أو تهوي به الريح إلى مكانٍ سحيقٍ في نار جهنم التي تقترب من أرضكم فتمرّ على أرضكم على بُعدٍ من أرضكم من دون الشمس بكثيرٍ، فترونها عين اليقين، فتطلع على أفئدتكم، فترى القلوب المنيرة من القلوب المظلمة الميّتة عن ذكر الله فترميهم بشررٍ يضرب في الرأس ويخرج من الدُّبر لمن كان قائماً، أو كان منبطحاً فتصيبه بشررٍ أكثر، ومن تخبَّأ في بيته اخترق شررها بيته فيدركه الموت منها ولو كان في بروجٍ مشيّدةٍ بالحديد والإسمنت فلا فوات من عذاب الله، فالفرار الفرار من الله الواحد القهار إليه بالتوبة والإنابة واتّباع الداعي إلى صراطٍ مستقيمٍ لمن يريد أن يسلك الصراط المستقيم فليعلم إنّ ربي على صراطٍ مستقيمٍ. تصديقاً لقول ربي لا إله إلا هو، قال الله تعالى:
    {إِنِّي تَوَكَّلْتُ عَلَى اللَّـهِ رَبِّي وَرَبِّكُم ۚ مَّا مِن دَابَّةٍ إِلَّا هُوَ آخِذٌ بِنَاصِيَتِهَا ۚ إِنَّ رَبِّي عَلَىٰ صِرَاطٍ مُّسْتَقِيمٍ ﴿٥٦} صدق الله العظيم [هود].

    فمن أراد أن يتّبع الصراط إلى العزيز الحميد فليتّبع البيان للقرآن بالبيان بالقرآن المجيد فيهتديَ إلى صراط العزيز الحميد. تصديقا لقول الله تعالى:
    {الر ۚ كِتَابٌ أَنزَلْنَاهُ إِلَيْكَ لِتُخْرِجَ النَّاسَ مِنَ الظُّلُمَاتِ إِلَى النُّورِ بِإِذْنِ رَبِّهِمْ إِلَىٰ صِرَاطِ الْعَزِيزِ الْحَمِيدِ ﴿١اللَّـهِ الَّذِي لَهُ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَمَا فِي الْأَرْضِ ۗ وَوَيْلٌ لِّلْكَافِرِينَ مِنْ عَذَابٍ شَدِيدٍ ﴿٢} صدق الله العظيم [إِبراهيم].

    وقال الله تعالى:
    {فَإِنْ أَعْرَضُوا فَقُلْ أَنذَرْتُكُمْ صَاعِقَةً مِّثْلَ صَاعِقَةِ عَادٍ وَثَمُودَ ﴿١٣} صدق الله العظيم [فصلت].

    ألا والله الذي لا إله غيره إنّ من خالفني في الحُكْم بينكم في دين الله فيما كنتم فيه تختلفون فإنه قد خالف حكم الله الواحد القهّار في مُحكم الذكر، وهل كان لي شرطٌ عليكم غير شرطٍ واحدٍ وهو أن تقبلوا الله حَكَماً بينكم فيما كنتم فيه تختلفون؟ فهل على اليماني المنتظَر الذي هو ذاته المهديّ المنتظَر ناصر محمد اليماني إلا أن يستنبط لكم أحكام الله من آيات القرآن البيّنات والمُبيِّنات لعامة المسلمين وعلمائهم؟ لا يكفر بحكم الله فيها إلا الفاسقون المنافقون والمعرضون الذين فرحوا بما عندهم من العلم الباطل فاستغنوا به عن كلام الله فاستغنى الله عنهم وجعل على قلوبهم أكنةً أن يفقهوه فهو عليهم عمًى فهم لا ولن يبصروا الحقّ من ربهم مهما كان واضحاً وضوح الشمس، فهل يستوي الأعمى والبصير؟ ولم يظلمهم الله؛ بل كانوا أنفسهم يظلمون، كونهم لا يتّبعون ما أنزل الله في محكم كتابه بسبب أنه جاء مخالفاً لما لديهم من أحاديث الشيطان الرجيم من عند غير الله ورسوله، ولكن حين يجدون آيةً جاءت توافق ما لديهم من الأحاديث الحقّ التي من عند الله ورسوله فسرعان ما يجاهدون الناس بها جهاداً كبيراً، ولكن حين تأتي عشرات الآيات مخالفاتٍ للأحاديث المكذوبة عن الله ورسوله فهنا يعرضون عن القرآن ويقولون: "أأنت أعلمُ أم السلف الصالح؟"! أولئك مثلهم كمثل اليهود يؤمنون ببعض الكتاب ويعرضون عن بعضٍ، وجزاؤهم الخزي في الحياة الدنيا. تصديقاً لقول الله تعالى:
    {أَفَتُؤْمِنُونَ بِبَعْضِ الْكِتَابِ وَتَكْفُرُونَ بِبَعْضٍ ۚ فَمَا جَزَاءُ مَن يَفْعَلُ ذَٰلِكَ مِنكُمْ إِلَّا خِزْيٌ فِي الْحَيَاةِ الدُّنْيَا ۖ وَيَوْمَ الْقِيَامَةِ يُرَدُّونَ إِلَىٰ أَشَدِّ الْعَذَابِ ۗ وَمَا اللَّـهُ بِغَافِلٍ عَمَّا تَعْمَلُونَ ﴿٨٥} صدق الله العظيم [البقرة].

