اقتباس...الامام ناصر محمد اليماني
Nukulu... Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani


Basi Njoni Enye Ma3ashara Ya Waislamu ili Niwafundishe Yale Alio Yasema Muhammad Mtume Wa Allah Kwa Wanazuoni Wenu Wa Zama Za Mwisho Katika Zama Ambao Litatoka Jua Ndani Yake Kutoka Magharibi Yake Kwenye Zama Za Mwisho Katika Zama Za Al'Imam Al'Mahdi: Amesema Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam:
قال مُحمد رسول الله صلى الله عليه واله وسلم:
[سيأتي زمان على أمتي لا يبقى من القرآن إلا رسمه،و لا من الاسلام إلا اسمه يسمون به،و هم أبعد الناس منه، مساجدهم عامرة،وهي خراب من الهدى،فقهاء ذلك الزمان شر فقهاء تحت ظل السماء،منهم خرجت الفتنة،و إليهم تعود]
صدق محمد رسول الله صلى الله عليه وأله وسلم
وهل تعلموا ما المُراد من قوله عليه الصلاة والسلام؟؟
[منهم خرجت الفتنة،و إليهم تعود]
صدق محمد رسول الله صلى الله عليه وأله وسلم
Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam Amesema:
[Itakuja Zama Juu Ya Umma Wangu Haitobaki Katika Al'Quran ispokua Mandishi Yake Wala Katika Uwislamu ila Jina Lake Wanajita Nalo Na Wao Ni MBali Katika Watu Zaid Nayo, Misikiti Yao Yamejengwa Nayo Ni Imeharibika Kutokana Na Uongofu, Basi Mafa'Qihi Wa Zama Hizo Ni mabaya ya wasomi chini ya kivuli cha anga Kutoka Kwao Imitoka Fitna Na Kwao Inarudi] Sadaqa Muhammad Mtume Wa Allah sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam,
Na Je Mwajua Anacho Kusudia Kwenye Kauli Yake Juu Yake Sala Na Salam??
منهم خرجت الفتنة،و إليهم تعود] [Kutoka Kwao Imetoka Fitna Na Kwao Inarudi] Sadaqa Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam Yani Ma'Hadithi Za Fitna Na Mana Ya Kauli na Kwao Zinarudi Yani Sio Kutoka Kwake Juu Yake Sala Na Salam Kwajili Wao Wanazirudisha kua Ni Mtume Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam Amezisema Na Kwa Vile Zimekhalifu Al'Quraan Anazikanusha Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam Akasema Kwamba Ma'Hadithi Ya Fitna Ni Kutoka Kwao Na Kwao Zinarudi Yani Hazi Toki Kwake..

Na Kadhalika Amesema Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam Juu Ya Waislamu Wa Leo Na Wanazuoni Wao:
يأتي على الناس زمان بطونهم آلهتهم ونساؤهم قبلتهم ، ودنانيرهم دينهم ، وشرفهم متاعهم ، لا يبقى من الايمان إلا اسمه ، ومن الاسلام إلا رسمه ، ولا من القرآن إلا درسه ، مساجدهم معمورة ، وقلوبهم خراب من الهدى ، علماؤهم أشر خلق الله على وجه الأرض . حينئذ ابتلاهم الله بأربع خصال : جور من السلطان ، وقحط من الزمان ، وظلم من الولاة والحكام ، فتعجب الصحابة وقالوا : يا رسول الله أيعبدون الأصنام ؟ قال : نعم ، كل درهم عندهم صنم ]
صدق مُحمد رسول الله صلى الله عليه واله وسلم
Amesema Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi WA Alihi WA Salam:[ Itakuja Juu Ya Watu Zama Matumbo Yao Ndio Miungu Yao, Na Wake Zao Ndio Kibla Zao, Na Pesa Zao Ndio Dini Yao, Na Sharf Yao Ni Matamanio Yao, Haitobaki Kutokana Na iman Ispokua Jina Lake, Na Kutokana Na Uwislamu ispokua Mandishi Yake, Na Wala Kutokana Na Al'Quraan Ispokua Kuisoma Kwake, Misikiti Yao Yamejengwa, Na Nyoyo Zao Zimiharibika Kutokana Na Uongofu, Wanazuoni Wao Ni Waovu Wenye Shari Katika Watu Kwenye Uso Wa Dunia, Wakati Huo Amiwapa Allah Ibtila Kwa Mambo Ma inne: Dhulma Kutoka Kwa Mtawala, Na Ukame Katika Zama Hizo, Na Dhulma Kutokana Na Watawala Na Viongozi, Wakastajabu Masahaba Wakasema: Ewe Mtume Wa Allah Wana'Abudu Masanamu? Akasema: Ndio, Kil Derham Kwao Ni Sanamu,] Sadaqa Muhammad Aleyhi Alsalatu Wa Alsalam.

