الإمام ناصر محمد اليماني
09 - ربيع الأول - 1439 هـ
27 – 11– 2017 مـ
04:06 صباحاً
https://nasser-alyamani.org/showthread.php?t=33184
___________

Allah Amlani Yule Atakae Kumua Mwislamu Kwa Hoja Ya Uwislamu Wake Na Ame’ghadhibika Juu Yake, Na Lana Za Allah Juu Ya Atakae Kumua Kafiri Kwa Hoja Ya Ukafiri Wake Wala Hajamfanyia Uwaduwi.

Bismillah Mola Alio Ghadibika Juu Ya Wafisadi Katika Mashariki Ya Ardhi Na Magharibi Yake Wamwagaji Damu Ya Waislamu Bila Ya Haki Na Makafiri Wale Ambao Hawaja’Watendea uwaduwi, Eee Hakika Uhalifu Wa Dhambi Ya Ku’Uwa Nafsi Bila Ya haki sio adhabu yake kwa Allah Kama baki ya madhambi mingine kwenye kauli ya Allah Ta3ala:
{مَن جَاءَ بِالْحَسَنَةِ فَلَهُ عَشْرُ أَمْثَالِهَا ۖ وَمَن جَاءَ بِالسَّيِّئَةِ فَلَا يُجْزَىٰ إِلَّا مِثْلَهَا وَهُمْ لَا يُظْلَمُونَ (160)}
صدق الله العظيم [الأنعام]
Allah Ta3ala Asema:{ Atakae Kuja na Jema Atapata Mara kumi Mfano wake Na Atakae Kuja Na Ovu Lakini hatolipwa Ispokua Kama Mfano Wake na wao hawato’dhulumiwa(160)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alanaam].
Ispokua Malipo Ya Allah Kwa Yule Atakae Ku’Uwa Nafsi Bila Nafsi Ama Kuiua Ni Fasadi Katika ardhi na kukeuka na Dhulma Lakini hatomjazi Allah peke Dhambi la Ku’uwa Nafsi moja bali Anapandishiwa adhabu kwa idadi za nafsi za watu wote, Hivo ndio hukmu ya Allah Katika Muhakam Ilio wazi Kitabu chake juu ya wahalifu katika waja wake, Kusadikisha Kauli ya Allah Ta3ala:

{{ مِنْ أَجْلِ ذَٰلِكَ كَتَبْنَا عَلَىٰ بَنِي إِسْرَائِيلَ أَنَّهُ مَن قَتَلَ نَفْسًا بِغَيْرِ نَفْسٍ أَوْ فَسَادٍ فِي الْأَرْضِ فَكَأَنَّمَا قَتَلَ النَّاسَ جَمِيعًا وَمَنْ أَحْيَاهَا فَكَأَنَّمَا أَحْيَا النَّاسَ جَمِيعًا ۚ وَلَقَدْ جَاءَتْهُمْ رُسُلُنَا بِالْبَيِّنَاتِ ثُمَّ إِنَّ كَثِيرًا مِّنْهُم بَعْدَ ذَٰلِكَ فِي الْأَرْضِ لَمُسْرِفُونَ (32) }}
صدق الله العظيم [المائدة].

Allah Ta3ala Asema:{ Kwajili ya hivo tumiandika juu ya bani israil kwamba atakae ku’ua nafsi bila nafsi ama ufisadi katika Ardhi kama Ameua Watu wote na atakae kuhuisha kama kwamba amehuisha watu wote Na hakika wamewajia mitume wetu kwa zilio baini alafu hakiak wengi katika wao ba’ada hapo katika Ardhi ni wfisidifu(32)} Sadaqa Allah Al3adhim [Almaida].