    ألا وإنّ جميع الشيعة والسّنة جميعهم سنّيون لا يتّبعون من الكتاب إلا ما جاء موافقاً لما لديهم في الأحاديث والروايات وما جاء مخالفاً لما لديهم تركوا آيات الكتاب البيّنات المخالفة لما لديهم واعتصموا بما يخالفها لمحكم كتاب الله، فكيف يحسبون أنهم مهتدون؟ بل وكأنّ الله ورسوله قال لهم أن يجعلوا الأحاديث في السُّنة هي المرجع لمحكم القرآن العظيم وأن ما جاء من القرآن مخالفاً لأيما حديثٍ فليتركوا القرآن ويأخذوا الحديث المخالف له!! ولكني الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني أقول كذبتم بشسع نعل قدمي، ولم يقل الله ذلك ولا رسوله؛ بل العكس على ما أنتم عليه معتصمون به، أمركم الله وأمر اليهود والنصارى أن يكونَ محكم القرآن العظيم هو المهيمن عليهم والمرجع كونه محفوظ من التحريف، ولم يعدكم الله بحفظ التوراة والإنجيل وأحاديث السّنة سواء كانت عن الصحابة بشكلٍ عامٍ أو عن أئمة آل البيت عن رسول الله، فما خالف لمحكم كتاب الله القرآن العظيم فليس عن رسول الله ولم يقله صلّى الله عليه وآله وسلم.

    وعيدٌ مباركٌ، ومن بعده أُبشّر المعرضين بعذابِ يومٍ عقيمٍ حين يشاء الله في أيّ شهرٍ وفي أيّ دهرٍ وعسى أن يكون قريباً، وأنتم عن داعي الحقّ معرضون، ولا أدري ما أبشّركم به! فهل بالريح العقيم؟ أم بكويكب ( نيزك) عذاب يوم أليم؟ أم بعذاب مطرِ جبالٍ من بردٍ كالأحجار؟ أم بعذاب الطوفان من فوقكم؟ أم بعذاب الزلازل من تحت أرجلكم؟ وفار التنور وارتفعت حرارة الشمس وأنتم تعلمون. أم نحذّركم من شرر من كوكب النار، فساء المطر مطر شرر من نارٍ ذلكم عذاب يومٍ عقيمٍ؟

    ومتى سوف تؤمنون أنّ الله الواحد القهار هو الخالق والمسيطر يا معشر عُبّاد الطبيعة؟ فوالله ثم والله لا تزلزل الأرض من ذات نفسها إلا أن يوحي لها الله المسيطر على ملكوت السماوات والأرض. قاتلكم الله يا أصحاب الكوارث الطبيعيّة، فوالله إن الأنعام أعقل منكم؛ بل أنتم أضلّ سبيلاً كون الله ميّزكم بالعقل ولكنكم هاجرون التّفكر بعقولكم فيما أنزل كهجركم للقرآن العظيم، وفضّلتم النَقل المكذوب عن الله ورسوله على الذي وعدكم الله بحفظه، فمنذ ألفٍ وأربعمائة عامٍ لم يتمّ تحريفه ولا تزييفه إلا أنكم استطعتم تحريفه فقط عن طريق تفاسيرٍ لكلامٍ من عند أنفسكم وبرأيكم، ألا والله لو تنظرون إلى الفرق بين بيانِ الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني للقرآن بالقرآن وبين تفاسيركم التي بين أيديكم لوجدتم أنّ الفرق كبيرٌ ما بين الحقّ والباطل المخالف كما بين النور والظلمات، فمباركٌ عليكم العيد!

    وأُبشّر المعرضين بعذابٍ عظيمٍ فقد زاد غضب الله لكتابه بسبب صدّكم عن آياته وبسبب إعراضكم عن الداعي إلى الحقّ الإمام المهديّ إلى الصراط المستقيم، فاعبدوا الله ربي وربكم ولا تشركوا به شيئاً واتّبعوا كتاب الله القرآن العظيم وسنّة رسوله واتركوا ما جاء مخالفاً لمحكم كتاب الله في أحاديث السّنة فليست عن نبيّ الله محمد صلى الله عليه وعلى آله الطيبين وجميع المؤمنين بآيات ربهم ورسله في كلّ زمان ومكانٍ وأسلّم تسليماً.

    فمباركٌ عليكم العيد! وأبشّركم من بعده بعذابٍ أليمٍ حينما يشاء الله فليس لي ولا لكم من الأمر شيئاً وإلى الله تُرجع الأمور، واقترب الظهور شاء من شاء وأبى من أبى، فلا قِبَلَ لكم بالله ربي وربكم؛ نعم المولى ونعم النصير.

    وأدركت الشمس القمر فولد الهلال من قبل الكسوف واجتمعت به الشمس وقد هو هلال، فهل من مدّكر من قبل أن يسبق الليل النهار بسبب طلوع الشمس من مغربها أو عذابٍ دون ذلك؟ ولكن أكثر الناس لا يعلمون.

    وسلامٌ على المرسلين، والحمد لله ربّ العالمين..
    خليفة الله في الأرض وعبده الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.
    _______________

    [ لقراءة البيان من الموسوعة ]
    https://nasser-alyamani.org/showthread.php?t=35677
    اضغط هنا لقراءة البيان المقتبس..



المواضيع المتشابهه
  1. Bayana Ya Kuwapa Matumaini Ma Anssar Wote Katika Ulimwengu ..
    بواسطة زينة الإسلام (فارسة الحق) في المنتدى Swahili
    مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 30-03-2019, 07:28 PM
  2. مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 04-12-2018, 05:40 PM
  3. مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 07-08-2018, 02:59 AM
  4. مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 24-04-2018, 01:03 AM
  5. مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 05-02-2018, 10:00 PM
ضوابط المشاركة
  • لا تستطيع إضافة مواضيع جديدة
  • لا تستطيع الرد على المواضيع
  • لا تستطيع إرفاق ملفات
  • لا تستطيع تعديل مشاركاتك
  •