Na Akasema Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam Kuhusu Umma Wa Leo Na Wanazuoni Wao:
يأتي على الناس زمان وجوههم وجوه الآدميين ، وقلوبهم قلوب الشياطين ، كأمثال الذئاب الضواري ،سفّاكون للدماء ، لا يتناهون عن منكر فعلوه ، إن تابعتهم إرتابوك ، وإن حدثتهم كذّّبوك ، وإِن تواريت عنهم اغتابوك ، السُّنة فيهم بدعة ، والبدعة فيهم سُنة ،والحليم بينهم غادر ، والغادر بينهم حليم ، والمؤمن فيما بينهم مستضعف ،والفاسق فيما بينهم مشرّف ، صبيانهم عارم ، ونساؤهم شاطر ، وشيخهم لا يأمر بالمعروف ولا ينهى عن المنكر ، الالتجاء إليهم خزي ، والاعتزاز بهم ذل ،وطلب ما في أيديهم فقر ، فعند ذلك يحرمهم الله قطر السماء في أوانه ، وينزّله في غير أوانه ، يسلط عليهم شرارهم فيسومونهم سوء العذاب]
صدق مُحمد رسول الله صلى الله عليه وأله وسلم
Amesema Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Aleyhi Wa Salam: [ Inakuja juu ya watu zama Uso Zao Ni Za Kibinadamu Moyo Yao Ni Moyo Za Kishetani, Kama Mfano Wa Umbwa Mwitu Wanaodhuru Wamwagaji damu, Hawakatazani maovu wanayo yafanya, Na ukiwafwata wanakutia tashwishi, Na ukiwahadithia wanakukadhibisha, Na ikiwa huko na wao wanakusengenya, Sunna kwao ni bidaa, Na bidaa kwao ni sunna, Yule Mpole Baina Yao Ndio haini , Na yule haini baina yao ni mpole, Na mumini baina yao anadhufishwa, Na fasiki baina yao ndio msimamizi, Watoto wao Arim, Wanawake wao Wnajitokeza, Na Mzee Wao Hawalekezi wema wala hawakatazi maovu, Kulekea kwao ni kheze, Na kujigamba na wao ni udhalilifu, Na Kutaka msada Kwa walio nayo Kwenye Mikono Yao Ni Ufukara, Basi Ikifika Hapo Anawaharamishia Allah Tone La Mvua Katika Wakati Wake na anaiteremsha sio wakati wake, Anamsaliti Washari zaidi Juu Yenu Awatese na kuwadhibu adhabu chungu,], Sadaqa Muhammad Rasul Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi wa Salam,
Ila Alio Rehemewa Na Mola Mlezi Wangu Katika Wanazuoni Wa umma akawatakia Allah Juu Yao Akamdhirisha Kwenye Jambo Letu kwenye Mtandao Ya Ulimwengu Lakini Hakufanya kiburi akasema nitatadabari Kupeleza Anayo Yasema Huyu Mwanamume Na baina yangu na baina yake kitabu Cha Allah Na Sunna Alnabawiya Basi Nikimpata Yuko Kwenye Uongofu Nitamfwata Na Nitamtambua kuwa yeye ni Haki iwe sawa ni Al'Imam Al'Mahdi Ambae Tunae Mgoja Yeye Ama Ni Mongozaji Kutoka Kwa Allah Katika Njiya Ilio Nyoka Basi sio Muhimu Kwangu Awe Ni Al'Imam Al'Mahdi Al'Muntadhar Ama Hakua Yeye Almuhimu Mimi Nimempata Yuko kwenye Haki Na Anaongofu Kwa Njia ilio Nyoka Basi Vipi nikanushe haki ba'ada kubainika kwangu Kua Yeye Ndio Haki Alafu Aseme Nini Ba'Ada ya Haki ila ni dhalala upotevu Basi Mahdi Gani Tunataka Ba'ada ya huyu ambae anaifafanua kitabu Cha Allah ufafanuzi ulio wazi wazi Na Antauhoji Kwa Kitabu Cha Allah Na Sunna Za Mtume Wake Za Kweli Na Azitakasa Kuzitahirisha Sunna za Kinabawi kutokana na bidaa Kuzitahirisha Na Anaharamisha ijtihada kwenye Fatwa bila ilimu wala utawala Na Anaharamisha Juu Ya Waislamu Kwamba Waseme Juu Ya Allah Wasiokijua Hivi Hamuogopi?!!