Na Enyi Ma3ashara wale Walio uwa wanao swali katika Msikiti Al’Rawudha huko Sina Misri Lakini Sidhani Kwamba Nyinyi ni katika waislamu wala sidhani nyinyi ni katika makafiri walio potea; Bali ni katika walio ghadhibwa Juu yao Ambao wana chuki Juu ya Waumini, Awalani Allah Lana Kuu katika Dunia Na Akhera Na Aghdhibike Allah Juu yenu Duniani Na Akhera Na Wla Hamtopata Kwenu Pasi Na Allah Rafiki Wala Mwenye Kuwasaidia, Allahuma Hakika Mimi Mja Wako Ambae Nimejifunga Kwako Ambae Nimishikilia Kitabu Chako Al’Quran Al3adhim Nakuomba Mola Mlezi Wangu Kwa Haki Ya La ilaha Ila Anta Na Kwa Haki Ya Rahma Yako ambao umeiandika Juu Ya Nafsi Yako Na Kwa Haki Ya uwadhimu Wa Neema Ya Ridha ya Nafsi Yako Ambao wao nayo wanaichukia kwamba usibakishe katika Mashetani watu na ma jini yoyote, Ewe Allah Wangamize Badada Kwa Umeme kutoka kwako uitume kwa wale ambao lau watajua njia ya sawa hawato ifanya ni njia kabisa kwakua wamechukia yale alio teremsha Allah kutokana na Haki na wao kwa haki ni wenye kuchukia, Allahuma hakika Wewe Wawajua katika waja wako hakika Wewe kwa waja wako ni mjuzi Mwenye kuona, Allahuma Tuoneshe kwao majabu ya kudra zako kwa Adhabu kutoka kwako, Allahuma Na Uongoze kwa Adhabu yako duni ya hayo katika watu na ma jini na katika kila jinsia, Allahuma Hakika Wewe Wajua Kwamba Mimi Mja Wako Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani Khalifa Wa Allah Katika Ardhi Umenichagua ili nimalize ufisadi katika Ardhi Na Nimalize Umwagaji wa damu Na Nijaze Ardhi uwadilifu kama vile kumeja ufisadi na Udhalimu, Allahuma Hukumu Baina Yangu Na Baina Ya Wale Lau watajua Kwamba Mimi Ni Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani Mlinganizi kwa Kufwata Ukumbusho wa Allah kwa Ulimwengu basi hawange’Nifwata na imechafukwa nyuso zao kwa Sababu ya Kutumilizwa Al’Mahdi Al’Muntadhar Nasser Muhammad Al’Yamani; Hawo Haiwazidishi Kutumilizwa Al’Mahdi Al’Muntadhar ispokua Rijsi Juu Ya Rijsi Yao Kwakua analingania kufwata Al’Quran Al3adhim Ya Haki Kutoka Mloa Mlezi Wao na Wao kwa Haki Ni Wenye Kuchukia Na Wanataka Kuzima Nur Ya Allah Na Anakata Allah ispokua Atimize Nur Yake hata Kama Watachukia Wahalifu, Ameghadhibika Allah Juu Yao Na Awalani Na Atume Juu Yao Umeme kutoka Kwake ndio iwapate popote walipo hakika Allah Amewazunguka Makafiri Amabo Alio Ghadhibika Juu Yao Ambao wamechukia Ridha Za Allah Na Yale Alio Yateremsha Kutokana Na Haki Na Anawajua Wote katika Wja wake wote hakika Yeye Anajua Viliomo Vifuwani, Allahuma Na Uwaongoze Walio Potea Katika Waislamu Na Makafiri katika ulimwengu Wale Ambao Lau Watajuwa Kwamba Mimi ni Al’Mahdi Al’Muntadhar Wa Haki Mlinganizi Wa Haki kutoka Kwa Mola Mlezi Wao wangenifwata Basi Wewe Hakika Unawajuwa Waja Wako Na Ni Mwenye Huruma Kwao Kuliko Mja Wako Na Wadi Wako ni Haki Na Wewe Ni Mwenye Huruma Kuliko Wenye Huruma, Allahuma hi Dua Ya Mja Wako Na Khalifa Wako Katika Ardhi Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani Na Kwako Majibu Hakika Wewe Mola Mlezi Wangu Ni Mwenye Kusikia Dua, Allahuma hakika Wewe Wajua Kwamba Umenichagua Katika Ardhi Khalifa Allahuma Mimi Nakushuhudisha Na Tosha Kwa Allah Kua Shahidi Kwamba Hakika Wewe Lau Utampa Mkono Mja Wako Na Khalifa Wako Al’Imam Al’mahdi Nasser Muhammad Al’yamani ili kumdhihirisha kwa Njia Ya Jeshi Lako Lote katika ufalme wa Mbingu na Ardhi Kutokana Na Mbu na Alio Juu yake Basi Lakini Mimi Nakushuhudisha Mola Mlezi Wangu Ambae Unae Jua Kiliomo Katika Moyo Wangu Kutokana Na Yaqini Ya imani kwamba usaidizi na ushindi ni kutoka kwako Subhanaka Umetukuka Mola Mlezi Wangu Mwenye Nguvu Mtukufu, Allahuma Kwako Nimejitosheleza Na Amewatosheleza Allah Waumini vita Na Hakika Allah Ni Mwenye Nguvu Maenye Enzi Neema Al’Maula Wa Neema Al’Nasir Hasbi Allah La ilaha il Allah aleyhi Tawakaltu Wahuwa Rab Al3arsh Al3adhim, Na Salam Juu Ya Mitume, Na Al’Hamdulillah Rabilalamin.

Khalifa Wa Allah Na Mja Wake Alio jitosheleza Kwa Mola Mlezi Wake Kutokana Na Jeshi Lake Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani.

خليفة الله وعبده المستغني بربه عن جنده الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.
________________


اقتباس المشاركة 274361 من موضوع لعنَ الله من يقتل مسلماً بحجّة إسلامه وغضب الله عليه، ولعنةُ الله على من يقتل كافراً بحجّة كفره ولم يعتدِ عليه ..


الإمام ناصر محمد اليماني
09 - ربيع الأول - 1439 هـ
27 – 11– 2017 مـ
04:06 صباحاً
( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )

[ لمتابعة رابط المشاركـة الأصليّة للبيان ]

https://nasser-alyamani.org/showthread.php?p=274353

________________



لعنَ الله من يقتل مسلماً بحجّة إسلامه وغضب الله عليه، ولعنةُ الله على من يقتل كافراً بحجّة كفره ولم يعتدِ عليه ..

بسم الله الربّ الغاضب على المفسدين في مشارق الأرض ومغاربها سفّاكي دماء المسلمين بغير حقٍّ والكافرين الذين لم يعتدوا عليهم، ألا وإنّ جريمةَ سيئةِ قتل نفسٍ بغير حقٍّ ليس عقابها عند الله كمثل السيّئات الأُخَر في قول الله تعالى: {مَن جَاءَ بِالْحَسَنَةِ فَلَهُ عَشْرُ أَمْثَالِهَا ۖ وَمَن جَاءَ بِالسَّيِّئَةِ فَلَا يُجْزَىٰ إِلَّا مِثْلَهَا وَهُمْ لَا يُظْلَمُونَ (160)} صدق الله العظيم [الأنعام]، إلا الجزاء عند الله لمن قتل نفساً بغير نفسٍ أو قتلها فساداً في الأرض طغياناً وظلماً فلن يجزيه الله فقط بإثم قتل نفسٍ واحدةٍ بل يضاعف له العذاب بعدد كافة أنفس الناس جميعاً، ذلك حكم الله في محكم كتابه على المجرمين من عباده. تصديقاً لقول الله تعالى:
{{ مِنْ أَجْلِ ذَٰلِكَ كَتَبْنَا عَلَىٰ بَنِي إِسْرَائِيلَ أَنَّهُ مَن قَتَلَ نَفْسًا بِغَيْرِ نَفْسٍ أَوْ فَسَادٍ فِي الْأَرْضِ فَكَأَنَّمَا قَتَلَ النَّاسَ جَمِيعًا وَمَنْ أَحْيَاهَا فَكَأَنَّمَا أَحْيَا النَّاسَ جَمِيعًا ۚ وَلَقَدْ جَاءَتْهُمْ رُسُلُنَا بِالْبَيِّنَاتِ ثُمَّ إِنَّ كَثِيرًا مِّنْهُم بَعْدَ ذَٰلِكَ فِي الْأَرْضِ لَمُسْرِفُونَ (32) }} صدق الله العظيم [المائدة].