Basi Niambieni Mahdi Yupi Munae Mngoja Na Jee Munataka Aseme Kwenu Mimi Ni Mtume kutoka Kwa Allah Kutumwa Kwenu Ama Ni "Nasser'an" MNusura Wa Yale yalioko Baina Ya Mikono Yenu Kitabu Cha Allah Na Sunna Za Mtume Wake Za Kweli Hivi Hamuwi Na Akili ?!!
Na Enyi Kaumu Nawapa Fatwa Kua Sio Sharti Juu Yenu Kua Musinifwate Mpaka Munitambuwe Kua Mimi Ni Al'Imam Al'Mahdi Bali Fwateni Haki Na Ikiwa Mutafwata Haki Kutoka Kwa Mola Wenu Mlezi Basi Hio Ni Mumitambua Kutoka Kwenu Kua Mimi Ni Al'Imam Al'Mahdi Kwa Haki Na Jee Kuna Ba'Ada Ya Haki ispokua Ni Upotevu Na Enyi Kaum Sio Mantik kua Nitokeze Kwenu Kwenye Nguzo Ya Al'Yamani (Al'Rukn Al'Yamani) Na Niseme Enyi Ma3ashara Al'Muslimin Nipeni Baiyaa Mimi Ni Al'Mahdi Al'Muntadhar Wa Haki Kutoka Kwa Mola Mlezi Wenu Na Mutajuaje Kua Mimi Ni Al'Imam Al'Mahdi Al'Hak Kutoka Kwa Mola Mlezi Wenu Kama Sikuwalingania Kwa Hiwar Kabla Kudhihirika Na Ba'ada Ya Kusadiki Ndio Nije Kudhihirika Kwenye Nyumba Ya Zamani Na Jee Si Hi Ndio Akili Na Mantik Ama Nyinyi Hamuti Akili Na Enyi Kaumu Mwatakiwa Mutumie Akili Zenu Ambao Amewatafawutisha Allah Nazo Na Wanyama Nayo Ni Kutafakari Na Kuchukua Mamuzi Ba'Ada Kutafakari Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
تصديقاً لقول الله تعالى:
{قُلْ إِنَّمَا أَعِظُكُمْ بِوَاحِدَةٍ أَنْ تَقُومُوا لِلَّهِ مَثْنَىٰ وَفُرَادَىٰ ثُمَّ تَتَفَكَّرُوا مَا بِصَاحِبِكُمْ مِنْ جِنَّةٍ إِنْ هُوَ إِلَّا نَذِيرٌ لَكُمْ بَيْنَ يَدَيْ عَذَابٍ شَدِيدٍ}
صدق الله العظيم , [سبإ: ٤٦]
Allah Ta3ala Asema:{ Sema: Mimi nakunasihini kwa jambo moja tu - ya kwamba msimame kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, wawili-wawili na mmoja-mmoja; kisha mfikiri. Mwenzenu huyu hana wazimu. Yeye si chochote ila ni Mwonyaji kwenu kabla ya kufika adhabu kali} Sadaqa Allah Al3adhim [Sabaa:46].
Na Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala: وتصديقاً لقول الله تعالى:
{أَوَلَمْ يَتَفَكَّرُوا ۗ مَا بِصَاحِبِهِمْ مِنْ جِنَّةٍ ۚ إِنْ هُوَ إِلَّا نَذِيرٌ مُبِينٌ ﴿١٨٤﴾ أَوَلَمْ يَنْظُرُوا فِي مَلَكُوتِ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَمَا خَلَقَ اللَّهُ مِنْ شَيْءٍ وَأَنْ عَسَىٰ أَنْ يَكُونَ قَدِ اقْتَرَبَ أَجَلُهُمْ ۖ فَبِأَيِّ حَدِيثٍ بَعْدَهُ يُؤْمِنُونَ}
صدق الله العظيم , [الأعراف]
Allah Ta3ala Asema:{Je, hawafikiri? Huyu mwenzao hana wazimu. Hakuwa yeye ila ni mwonyaji aliye dhaahiri (184) Je, hawatazami ufalme wa mbingu na ardhi, na vitu alivyo viumba Mwenyezi Mungu, na pengine ajali yao imekwisha karibia? Basi maneno gani baada ya haya watayaamini (185)} Sadaq Allah Al3adhim [Alaaraf].