ويا معشر الذين قتلوا المصلّين في مسجد الروضة بسيناء مصر فلا أظنّكم من المسلمين ولا أظنّكم من الكافرين الضالين؛ بل من المغضوب عليهم الناقمين على المؤمنين، لعنكم الله لعناً كبيراً في الدنيا والآخرة وغضب الله عليكم في الدنيا والآخرة ولن تجدوا لكم من دون الله ولياً ولا نصيراً.

اللهم إنّي عبدك المعتصم بك المستمسك بكتابك القرآن العظيم سألتك ربي بحقّ لا إله إلا أنت وبحقّ رحمتك التي كتبت على نفسك وبحقّ عظيم نعيم رضوان نفسك الذي هم له كارهون أن لا تبقِ من شياطين الإنس والجنّ أحداً، اللهم فأهلكهم بدداً بصواعق من عندك ترسلها على الذين لو علموا بسبيل الحقّ لما اتّخذوه سبيلاً أبداً كونهم كرهوا ما أنزل الله من الحقّ وهم للحقّ كارهون، اللهم إنك أعلم بهم في عبادك إنك بعبادك خبيرٌ بصيرٌ، اللهم أرنا فيهم عجائب قدرتك بعذابٍ من عندك، اللهم وأهدِ بعذابك ما دون ذلك من الإنس والجنّ ومن كلّ جنسٍ، اللهم إنك تعلم أني عبدك الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني خليفة الله في الأرض اصطفيتني كي أُنهي الفساد في الأرض وأُنهي سفك الدماء وأملأ الأرض عدلاً كما مُلئت جوراً وظُلماً، اللهم احكم بيني وبين الذين لو علموا أني الإمام المهديّ المنتظَر ناصر محمد الدّاعي لاتّباع ذكر الله للعالمين لما اتّبعوني وسيئت وجوههم بسبب بعث المهديّ المنتظَر ناصر محمد اليماني؛ أولئك لا يزيدهم بعث المهديّ المنتظَر الحقّ من ربهم إلا رجساً إلى رجسهم كونه يدعو إلى اتّباع القرآن العظيم الحقّ من ربهم وهم للحقّ كارهون ويريدون أن يطفئوا نور الله ويأبى الله إلا أن يتمّ نوره ولو كره المُجرمون، غضب الله عليهم ولعنهم وأرسل عليهم الصواعق من عنده فيصيبهم بها أينما كانوا إنّ الله محيطٌ بالكافرين المغضوب عليهم الذين كرهوا رضوان الله وما أنزل من الحقّ ويعلمهم أجمعين في عباده إنه عليم بذات الصدور، اللهم واهدِ الضالين من المسلمين والكافرين في العالمين الذين لو علموا أني المهديّ المنتظَر الحقّ الداعي إلى الحقّ من ربهم لاتّبعوني فأنت أعلم بعبادك وأرحم بهم من عبدك ووعدك الحقّ وأنت أرحم الراحمين، اللهم هذا دعاء عبدك وخليفتك في الأرض الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني ومنك الإجابة إنك ربي سميع الدُّعاء.

اللهم إنك تعلم أنك اصطفيتني في الأرض خليفةً اللهم إني أشهدك وكفى بالله شهيداً أنك لو أيّدت عبدك وخليفتك الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني لإظهاره بكافة جنودك في ملكوت السماوات والأرض من البعوضة فما فوقها فإني أُشهدك ربي العليم بما في قلبي من يقين الإيمان إنما النصر من عندك سبحانك ربي القوي العزيز، اللهم بك استغنيت وكفى الله المؤمنين القتال وكان الله قوياً عزيزاً نعم المولى ونعم النصير، حسبي الله لا إله إلا هو عليه توكلت وهو ربّ العرش العظيم. وسلامٌ على المُرسلين والحمد لله ربّ العالمين.

خليفة الله وعبده المستغني بربّه عن جنده الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.
________________

اضغط هنا لقراءة البيان المقتبس..