Na Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
وتصديقاً لقول الله تعالى:
{وَمَا أَنْزَلْنَا عَلَيْكَ الْكِتَابَ إِلَّا لِتُبَيِّنَ لَهُمُ الَّذِي اخْتَلَفُوا فِيهِ وَهُدًى وَرَحْمَةً لِقَوْمٍ يُؤْمِنُونَ }
صدق الله العظيم , [النحل: ٦٤]
Allah Ta3ala Asema:{Na hatukukuteremshia Kitabu isipo kuwa uwabainishie yale ambayo wanakhitalifiana, na kiwe Uwongofu na Rehema kwa watu wanao amini} Sadaqa Allah Al3adhim [Alnahl:64].
Na Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
وتصديقاً لقول الله تعالى:
{أَمْ يَقُولُونَ بِهِ جِنَّةٌ بَلْ جَاءَهُمْ بِالْحَقِّ وَأَكْثَرُهُمْ لِلْحَقِّ كَارِهُونَ}
صدق الله العظيم , [المؤمنون: ٧
Allah Ta3ala Asema:{Au wanasema: Ana wazimu? Bali amewajia kwa Haki, na wengi wao wanaichukia Haki} Sadaqa Allah Al3adhim [Almumini:70].


Na Enyi Kaumu Lakini Amenitumiliza Allah (Nasser'an) Munusura Kwa Yale Aliko Kuja Nayo Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam Kwa Haki Basi Mukakata Haki Kutoka Kwa Mola Wenu Mlezi Na Mukasema Huyu Ni Mrongo Mwenye Shari Wala Sio Al'Mahdi Al'Muntadhar Na Enyi Kaumu Hivi Hamuoni Kua Hamumkadhibishi Nasser Muhammad Al'Yamani Bali Mumikadhibisha Yale Anao Walingania Basi Vipi Asiwa'adhibu Allah ikiwa Mutaendelea Kukadhibisha Kwa Ulinganizi Wa Haki Kwa Kitabu Cha Allah Na Sunna Za Mtume Wake Za Haki Na Enyi Kaumu Sio Hoja Kwenu Ikiwa hamukumona Nasser Muhammad Al'Yamani Basi Sio Hoja Kwenu Kua Hamutonisadikisha Mpaka Munione Mimi muniangalie Basi Uongofu Hauko Kwenye Kuniona Sura Zangu Wala Kwenye Sauti Yangu Bali Uongofu uko kwenye Maneno Ya Allah Na Atakae Kuyakadhibisha Basi Atampoteza Allah Na Atamadhibu Akasema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى:
{وَإِنْ كَذَّبُوكَ فَقُلْ لِي عَمَلِي وَلَكُمْ عَمَلُكُمْ ۖ أَنْتُمْ بَرِيئُونَ مِمَّا أَعْمَلُ وَأَنَا بَرِيءٌ مِمَّا تَعْمَلُونَ ﴿٤١﴾ وَمِنْهُمْ مَنْ يَسْتَمِعُونَ إِلَيْكَ ۚ أَفَأَنْتَ تُسْمِعُ الصُّمَّ وَلَوْ كَانُوا لَا يَعْقِلُونَ ﴿٤٢﴾ وَمِنْهُمْ مَنْ يَنْظُرُ إِلَيْكَ ۚ أَفَأَنْتَ تَهْدِي الْعُمْيَ وَلَوْ كَانُوا لَا يُبْصِرُونَ ﴿٤٣﴾}
صدق الله العظيم , [يونس]
Allah Ta3ala Asema:{Na wakikukanusha wewe, sema: Mimi nina a'mali yangu, na nyinyi mna a'mali yenu. Nyinyi hamna jukumu kwa niyatendayo, wala mimi sina jukumu kwa myatendayo (41) Na wapo miongoni mwao wanao kusikiliza. Je, wewe unaweza kuwafanya viziwi wasikie ijapo kuwa hawafahamu (42) Na wapo miongoni mwao wanao kutazama. Je, wewe utawaongoa vipofu ingawa hawaoni (43)} Sadaqa Allah Al3adhim [Yunus].


Na Hivo Ni Kwajili Ba'adhi Yao Wanajishugulisha Na Kumwangalia Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Ala Alihi Wa Salam Pasi Na Kusikiza Yale Anao Yasema Wala Sio Uongofu Katika Sura Zake Juu Yake Al'Salatu Wa Al'Salam Na Atakae Kumwangalia Basi Atamongoa Allah Basi Kwahivo Wange'Amini Makafiri Wote Bali Kusikiza Kwa Maneno Ya Allah Na Kufahamu Basi Hadithi Gani Ba'ada Ya Allah Na Aya Zake Muta'Amini Allahuma Nimibalighisha Allahuma Shuhudia..
Al'Imam Al'Mahdi Masser Muhammad Al'Yamani.